Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Inasemekana ni mke wa waziri mkuu wa Israel yule aliyekuwa kwenye koma mda mrefu ndio aliingizwa mjini
Kutokana na wao kuja kimagumashi msala ukawa hauna nguvu sana kwa kuchafua reputation ya nchii

Pia kuna wakili mmoja ndio alikuwa nyuma ya kina msofe ku endooze stamp na signature
Currently huyu wakili alisha rudisha namba kwa sir GOd
 
Kuna mtu alikuwa anaitwa Juma Ngida huyu alikuwa mtoto wa mjini kweli kweli na hela ilikuwepo...huyu ndio mtu wa kwanza kuingiza hizi gari Rav 4 mpya nchini ..kipindi mererani inaanza kuchimbwa jamaa akaanza safari akaenda kufika arusha wakamwambia mzee hiki kipindi cha mvua saa hivi barabara ya merelani gari hazipitiki kwa hizi gari za kifahari ujamaa pale pale akatoa mpunga akanunua land cruiser mpya impeleke ...yaan kama ananunua shati vile .ila amefariki kwa sasa aliimbwa mpaka na dudu baya kwenye nyimbo yake ya nidhamu mana jamaa ndio alikuwa anajiita don king minyamihela .
 
uko sahihi
 
Nje ya mada kidogo: unakumbuka kipindi cha Radio Kenya - je, huu ni unungwana? Na lenadi mambo mbotela?
 

Attachments

  • IMG_5489.MOV
    13.5 MB
Titina hukuwahi kuwa rapper(atalaku) Bali ni alikuwa mpiga drums wa wenge kwenye kurap walikuwa Roberto wunda na tutu kaludji
 
Sasa hivi amechoka sana Mutarika...Yupo Masasi...Kapooza upande mmoja
 
Man city car wash na Africa sana 😂
 
Hamedi bakayoko kafariki mwaka jana, ...jamaa alijiingiza kwenye siasa na alikuwa anaandaliwa kuwa Rais wa ivory cost
 
hivi ni kweli mboni alizaa na mcheza kandanda maarufu wa west africa, gorge weah/samwel eto?.

hizi habari zilikuwa zinazungumzwa sana miaka yetu ile.
Inasemekana ni Solomon kalou yule dogo m-ivory cost alikuwa akikipiga Chelsea enzi hizo akiwa na nduguye Didierdrogba
 
Ilikua mama moja pisi kali ya Arusha, pepe kalee alifichwa hadi akanyoosha mikono, nadhani bado yupo alikua na mtoto mmoja wa kike aliuliwa na mume wake walikua wakiishi UK
Nae pia aliefariki. Mungu amrehemu marehemu Hidaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…