Tuwaepuke wanasiasa wanataka kutuletea ukabila kupitia uChifu

Tuwaepuke wanasiasa wanataka kutuletea ukabila kupitia uChifu

Ivi huko kwao Zanzibar Kuna machifu, au masultani. Na sisi wabara tuanze kuwaenzi masultan
 
Sidhani kama Rais analeta issue za ukabila ila nachokiona mimi ni kuwa kwakua aliingia madarakani bila kuwa na msingi wake wa kisiasa.

Muda huu ndio anautumia kujenga msingi wake.

Hivyo tumzoee na kuzoea events kama hizo.
Afadhali..kumbe mpo wenye vichwa👍
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Hizi siasa za Uchifu sio siasa salama kwa mustakabali wa nchi.

Kwanza yale maguo yenye ngozi za chui sijui wameyatoa wapi!

Niseme tu kwamba, Tanzania hakujawahi kuwa na machifu kwa muktadha wa uongozi wa kitaifa.

Machifu wa Tanzania walikuwa ni tawala chache tu ambazo zilikuwa huko kwa watu wa iringa zamani hizo.

Baadae wakoloni walipokuja, wakaunda vikundi vya wahuni wachache miongoni mwa watanzania kisha wakawavika uchifu for the benefit of white man. Hawa ndio waliohusika kuwauza wenzao utumwani.

Huu uchifu wa sasa wa Samia, sio uchifu haswa. Ni vikundi vya wachawi wanaomsimika Hangaya kwa kumpa mamlaka na utii. Ni power transfer ama alama ya utii katika mamlaka za wachawi.

Wachawi hawa wako nchi nzima. Wamejivika uchifu bandia ili kuficha sura zao halisi.

Kila mahali Rais anapopita wanamvika maguo ya kichawi.

Jamani, nchi hii inamuhitaji Mungu. Tuache kutegemea viumbe dhaifu kama mizimu.

Mungu wetu ni Mungu mwenye nguvu sana, lakini anahitaji watu wanyoofu.

Shida yenu nyinyi ni majizi na watu wa konakona, ndio maana mmemkimbia Mungu mkajikabidhi kwa viumbe wachafu na dhaifu kama majini na mizimu.

Mrudieni Mungu mwenye nguvu na mamlaka, mzitii amri zake na yeye awafanye kuwa wake.

Hayo maguo ya mizimu hayawezi kuwasaidia lolote. Mnajidaganya.
 
Afrika imekuwa na utaratibu huu wa utawala tangu enzi na enzi. Hizi tawala zilizoletwa na wakoloni hapa Afrika zina miongo michache tu iliyopita. Tusizidharau hizi taratibu zetu za jadi, kwa sababu ya taratibu za kigeni.
 
Nani kakwambia uchifu ni uchawi!? !!
Hawa machifu walisimikwa lini? Wapi? Na nani? Kwa mujibu wa utaratibu gani? Kwa minajili ipi? ili iweje?

Nikumbushe.

FB_IMG_16428739625950843.jpg
 
Huyu "ANATAKA KUTUGAWA" hawa wao walikuwa "WANATUUNGANISHA".😁



 
Mlamba kalio(Bootlicker) naona uko Kazini ukitetea ugali wako.
Jamaa yangu huwa unajikuta bingwa wa matusi sana mimi nilishapita hiyo stage hakuna tusi jipya kwangu, kama kukutukana naweza kukutukana tusi jipya kwako ambalo litakuletea sonona ila let me ignore you for good reason.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Hizi siasa za Uchifu sio siasa salama kwa mustakabali wa nchi.

Kwanza yale maguo yenye ngozi za chui sijui wameyatoa wapi!

Niseme tu kwamba, Tanzania hakujawahi kuwa na machifu kwa muktadha wa uongozi wa kitaifa.

Machifu wa Tanzania walikuwa ni tawala chache tu ambazo zilikuwa huko kwa watu wa iringa zamani hizo.

Baadae wakoloni walipokuja, wakaunda vikundi vya wahuni wachache miongoni mwa watanzania kisha wakawavika uchifu for the benefit of white man. Hawa ndio waliohusika kuwauza wenzao utumwani.

Huu uchifu wa sasa wa Samia, sio uchifu haswa. Ni vikundi vya wachawi wanaomsimika Hangaya kwa kumpa mamlaka na utii. Ni power transfer ama alama ya utii katika mamlaka za wachawi.

Wachawi hawa wako nchi nzima. Wamejivika uchifu bandia ili kuficha sura zao halisi.

Kila mahali Rais anapopita wanamvika maguo ya kichawi.

Jamani, nchi hii inamuhitaji Mungu. Tuache kutegemea viumbe dhaifu kama mizimu.

Mungu wetu ni Mungu mwenye nguvu sana, lakini anahitaji watu wanyoofu.

Shida yenu nyinyi ni majizi na watu wa konakona, ndio maana mmemkimbia Mungu mkajikabidhi kwa viumbe wachafu na dhaifu kama majini na mizimu.

