Unazungumzia Shinyanga mkoa au mjini! Shinyanga matajiri wengi wako Kahama tena wengi ni wazawa!
Uchumi umeshikiliwa na waarabu na wahindi
Sasa mkoa kama Shinyanga kuna tajiri gani zaidi ya waarabu matajiri wa Mabus ya Ally's Star
Na mzee Mohamed wa Mabus ya Mohamed Trans sema nae alipitia mitihani ya kufilisiwa