mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
matajir wa njombe iringa wengi utajir wao ni mbao na madukaNyanda za juu kusini tajiri mkubwa atoke songea? Unawafaham matajiri wa njombe? Waarabu wa Iringa je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
matajir wa njombe iringa wengi utajir wao ni mbao na madukaNyanda za juu kusini tajiri mkubwa atoke songea? Unawafaham matajiri wa njombe? Waarabu wa Iringa je?
Mkuu kwa nyanda za juu kusini matajiri wakubwa ni waarabu halafu wanaofwata ni wakingamatajir wa njombe iringa wengi utajir wao ni mbao na maduka
Aiseee kwamba Kishimba sio tajiriSi ndo huyo kajenga jenga lodge huko kahama? Mbona anamiliki mali za kawaida sana hawezi kuingia kwenye list ya matajiri
Ndio mmiliki wa hizo hotel za GRMachemba anadeal na biashara zp?
Anhaa zile za pale soweto?Ndio mmiliki wa hizo hotel za GR
Hapana mkuu,hao wa mbao na maduka Bado wanajitafuta sio matajiri wakubwamatajir wa njombe iringa wengi utajir wao ni mbao na maduka
Wewe utaishia kufa maskini,...vitu kama hivi havisemwi2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
🤣🤣🤣 nisamehe mkuu,mm najua nyie ni matajiri wa chumbani bhana,sikujua kama hata huku mpo njema😂😂😂 Mkuu hutaki watu wa Songea tujimwambafy kidogo....
Wa kawaida sana tajiri ngazi ya wilaya siyo mkoaAiseee kwamba Kishimba sio tajiri
Sawaa
Ana duka kubwa la hardware pale kabwe. Lakini pia lile jengo refu la hotel pale kabwe jipya jipya lile lake pia. Nadhani ana hotels nyingineMachemba anadeal na biashara zp?
Unaposema trillion unamaanisha nini ni pesa au kitu kingine?huyu Ottawa ni nyoko ana basi scania km 100 afu kazipaki mwaka wa 8 huu kakodi madereva wazipasha na kuziacha Kila siku sa sijui pesa za kiganga au shida nini...
mamamae... ni one man army... sio kampuni Wala colabo.
mwaka 2016 alikua ni mfanyabiashara pekee nyanda za juu Ambae alikua ana uwezo wa kukopeshwa trillion na bank ya NMB.
ni nyoko sana huyu mtu sema Sasa hayaishi maisha ya kitajiri... Kwa mnaamini katika ushirikina inaleta ukakasi
Duu lile ng'ambo ya barabara?Ana duka kubwa la hardware pale kabwe. Lakini pia lile jengo refu la hotel pale kabwe jipya jipya lile lake pia. Nadhani ana hotels nyingine
Sijui kama anamfahamu asasNyanda za juu kusini tajiri mkubwa atoke songea? Unawafaham matajiri wa njombe? Waarabu wa Iringa je?
Nazan hamfaham asas Wala HuwelSijui kama anamfahamu asas
Yeah hilo hiloDuu lile ng'ambo ya barabara?
Basi mwamba yupo vizuri aisehYeah hilo hilo
Huyo Asas si muarabu. Huyu anawaongelea ngozi ngumu ngozi nyeusiSijui kama anamfahamu asas
Machemba yuko vizuri sana. Nashangaa mleta mada kamtaja Sugu kwanza na wakati kuna uwezekano kina Maranatha na Tughimbe wamempita parefu Sugu.Basi mwamba yupo vizuri aiseh
Laizer cha mtoto huko manyara, yupo David mmiliki wa Malti super brand anawakimbiza sana manyaraCelebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.
Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.
Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za ugenini, hebu tudeal na ligi za timu asili za nyumbani
Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments
SONGEA -
Ottawa - real estate na mabasi
Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.
MBEYA -
Achimwene - tajiri mchimba dhahabu za Chunya, Biashara yake ni mabasi, kila baada ya miezi kadhaa i kawaida kuona kazindua mabasi mapya mjini.
Sauli - Nae ni mchimba dhahabu huko Chunya, Anamiliki mabasi chapa ya Scania.
Machemba - Msambazaji mkubwa wa hardware
Maranatha -anamiliki chain ya maduka ya madawa na hospitali.
Nasoma - kijana ana duks kubwa la Hardware
Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya
MANYARA
Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite