Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Attachments

  • images (9).jpeg
    images (9).jpeg
    60.3 KB · Views: 32
Mkuu kwa nyanda za juu kusini matajiri wakubwa ni waarabu halafu wanaofwata ni wakinga
nilichokuelewa ww utajir wa wewe umeupima kwa mtu kumilik magar na maduka sasa huo si utajir mi ninachozungumzia hapa ni uwekezaji wa kudumu kama nyumba viwnj,mashamb, uwekezaj wa kwenye machimbo nk sasa hayo magar ni matoke ya uwekezaj et mtu ana busi mnamwita tajir vp zikipiga chini atakuwa tajiri? Ndio mana tuna matajir wa misimu tajir amedumu sana miaka 10 sasa huyu ninaemuongelea hata afe mtoto wake mjukuu bado anaukuta utajir wake kwasababu ni wakudumu labda waamue tu kujifilis yaan sipend kuwa tajir ndio mana hata bus na semtrail zake kapaki na zinawashwa kila asubuh na hali hasara mwambie yule tajir wa mabas nayeye ajaribu kupaki mwez tuone kama atakuwa kwenye chat bro ottawa kafungua sheli yake ya kutia mafuta magar yake tu tajir gani wa njombe na mbeya anaweza hayo Afu broo waarabu watoe hao si watanzania
 
Utajiri ni nyumba na mashamba.
Kuna mzee ana nyumba zaidi ya 300 kwenye miji mikubwa + uzunguni etc.
Pia nje ya nchi south..dubai..London...marekani ndo usiseme...
Lakini kamwe hana mayowe...kimyaaaa
Biashara yake haipiki kelele..huwezi jua hata hapo kwenye mji wako baadhi ya maghorofa ni yake.
 
Utajiri ni nyumba na mashamba.
Kuna mzee ana nyumba zaidi ya 300 kwenye miji mikubwa + uzunguni etc.
Pia nje ya nchi south..dubai..London...marekani ndo usiseme...
Lakini kamwe hana mayowe...kimyaaaa
Biashara yake haipiki kelele..huwezi jua hata hapo kwenye mji wako baadhi ya maghorofa ni yake.
hawa jamaa utajir wanaupima kwenye mabasi na malor kumbe kuna watu wana jiwe za kimya kimya
 
Unataka kuniambia Shabiby na Abood wale ni masikini?
ni maskini waliochangamka,, kama huamin ngoja madereva wagome mwezi tu kama hujakaa nae bar za pombe za machicha kupiga komoni siku ukisikia madereva wamegoma we andaa buku tano mpitia abood na shabibi mwende kwenye ulanzi kama hajakushukuru mpaka unakufa
 
ni maskini waliochangamka,, kama huamin ngoja madereva wagome mwezi tu kama hujakaa nae bar za pombe za machicha kupiga komoni siku ukisikia madereva wamegoma we andaa buku tano mpitia abood na shabibi mwende kwenye ulanzi kama hajakushukuru mpaka unakufa
[emoji23] madavoo wakigoma si ana ajiri wengine

Over
 
[emoji23] madereva wakigoma si ana ajiri wengine

Over
akiajiri wengin wakwanza wataenda kwa waganga wakawaroge wapya mwisho wapya wanaona giza njian wanatumbukiza mabasi mto wami kaa kidogo abood na shabibiy wanapigiwa simu na bank arudishe mkopo, aliokopa wanajikuta hawana hata mia bank inauza nyumba anayoish na bado mkopo hata robo ya malipo haujafika kinachofuata anapata presha the gooo end over
 
Back
Top Bottom