Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Hizo nyumba 650 zipo wapi??ulizihesabu kwa macho yako au story za vijiweni??kwamba siku 7 mabasi yake yalisafirisha abiria bure Dar Songea una uthibitisho??maneno ya vijiweni mkishavuta ganja zeni mnaleta JF
oya iyo Ottawa ni nyoko bro...
 
Matajiri wengi sana watz hasa kanda ya ziwa wanautajiri wa kimazingaombwe sana
 
Matajiri wengi sana watz hasa kanda ya ziwa wanautajiri wa kimazingaombwe sana
yah ndio shida na ndio maana utajiri wao hauna burudani..... Hali vizuuri Hana gari Kali... watoto hawaendelez Mali.


yaani vurugu tu.

utajiri mzuri ni wa kibiashara halali, siasa, shule...

unaenjoy saana majumba, biashara magari makali
 
Hizo ndizo mada za watu waliopigika kimaisha.
 
Chai
 
Hapo Mbeya Mbona umewasahau S. H. Amon, Shitambala, Sijabaje
 
we mwamba kumbe unamjua kiundani et jamaa anamfananisha na FEO nimecheka mpaka mbavu zinauma nakumbuka walikujaga matajir wa kenya waingize share mali zao ottawa akawagomea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…