Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Unajua nmb ukiiuza hupati tilion
 
Mwandiko huu si wa tajiri naja na ushahidi
 
Soma comment namba 242
 
Mwandiko huu si wa tajiri naja na ushahidi
pesa na mwandiko vinahusiana nini mkuu? Nina jamaa yangu hata kuandika hajui lakin ana maduka na pesa hatar ngoja nikupe mfano kuna tajir mmoja wa mbinga maarufu kwa jina la MCHAFU yule jamaa ana semtrail 30 lakin jins alivyo huwez amin ukiangalia simu anayotumia ni nokia zile za zaman kafunga na rababend, bado sijasema yule jamaa kama amepata trip za kubebelea maind deleva ni yeye kwenye roli nne hapo nazan hujanielewa
 
Utajiri wa hivyo ni 100% wa ushirikina hasa matajiri wa mikoani wengi ni magumashi! Sio ule wa Kutoka kwa Mungu!
Angalia akina Marehemu Mengi alivokua ananyuka pamba!
Huyo jamaa yako MCHAFU mwambie hawaoni matajiri akina Aliko dangote wanavonyuka pamba full utuli, simu ni toleo latest e.t.c!
Huyo wako ni magumashi hela za kuhifadhi nyumbani kwenye madiaba sio kwenye Safe.
Ni rahisi sana kumtambua mtu utajiri wake hasa wa kimagumashi wengi wanakua hawaeleweki.
 
Kwamba huyu mwamba alikuwa ana uwezo wa kukopeshwa Tzs 1 trillion yaani around $500m, na je NMB ina uwezo huo? Aisee kuna matajiri wakubwa sana kwenye nchi masikini.
 
mr pipa, mr pipa, you're the beast brother lakini hata hizi mnatumia ndumba police wasiwanyake, bongo bila ndumba mambo hayaendi
 
Nimechekaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Daaah sikutegemea uzi utakuwa mwepesi hivi, kama hujatembea au huna taaria za kutosha ungepiga kimya.

Mfano mby

Kuna kina saul

Achimwene

Machemba

Tughimbe

Nasoma

Mkulu nk.

Huko Songwe kuna kina

Ntanyinya nk
Songwe hakuna mbwa anamgusa Manyanya mkuu,,,afu akina Ilasi
 
Daaah sikutegemea uzi utakuwa mwepesi hivi, kama hujatembea au huna taaria za kutosha ungepiga kimya.

Mfano mby

Kuna kina saul

Achimwene

Machemba

Tughimbe

Nasoma

Mkulu nk.

Huko Songwe kuna kina

Ntanyinya nk
Na yule mmiliki wa paradise vipi au kafulia siku hizi?
 
Emmanuel Mkufya mwenye Coyote hotel, mwanza, Kahama na Dar. Pia ana Coyote tour n safar Arusha na Nairobi na pia ni Exporter mkubwa wa korosho zilizo banguliwa kwenda middle and far east countries. Ana 32 feet yacht.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…