Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Naelewa nilikuwa mdau wa mikeka ya hivyo ila siku hizi nimeachaKuna kafaraja ka muda kanapatikana kwenye matamanio pia😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelewa nilikuwa mdau wa mikeka ya hivyo ila siku hizi nimeachaKuna kafaraja ka muda kanapatikana kwenye matamanio pia😂😂😂😂
Hizo nyumba 650 zipo wapi??ulizihesabu kwa macho yako au story za vijiweni??kwamba siku 7 mabasi yake yalisafirisha abiria bure Dar Songea una uthibitisho??maneno ya vijiweni mkishavuta ganja zeni mnaleta JFKwa songea OTTAWA huyu mwamba jeshi la mtu mmoja huyo feo kuna mikono ya wanasiasa kibao pale ila huyu OTTAWA INGEKUWA ANA MENEJIMENT NZUR NA MAGUFUR ASILETA SIASA MBOVU KWA HUYU MWAMBA NAZAN HUYU NDIO ANGESHIKA NYANDA ZA JUU KUSINI SIO MBEYA WALA NJOMBE JAMAA ANAJIWE JAMAA ANA MASOKO MATATU NYUMBA 650 ZOTE ZA VIWANGO TUACHE HAYO ANA GHOROFA NANE VIWANJA TOWN PENYEWE AMEPASHIKA NAKUMBUKA ZAMAN ALINUNUA BUS AINA YA SCANIA 8 KWA PAMOJA AKAWA ANAPIGA ROUTE DAR SONGEA NI BURE SIKU SABA VIPI KUNA TAJIR ANAWEZA FANYA HIVYO AFU NI MZAWA WA HAPAHAPA SONGEA
2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyoHizo nyumba 650 zipo wapi??ulizihesabu kwa macho yako au story za vijiweni??kwamba siku 7 mabasi yake yalisafirisha abiria bure Dar Songea una uthibitisho??maneno ya vijiweni mkishavuta ganja zeni mnaleta JF
Sugu mtoe Mbeya anapitwa hata na kina kasisi,SS AMON nkCelebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.
Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.
Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za kimataifa, iwe ligi yetu ya watanzania wa asili.
Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments
SONGEA -
Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.
MBEYA -
Achimwene - Biashara yake ni mabasi, anazidi kuleta mafuriko ya mabasi kila baada ya miezi kadhaa
Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya
MANYARA
Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite
Siri ya utajiri wake ni nini? Maana matajiri wengi wa kusini huwa siri zao ni ndumba! Kwakua umesema upo jirani nae vipi siri ya utajiri wake unaijua?2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
Kutapeliwa billion mbili anashake kiuchumi huyo sio tajiri.2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
Kama kwenye hiyo list Babito yupo basi kina Machemba, Maranatha nao wamo piaMbeya unamuachaje babito???
hiyo siri ndio iliyonifanya mpaka sasa na mm naonekana mtu kwenye jamii kumilik mali yenye thaman ya bilion2 sio suala dogo kwa umri wanguSiri ya utajiri wake ni nini? Maana matajiri wengi wa kusini huwa siri zao ni ndumba! Kwakua umesema upo jirani nae vipi siri ya utajiri wake unaijua?
Tudokeze kidogo tu chief! Na wengine waweze kumiliki na kutawala.hiyo siri ndio iliyonifanya mpaka sasa na mm naonekana mtu kwenye jamii kumilik mali yenye thaman ya bilion2 sio suala dogo kwa umri wangu
we bado huijui pesa tuliaKutapeliwa billion mbili anashake kiuchumi huyo sio tajiri.
Upo sahihi kabisawe bado huijui pesa tulia
Huko geita kuna madogo wana hela balaa za madini..Kusema MTU ni tajiri..lazima value YA asset zake /investment ziwe kuanzia 1milliom USD
Pia kwanini uwatenge wahindi au waarabu kwani wao Sio wazawa..acha ubaguzi
Watu Wana Hela Ila Sio ropp ropo, mfano watu Wa madini Geita, Mwanza Kuna Akina Gachuma (CMg investment
CMg investment..inakadiriwa kuwa Na ukwasi Wa Zaidi YA billion 20 ana kampuni za ujenzi, coca YA Mwanza, hotel new Mwanza hotel etc
Zuberi ana mabasi YA kutosha
huyu Ottawa ni nyoko ana basi scania km 100 afu kazipaki mwaka wa 8 huu kakodi madereva wazipasha na kuziacha Kila siku sa sijui pesa za kiganga au shida nini...Kwa songea OTTAWA huyu mwamba jeshi la mtu mmoja huyo feo kuna mikono ya wanasiasa kibao pale ila huyu OTTAWA INGEKUWA ANA MENEJIMENT NZUR NA MAGUFUR ASILETA SIASA MBOVU KWA HUYU MWAMBA NAZAN HUYU NDIO ANGESHIKA NYANDA ZA JUU KUSINI SIO MBEYA WALA NJOMBE JAMAA ANAJIWE JAMAA ANA MASOKO MATATU NYUMBA 650 ZOTE ZA VIWANGO TUACHE HAYO ANA GHOROFA NANE VIWANJA TOWN PENYEWE AMEPASHIKA NAKUMBUKA ZAMAN ALINUNUA BUS AINA YA SCANIA 8 KWA PAMOJA AKAWA ANAPIGA ROUTE DAR SONGEA NI BURE SIKU SABA VIPI KUNA TAJIR ANAWEZA FANYA HIVYO AFU NI MZAWA WA HAPAHAPA SONGEA