Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Matajiri wengi sana watz hasa kanda ya ziwa wanautajiri wa kimazingaombwe sana
huyu hatok kanda ya ziwa ni jamaa wa ruvuma nyumbn kwake namabengo ni mzawa ameanza kupambana 1995 akiwakopesa walimu mabati na pikipiki yeye na jamaa mmoja hv wa kuitwa chembele ila huyu sijajua amepotelea wap ila huyu ottawa kaanza kusaka maisha akiwa kijana wa miaka 30 mpaka sasa anamiaka 67 sasa kama ni utajir wa kichawi asingezeeka na utajir wake ni bahili haswa sio mtu wa bata
 
Tudokeze kidogo tu chief! Na wengine waweze kumiliki na kutawala.
hata ukiambiwa hutoweza fanya nakupa tu hesabu ndogo bangi gunia moja ni milion 3 had mbili unusu heka inatoa gunia kumi mara heka 30 junia miatatu wateja wapo hata ukiwa na gunia elfu tatu nakuletea mpaka mlangon ukiuza junia miatatatu kwa milin tatu ni sawa na milion900000000 injinia soma hy ngap hiyo tisin au mia tisa, sasa kuna wana wanafikisha junia elfu tatu wakiuza wanalamba mpaka bilion 80 vp bus ngap hapo kwa msimu au roli ngapi hapo haya nishakupa njia haya toka kimaisha hahaha kama kesho hujawekwa ndani mtaita watu wachawi kumbe wana biashara zao za magendo je unazan kuna mtu atakwambia ishu kama hizi? zaid ya kuambiwa anauza..... je ww kama wewe unaweza kufanya ishu kama vp leo nikikwambia namilik vitu vya bilion5 unaweza niamin hahaha msije mkanifunga acha niwe chawa je nikupe mchongo mwingine mana si wataka nikutobolee siri nina michongo ming had ya matrilion ya pes
 
hata ukiambiwa hutoweza fanya nakupa tu hesabu ndogo bangi gunia moja ni milion 3 had mbili unusu heka inatoa gunia kumi mara heka 30 junia miatatu wateja wapo hata ukiwa na gunia elfu tatu nakuletea mpaka mlangon ukiuza junia miatatatu kwa milin tatu ni sawa na milion900000000 injinia soma hy ngap hiyo tisin au mia tisa, sasa kuna wana wanafikisha junia elfu tatu wakiuza wanalamba mpaka bilion 80 vp bus ngap hapo kwa msimu au roli ngapi hapo haya nishakupa njia haya toka kimaisha hahaha kama kesho hujawekwa ndani mtaita watu wachawi kumbe wana biashara zao za magendo je unazan kuna mtu atakwambia ishu kama hizi? zaid ya kuambiwa anauza..... je ww kama wewe unaweza kufanya ishu kama vp leo nikikwambia namilik vitu vya bilion5 unaweza niamin hahaha msije mkanifunga acha niwe chawa je nikupe mchongo mwingine mana si wataka nikutobolee siri nina michongo ming had ya matrilion ya pes
🙌🙌🙌 Enjoy hela zako bilionea.
 
2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
Huko Mbinga kuna kifaru anaitwa Mdaka naye sio poa...
 
Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.

Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.

Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za ugenini, hebu tudeal na ligi za timu asili za nyumbani

Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments

SONGEA -

Ottawa - real estate na mabasi

Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.


MBEYA -

Achimwene - tajiri mchimba dhahabu za Chunya, Biashara yake ni mabasi, kila baada ya miezi kadhaa i kawaida kuona kazindua mabasi mapya mjini.

Sauli - Nae ni mchimba dhahabu huko Chunya, Anamiliki mabasi chapa ya Scania.

Machemba - Msambazaji mkubwa wa hardware

Maranatha -anamiliki chain ya maduka ya madawa na hospitali.

Nasoma - kijana ana duks kubwa la Hardware

Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya

MANYARA

Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite
Thread kama hii ilianzishwa kipindi cha jiwe na mtu ambaye lazima alikuwa akikusanya taarifa za watu wa kuvamiwa na kuporwa.
 
Bila shaka wewe ni mkazi wa mbeya, wengi hapo ni matajiri wa mbeya.

Nasoma huyo pia ana lounge yake kali pale mama john.

#taarifa za tajiri muulize maskini.
 
Uchumi umeshikiliwa na waarabu na wahindi
Sasa mkoa kama Shinyanga kuna tajiri gani zaidi ya waarabu matajiri wa Mabus ya Ally's Star
Na mzee Mohamed wa Mabus ya Mohamed Trans sema nae alipitia mitihani ya kufilisiwa
 
Kwa songea OTTAWA huyu mwamba jeshi la mtu mmoja huyo feo kuna mikono ya wanasiasa kibao pale ila huyu OTTAWA INGEKUWA ANA MENEJIMENT NZUR NA MAGUFUR ASILETA SIASA MBOVU KWA HUYU MWAMBA NAZAN HUYU NDIO ANGESHIKA NYANDA ZA JUU KUSINI SIO MBEYA WALA NJOMBE JAMAA ANAJIWE JAMAA ANA MASOKO MATATU NYUMBA 650 ZOTE ZA VIWANGO TUACHE HAYO ANA GHOROFA NANE VIWANJA TOWN PENYEWE AMEPASHIKA NAKUMBUKA ZAMAN ALINUNUA BUS AINA YA SCANIA 8 KWA PAMOJA AKAWA ANAPIGA ROUTE DAR SONGEA NI BURE SIKU SABA VIPI KUNA TAJIR ANAWEZA FANYA HIVYO AFU NI MZAWA WA HAPAHAPA SONGEA
Dogo mara ya pili hii nakuonya kuwa stori za vijiweni zinakuharibu
 
mama samia kumbe na wewe ni wa mbinga? We bwana ngoja kwanza hivi we mama samia wa kike au wa kiume mana hy jf unaweza ita broo kumbe mgeloo
Mimi sio wa Mbinga ila nina marafiki huko akiwemo Mdaka na familia yake. Hata Mbamba Bay nina marafiki. Mimi ni mwanaume. Hiyo ID ni ya kimkakati kumuunga mkono Mama Samia mwaka 2025.
 
Back
Top Bottom