Mrudieni Mungu mwenye nguvu na mamlaka, mzitii amri zake na yeye awafanye kuwa wake.

Hayo maguo ya mizimu hayawezi kuwasaidia lolote. Mnajidaganya.
Hata mm naaamin hivyo hivyo,uchifu ni matunguli tu
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Hizi siasa za Uchifu sio siasa salama kwa mustakabali wa nchi.

Kwanza yale maguo yenye ngozi za chui sijui wameyatoa wapi!

Niseme tu kwamba, Tanzania hakujawahi kuwa na machifu kwa muktadha wa uongozi wa kitaifa.

Machifu wa Tanzania walikuwa ni tawala chache tu ambazo zilikuwa huko kwa watu wa iringa zamani hizo.

Baadae wakoloni walipokuja, wakaunda vikundi vya wahuni wachache miongoni mwa watanzania kisha wakawavika uchifu for the benefit of white man. Hawa ndio waliohusika kuwauza wenzao utumwani.

Huu uchifu wa sasa wa Samia, sio uchifu haswa. Ni vikundi vya wachawi wanaomsimika Hangaya kwa kumpa mamlaka na utii. Ni power transfer ama alama ya utii katika mamlaka za wachawi.

Wachawi hawa wako nchi nzima. Wamejivika uchifu bandia ili kuficha sura zao halisi.

Kila mahali Rais anapopita wanamvika maguo ya kichawi.

Jamani, nchi hii inamuhitaji Mungu. Tuache kutegemea viumbe dhaifu kama mizimu.

Mungu wetu ni Mungu mwenye nguvu sana, lakini anahitaji watu wanyoofu.

Shida yenu nyinyi ni majizi na watu wa konakona, ndio maana mmemkimbia Mungu mkajikabidhi kwa viumbe wachafu na dhaifu kama majini na mizimu.

Mrudieni Mungu mwenye nguvu na mamlaka, mzitii amri zake na yeye awafanye kuwa wake.

Hayo maguo ya mizimu hayawezi kuwasaidia lolote. Mnajidaganya.
Uchawi na CCM ni kitu kimoja.
Chama cha Michawi.

Inaamini eti mwenge unaleta amani, kwanii kipindi cha vita ya Kagera walipeleka vijana wetu vitani ambako walikufa kwa wingi, hawakuupeleka mwenge ambao kila siku wanausifi kwamba unaleta amani palipo na chuki?
 
Hawa wameibuka kutoka wapi?
Na je wana impact gani katika maisha yetu kwa ujumla?
Sijawahi kusikia Chifu anatoa neno lolote kwenye jumuiya yetu
Hata kusifu au kukemea kitu ila ghafla tunasikia chifu wa huku na kupewa uchifu sijui nini
 
Hawa wameibuka kutoka wapi?
Na je wana impact gani katika maisha yetu kwa ujumla?
Sijawahi kusikia Chifu anatoa neno lolote kwenye jumuiya yetu
Hata kusifu au kukemea kitu ila ghafla tunasikia chifu wa huku na kupewa uchifu sijui nini
Hakuna chifu hapo.

Machawi hayo yamejificha kwenye kichaka cha uchifu.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Hizi siasa za Uchifu sio siasa salama kwa mustakabali wa nchi.

Kwanza yale maguo yenye ngozi za chui sijui wameyatoa wapi!

Niseme tu kwamba, Tanzania hakujawahi kuwa na machifu kwa muktadha wa uongozi wa kitaifa.

Machifu wa Tanzania walikuwa ni tawala chache tu ambazo zilikuwa huko kwa watu wa iringa zamani hizo.

Baadae wakoloni walipokuja, wakaunda vikundi vya wahuni wachache miongoni mwa watanzania kisha wakawavika uchifu for the benefit of white man. Hawa ndio waliohusika kuwauza wenzao utumwani.

Huu uchifu wa sasa wa Samia, sio uchifu haswa. Ni vikundi vya wachawi wanaomsimika Hangaya kwa kumpa mamlaka na utii. Ni power transfer ama alama ya utii katika mamlaka za wachawi.

Wachawi hawa wako nchi nzima. Wamejivika uchifu bandia ili kuficha sura zao halisi.

Kila mahali Rais anapopita wanamvika maguo ya kichawi.

Jamani, nchi hii inamuhitaji Mungu. Tuache kutegemea viumbe dhaifu kama mizimu.

Mungu wetu ni Mungu mwenye nguvu sana, lakini anahitaji watu wanyoofu.

Shida yenu nyinyi ni majizi na watu wa konakona, ndio maana mmemkimbia Mungu mkajikabidhi kwa viumbe wachafu na dhaifu kama majini na mizimu.

Mrudieni Mungu mwenye nguvu na mamlaka, mzitii amri zake na yeye awafanye kuwa wake.

Hayo maguo ya mizimu hayawezi kuwasaidia lolote. Mnajidaganya.
Kabisaaa nakazia hapa!
Ushirikina,uchawi kabisaa,kuabudu miungu
 
Back
Top Bottom