Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Unazungumzia Shinyanga mkoa au mjini! Shinyanga matajiri wengi wako Kahama tena wengi ni wazawa!
Uchumi umeshikiliwa na waarabu na wahindi
Sasa mkoa kama Shinyanga kuna tajiri gani zaidi ya waarabu matajiri wa Mabus ya Ally's Star
Na mzee Mohamed wa Mabus ya Mohamed Trans sema nae alipitia mitihani ya kufilisiwa
 
Kishimba ni tajiri hapo Dar ndo usiseme! Lamada hotel and Appartment,Dar Free Market,Rock Beach Mwanza,Mwenge Dar na Dodoma ana majumba kila kona! Bado kwenye Industry ya Madini!
Si ndo huyo kajenga jenga lodge huko kahama? Mbona anamiliki mali za kawaida sana hawezi kuingia kwenye list ya matajiri
 
Kishimba ni tajiri hapo Dar ndo usiseme! Lamada hotel and Appartment,Dar Free Market,Rock Beach Mwanza,Mwenge Dar na Dodoma ana macumba kila kona! Bado kwenye Industry ya Madini!
Basi ni tajiri kwelikweli
 
Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.

Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.

Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za ugenini, hebu tudeal na ligi za timu asili za nyumbani

Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments

SONGEA -

Ottawa - real estate na mabasi

Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.


MBEYA -

Achimwene - tajiri mchimba dhahabu za Chunya, Biashara yake ni mabasi, kila baada ya miezi kadhaa i kawaida kuona kazindua mabasi mapya mjini.

Sauli - Nae ni mchimba dhahabu huko Chunya, Anamiliki mabasi chapa ya Scania.

Machemba - Msambazaji mkubwa wa hardware

Maranatha - Anamiliki chain ya maduka ya madawa na hospitali.

Nasoma - kijana ana duka kubwa la Hardware

Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya

MANYARA

Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite
Manyara Kuna mtu anaitwa Kanunga ni masai wa Madini ukija Arusha kuna Muhindi anaitwa Dallya ana kampuni inaitwa Alpha group ,Lema wa Northern engineering, kuna Muhindi anaitwa Bansal ndio mwenye Bansal Steel na Bansal Transportation, Hans Paul naye Yumo Kuna Familia ya Mtei hii familia ni Mafuta matupu. Ukija moshi kuna Familia ya Mzee Marenga, Lasway, Ndesamburo
 
Mbinga kuna tajiri mmoja mkimya sana. Anaitwa Said Banda. Huyu ni hatari sana
Amewekeza kwenye nini, halafu Kuna jamaa kutoka hukohuko Mbinga namuonaga insta anaitwa mchungaji thobi, anaonekana yupo njema sana
 
MWANZA
=CMG, Christopher Mwita Gachuma huyu mzee ni balaa, ana share Nyanza Bottling, (Coca Cola ya Mwanza), New Mwanza Hotel, Na vingine vingi.
=Sunpharm -Mzee Makongoro, anamiliki Midland Hotel na vingine kibao
=Zongii =Huyu ana duka la plumbing kubwa kuliko yote Mwanza
=Zuberi =Huyu ni tycoon kwenye usafirishaji, mabasi na Malori ya kutosha
= Babu, huyu mwarabu yupo kwenye biashara ya mafuta, na pia ana wadhifa huko kwenye Chama ana mawe balaa
Kuna Wahindi wengi Sana Mwanza wana pesa za kutosha,
Tembelea Capri point uone mahekalu yao, Masaki haioni ndani [emoji3]
Zongii ana kiwanda kabisa
 
2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
Wewe ni ndo yule mke mdogo
 
Wewe ni ndo yule mke mdogo
kiufup huwa napendaga sana dharau ila sipendagi kumdharau mtu ila naona unanitengezea mazingira ya kukudharau mi ni kama oil ukinichafua sichafuk ila nikikuchafua doa langu halitatoka wenzako walini block wasione, uzi wangu wala coment zangu pleas tunza heshima yako
 
Back
Top Bottom