reilah khatibu( RIP),hakuwahi kuimba taarabu na mzee yusufu. unless unamzungumzia reilah mwingine, naruhusu kusahihishwa.Reila hajachuana na hadija kopa...maana nafikiri reila ameimba taarab akiwa na mzee yusuf labda ungesema nasma khamis kidogodogo
Nafikri atakuwa alimaanisha reila rashid uyu bi mdogo wa mzee yusuf....nami nlimaanisha kumsahihisha uyoreilah khatibu( RIP),hakuwa kuimba taarabu na mzee yusufu. naruhusu kusahihishwa.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Nimekulia Sinza ile ya akina Remi ndio wanatamba na Volkswagen imeandikwa.''mambo kwa soksi'' tulikuwa tunajua karibu vijana wote, hivi sasa Sinza imebadirika ni Sinza ya magorofa,mahoteli,vijana wote wa zamani ama wamerudisha namba kwa Sir God ama wamehamia sehemu nyingine nje ya mji,nyumba nyingi tulizokuwa tunapanga chumba kimoja kimoja zimebomolewa na kujengwa mahekalu, nakumbuka pale sinza madukani kulikuwa na mbabe wa kikurya Lucky baba yake alikuwa usalama wa Taifa,namkubuka bibi Uliye alikuwa na mabinti kama 10 hatari sana, nakumbuka akina Banza stone wakiwa wadogo wakicheza disco mtaani, nakumbuka Vatican City ikiwa hotel kumbwa Sinza na Simba walikuwa wakiweka kambi hapo, namkumbuka Fred Mwalasha akiwa ametoka Ulaya na mke wa kizungu ikawa yeye ni bangi na bangi na yeye hadi mwanamke wa kizungu akamkimbia, siku hizi sinza yamejaa madangulo na wazee wale waliokuwa na nyumba ambazo tulikuwa tumepanga nao hatunao duniani ila zile nyumba walizoacha watoto wao wameziuza kwa matajiri na kwenda kunywea pombe na kula sembe. Sinza ya sasa si ile tuliyokuwa tunaitimba, ama kweli siku hazigandi.
Mjuu wa bi nasma ni Doctor turkey ila kwake maisha ya kawaida mnoReila hajachuana na hadija kopa...maana nafikiri reila ameimba taarab akiwa na mzee yusuf labda ungesema nasma khamis kidogodogo
Miaka hiyo Reila alikuwa mdogo yupo Mikindani anaokota chazaReila hajachuana na hadija kopa...maana nafikiri reila ameimba taarab akiwa na mzee yusuf labda ungesema nasma khamis kidogodogo
Shaban Ngalawa nilisomava tuition kwake wiki moja tu.Umemsahau Papaa Shabani Ngalawa (R.I.P). Huyu alikua mwalimu mzuri wa tution miaka ya 1995-2001 hizi za shule ya msingi. Miaka ambayo mtaa mzima unakuta waliofaulu la saba ni wawili au hakuna na katika hao waliofaulu wote walisoma tution kwa huyu mwalimu shabani..
Nakumbuka alichukuaga mkopo wa milioni 200 lengo likiwa kujenga shule yake binafsi maeneo ya kibamba. Akaweka rehani nyumba na shamba lake. Mwisho wa siku pesa zote zikaishia kuwatunza akina ally choki na mwinjuma muumini ktk mabendi na nyingine akanunulia toyota baloon. Benki ikaja ikapiga mnada nyumba na shamba wakamfilisi mazima.
Alitajwa sana kwenye nyimbo za Mwinjuma hasa ile ya Kilio cha Yatima. Alikuja kuugua mda mrefu na aliisha akawa kama mtoto. Amefariki akiwa hana hata pa kulala. Sad!
Kuba mwana mmoja alikuwa jirani yetu hapo dar somewhere alikuwa anatupa stori kuwa jimmy chocolate alikuwa anawambato sana maduu wa kino enzi zake.Hakua na issue yoyote aliku anakaa kwao kota mpk anazeeka..
Nakumbuka alipigwa ridandasi nbc ela za mafao ndio akaweka heshima bar.
Shabiki kindakindaki wa wajelajela gwa
Nilishaona mzee Mohamed said akimsfia kwenye moja ya nyuzi zake huku.Tunamkumbuka kama Shujaa wetu na mtu mwenye mapenzi ya kweli na kisarawe alikuwa mkurugenzi wa Bandarini ila Faida yake mpk Leo baadhi vizazi bado ipo sio yule bwana waziri anafaida yeyote zaidi ya kuongeza wake... Tunamsubiri kwa Hamu 2025...
Mzee inawezekana tulikulia mtaa mmoja.Shaban Ngalawa nilisomava tuition kwake wiki moja tu.
Pale mitaa ya kimara resort (vidudu)na tulikuwa tunafanya mitihani kwake enzi hizo.
Alikuwa mfupi hivi anapiga panki kifuani anaacha vishikizo viwili juu wazi na cheni inabembea na bonge la mustache.
Toka 2019.Sikujua kuwa pacha mmoja alishatutoka! Maskini
Huyu ni mume wa Ashura wa Tabata aliekua amemficha Diwani wa Tegeta.Uzi huu pia umemsahau baharia mzoefu handsome marehemu Hussein Macheni wa Macheni Bar pale migomigo
Hemedi Bakayoko alikua waziri mkuu wa Ivory Coast na alifariki mwaka jana kwa Kansa.Hao Wanamuziki wa Congo wote break yao kuna Don wa Ki Ivory coast anaishi Paris anaitwa Hemed Bakayoko, huyu ndio funga kazi, hii treasure.
Huyu ndio hakauki mdomoni mwa Boss ya Mboka Koffi Ollomide then ndio anakula shavu Samuel Etoo, hizi ni international level.
Amefariki mwaka jana alikua waziri Mkuu wa Ivory Coast.Kweli huyu bakayoko kwnye twanga fotoo nimesikia jina lake
Mimi nimesoma shule iko karibu na sekondari ya saranga[emoji2]Mzee inawezekana tulikulia mtaa mmoja.
Yeah Shaban Ngalawa alikua mfupi haswa, enzi zile wanafunzi tulimpaga jina la utani "Mwalimu Kijeba"
Mda unaenda kwa kasi sana...
Yupo hai ni dereva wizara ya kilimo. Zamani alikua dereva Tamisemi.Kulikuwa na daladala zinaitwa Madinda Trans je zilikuwa zake? Halafu jamaa nadhani alishadanja. Aliwahi kuishi na Aisha Mbegu (Aisha Madinda) ila walikuja kuachana
Jiwe aliua mziki wa dansi,Kilivyoingia chuma pale Ikulu ndio ikawa mwisho wa hao watu. Huku ikisemekana walijipatia ukwasi nje ya mstari sahihi.
Na ndio ikawa mwisho wa mziki wa dance hapa nchini hadi sasa. Maana walitegemea udhamini wa hao watu.
KansaHemed bakayokoo hakufa na corona kweli? Kuna mmoja niliona kafa na bacongo waliumia sana
Yah kawala sana,si unajua jina na hela za batabata hakosi.Kuba mwana mmoja alikuwa jirani yetu hapo dar somewhere alikuwa anatupa stori kuwa jimmy chocolate alikuwa anawambato sana maduu wa kino enzi zake.