Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Nmemshangaa sana!ukitaja matajiri watatu wa Mbeya huwezi kumruka huyu BABITOMbeya unamuachaje babito???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmemshangaa sana!ukitaja matajiri watatu wa Mbeya huwezi kumruka huyu BABITOMbeya unamuachaje babito???
SoneloMbeya hakuna tajiri wakumzidi TUGIMBE
Anasema yeye anamiliki 2B kwahiyo kumwita dogo utakua umedhalilisha...🤣Dogo mara ya pili hii nakuonya kuwa stori za vijiweni zinakuharibu
FordNimekuwa hapo Mbeya kwa muda fulani sijawahi kuiona
Nasikia mtoto wa full dozi mwenye kiwanda cha kahawa kule Mlowo, Mbozi ni balaa ia sijawahi kuiona
Unataka kuniambia Shabiby na Abood wale ni masikini?Hivi ukishakuwa mmiliki wa mabasi ww ni tajiri?
sijakuelewa yaan haruhusiwi au mana umeweka alama ya kiulizoHivi Mr pipa nikuulize hapa tanzania,mtu binafsi aruhusiwa kumiliki soko kama ulivyoandika hapo?
nilichokuelewa ww utajir wa wewe umeupima kwa mtu kumilik magar na maduka sasa huo si utajir mi ninachozungumzia hapa ni uwekezaji wa kudumu kama nyumba viwnj,mashamb, uwekezaj wa kwenye machimbo nk sasa hayo magar ni matoke ya uwekezaj et mtu ana busi mnamwita tajir vp zikipiga chini atakuwa tajiri? Ndio mana tuna matajir wa misimu tajir amedumu sana miaka 10 sasa huyu ninaemuongelea hata afe mtoto wake mjukuu bado anaukuta utajir wake kwasababu ni wakudumu labda waamue tu kujifilis yaan sipend kuwa tajir ndio mana hata bus na semtrail zake kapaki na zinawashwa kila asubuh na hali hasara mwambie yule tajir wa mabas nayeye ajaribu kupaki mwez tuone kama atakuwa kwenye chat bro ottawa kafungua sheli yake ya kutia mafuta magar yake tu tajir gani wa njombe na mbeya anaweza hayo Afu broo waarabu watoe hao si watanzaniaMkuu kwa nyanda za juu kusini matajiri wakubwa ni waarabu halafu wanaofwata ni wakinga
DuhTrillion unaijua au unaisikia?Mo dewji alitaka mkopo wa Tsh. Bil 400 tu bank za Tz zote zikashindwa kumpa mpk ikabidi aende S/Africa ambapo mabenki kadhaa yalijiunga(consortium)
na kumpa mkopo huo.
We unakuja kuongelea Tsh Trillion.
hawa jamaa utajir wanaupima kwenye mabasi na malor kumbe kuna watu wana jiwe za kimya kimyaUtajiri ni nyumba na mashamba.
Kuna mzee ana nyumba zaidi ya 300 kwenye miji mikubwa + uzunguni etc.
Pia nje ya nchi south..dubai..London...marekani ndo usiseme...
Lakini kamwe hana mayowe...kimyaaaa
Biashara yake haipiki kelele..huwezi jua hata hapo kwenye mji wako baadhi ya maghorofa ni yake.
ni maskini waliochangamka,, kama huamin ngoja madereva wagome mwezi tu kama hujakaa nae bar za pombe za machicha kupiga komoni siku ukisikia madereva wamegoma we andaa buku tano mpitia abood na shabibi mwende kwenye ulanzi kama hajakushukuru mpaka unakufaUnataka kuniambia Shabiby na Abood wale ni masikini?
[emoji23] madavoo wakigoma si ana ajiri wengineni maskini waliochangamka,, kama huamin ngoja madereva wagome mwezi tu kama hujakaa nae bar za pombe za machicha kupiga komoni siku ukisikia madereva wamegoma we andaa buku tano mpitia abood na shabibi mwende kwenye ulanzi kama hajakushukuru mpaka unakufa
Matajiri wa mikoani 90% ni waswahiliUzi bila kuwataja waarabu na wahindi haunogi, ingawa umesema kweli ni wakimataifa [emoji1787] japo sio wote, kuna wakitaifa pia mzee baba[emoji16]
akiajiri wengin wakwanza wataenda kwa waganga wakawaroge wapya mwisho wapya wanaona giza njian wanatumbukiza mabasi mto wami kaa kidogo abood na shabibiy wanapigiwa simu na bank arudishe mkopo, aliokopa wanajikuta hawana hata mia bank inauza nyumba anayoish na bado mkopo hata robo ya malipo haujafika kinachofuata anapata presha the gooo end over[emoji23] madereva wakigoma si ana ajiri wengine
Over
tuna uswahili upi mzee baba
Wewe! Usimchukulie poa huyo mzee...ana real estate hadi dar tena sehemu nyeti kama dar free market ni ya kwakeSi ndo huyo kajenga jenga lodge huko kahama? Mbona anamiliki mali za kawaida sana hawezi kuingia kwenye list ya matajiri
Nitajie tajiri mwarabu wa mwanza?Kweli mkuu,uchumi wa Tanzania upo mikononi mwa waarabu na wahindi kuanzia dar mpaka mikoani
Waswahili kwa maana ni weusi ( waafrica i mean)tuna uswahili upi mzee baba