Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Hizo nyumba 650 zipo wapi??ulizihesabu kwa macho yako au story za vijiweni??kwamba siku 7 mabasi yake yalisafirisha abiria bure Dar Songea una uthibitisho??maneno ya vijiweni mkishavuta ganja zeni mnaleta JF
oya iyo Ottawa ni nyoko bro...
 
huyu Ottawa ni nyoko ana basi scania km 100 afu kazipaki mwaka wa 8 huu kakodi madereva wazipasha na kuziacha Kila siku sa sijui pesa za kiganga au shida nini...

mamamae... ni one man army... sio kampuni Wala colabo.

mwaka 2016 alikua ni mfanyabiashara pekee nyanda za juu Ambae alikua ana uwezo wa kukopeshwa trillion na bank ya NMB.

ni nyoko sana huyu mtu sema Sasa hayaishi maisha ya kitajiri... Kwa mnaamini katika ushirikina inaleta ukakasi
Matajiri wengi sana watz hasa kanda ya ziwa wanautajiri wa kimazingaombwe sana
 
Matajiri wengi sana watz hasa kanda ya ziwa wanautajiri wa kimazingaombwe sana
yah ndio shida na ndio maana utajiri wao hauna burudani..... Hali vizuuri Hana gari Kali... watoto hawaendelez Mali.


yaani vurugu tu.

utajiri mzuri ni wa kibiashara halali, siasa, shule...

unaenjoy saana majumba, biashara magari makali
 
Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.

Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.

Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za kimataifa, iwe ligi yetu ya watanzania wa asili.

Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments

SONGEA -

Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.

MBEYA -

Achimwene - Biashara yake ni mabasi, anazidi kuleta mafuriko ya mabasi kila baada ya miezi kadhaa

Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya

MANYARA

Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite
Hizo ndizo mada za watu waliopigika kimaisha.
 
2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
Chai
 
huyu Ottawa ni nyoko ana basi scania km 100 afu kazipaki mwaka wa 8 huu kakodi madereva wazipasha na kuziacha Kila siku sa sijui pesa za kiganga au shida nini...

mamamae... ni one man army... sio kampuni Wala colabo.

mwaka 2016 alikua ni mfanyabiashara pekee nyanda za juu Ambae alikua ana uwezo wa kukopeshwa trillion na bank ya NMB.

ni nyoko sana huyu mtu sema Sasa hayaishi maisha ya kitajiri... Kwa mnaamini katika ushirikina inaleta ukakasi
we mwamba kumbe unamjua kiundani et jamaa anamfananisha na FEO nimecheka mpaka mbavu zinauma nakumbuka walikujaga matajir wa kenya waingize share mali zao ottawa akawagomea
 
Back
Top Bottom