Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Nasma Hamisi, alishavuta
 
Umemsahau papaa misifa,, diamond alikuwa anamtaja sana enzi hizo sasa nae kawa na hela hawataji tena kwenye nyimbo zake anawataja ndugu zake na wafanyakazi wake tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah maisha haya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pisi kali kuna yule aliyeimbwa sana na Fali Ipupa alipokuja Dar kwa mara ya kwanza Yasmine
Jasmine alikuwa full package mguu mjazo. Ule mguu lazma hakuwa mchaga!
Lakin ile show aliyekuwa hot girl ni Mboni! Hata fally alicheza nae kwa hisia na adabu za matamanio na kale ka suti ka kung'aa bei mbaya kitovu nje km halagi chips!
Mboni popote ulipo pole. huwez kurudsha nyuma saa!
Nadhan watu maarufu wanaotoaga vitabu vya maisha yao, mboni atatusimuliaga walifanya nini na Fally thereafter!
 
Me nikafikri utawaja akina Cheusi Magala, Mayasa, Abas Gulamali wale wa zamani kweli kweli!
 
Ben Mulokozi....?
Salim Chicago Matelefone...?
?/
Kizaizai....?
Omary Tolu...?
Abduli Tolu...?
Joshua Limited...?
Muddy Nyamalonda mzee wa Pamba Kali...
?
China wa China...?
Shaibu Mapajero....?
Moris Mariaga Rais wa Sinza...?
Ntenze wa Ntenze....?
Rais wa sinza alikutwa na kesi ya ujambazi na kufungwa,naskia katoka
 
Salum alikua na duka la nguo kariakoo kabla hajawa maarufu,kuna ndgu yng alikua na duka jirani na mama yake salum...sijui siku hizi yuko wapi
 
Kizaizai alikuwa na yard ya magari ya uzushi mitaa ya shopper's...
Mwenye eneo alikuwa na mpango wa kuliuza,kila akimwambia Anunue eneo ni blhblh tu
Mwisho wa siku wakaja watu wenye pesa wakamtoa hapo kabakia kungaamacho tu

Ova
Nlifanya nae biashara ya range rover ya ndgu yangu akanidhulumu...mwisho wa siku gari ikashindikana kusajiliwa wakatema hela
 
Salamander unakuta watu wako smart utafikiria afisa wa ubalozi,mchana unawakuta post club wako na warembo wanakula na kunywa...pia kulikua na kijiwe kingine cha azam round about nyuma ya benjamin mkapa tower posta
 
Ilikuwa enzi za mkapa
 
wangoni wenzangu hao...[emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…