Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Awali ya yote nitangulize angalizo kwa vijana ambao maturity stage imewakuta miaka hii ya mitandao ya kijamii. Itabidi msome kimyakimya huku mkiwa mmeshika peni na karatasi kuchukua notes.

Huu uzi ni wa sisi ma-seniors, maudhui yake yatagusa zaidi vijana wenzangu ambao maturity liwakuta kuanzia late 90s to early 2000s.

Mwaka 2002 mpaka 2012, mziki wa dansi ulikuwa upo kwenye prime time.

Kwa uchache tu, band zilizotamba ni FM Academia, Akudo Impact, Twanga Pepeta na Diamond Musica. Zingine zilikuwa zinaibuka na kupotea ndani ya muda mfupi.

Umaarufu wa hizi band ulienda sambamba na trend ya wanamuziki kutaja majina ya baadhi ya watu kwenye mashairi yao.

Majina ya hawa watu yalivuma na kuwa maarufu kuliko sura zao kwasababu miaka ile kulikuwa hakuna social platform za ku-share picha na video kama ilivyo hivi sasa.

Kutokana na kujichanganya kwangu ukijumlisha na ujanja wangu wa kimjini mjini wa miaka ile, nilifanikiwa kufahamiana na baadhi mapedeshee au wazee wa mujini ambao majina yao yalikuwa yanatajwa kwenye mziki wa dansi.

Nitataja ninaowakumbuka na wewe ongeza wa kwako.

Naandika majina yao kama yalivyokuwa yanatamkwa kwa mbwembwe na wanamuziki.

Kwa mfano kama mtu alikuwa anaitwa John, wanamuziki walikuwa wanatamka papaa John Young Millionaire Muzee ya ma-Range Rover[emoji3][emoji3].

Haya twende kazi:
Pedeshee Mychoice na kati ya Mbeya
:
huyu sijui alikuwa anapiga mishe gani huko Mbeya, watu wa Mbeya mtatusaidia.

Braza K na kati ya Tunduma:
Watu wa Tunduma mtatusaidia kutujuza kuhusu huyu jamaa, alivuma sana.

Mamaa Rukia Soloon:
Huyu bibie namfahamu, ana saloon yake ya kike mitaa ya Mikocheni barabara ya Rose Garden. Those days she was very pretty, kwa sasa utu uzima umemchukua.

Mamaa Dotnata Decoration:
Bila shaka wengi mnamkumbuka, aliwahi kuwa muigizaji maarufu kupitia ITV, baadae akaingia kwenye ujasiriamali wa kutoa huduma za decoration and catering. shughuli hizi zilimpatia mafanikio sana. sijui kwa sasa yupo wapi huyu mama. FM Academia waliwahi kumtungia wimbo wenye jina lake.

Mamaa Juddy Moshi:
Alikuwa mmiliki wa band ya Daimond Musica kwa financial support ya mshua mmoja ambaye alikuwa ni MD wa Yellow Pages, watu wa zamani wanaelewa. Juddy alikuwa mrembo si kitoto, kwa sasa umri wake umesonga mbele.

Pedeshee Akayesu Ndama Mutoto ya Ng'ombe:
Sina haja ya kumuelezea, ni mtu maarufu wa misimu yote. Wajanja wa mujini watamuelezea zaidi. Jina lake lilitajwa sana kwenye nyimbo za dansi zilizovuma.

Young Millionaire Bill gate Muzamir Katunzi:
Christian Bella aliwahi kutunga mpaka wimbo wenye jina hilohilo la Muzamir Katunzi. I don't know him personally, but it's told he was financially successful.

Papaa Msofe Chuma cha Reli hakishiki Kutu.
Sina haja ya kuandika mengi kuhusu umaarufu wa Papaa Msofe. Itoshe tu kusema jina lake liliimbwa sana halafu ni wachache waliokuwa wanajua sura yake. Walianza kuiona kwenye media alipokuwa anahudhuria viunga vya mahakama kujibu kesi yake.

Papaa Martin Kasianju.
Ni marehemu kwa sasa, huyu mshua ndio alikuwa mmiliki wa Band ya FM Academia. Nilikuwa namfahamu personally. licha ya kwamba alikuwa ni mjasiriamali na muajirwa Serikalini, pia alikuwa ni Senior Officer wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Andrew Traders na Kariakoo Big Supply: Jamaa alikuwa ni mfanyabiashara wa kuuza tairi za gari Mtaa wa Agrey Kariakoo huku akipiga michongo yake ya "general supply". Watu wa mujini wa zamani wanaelewa vizuri maana ya kampuni kusajiliwa kwa jina la general supply. Katika biashara ya kuuza tairi, alishirikiana na kaka yake, ila yeye akawa maarufu zaidi na akaaminika na wadau.

Kinje Mutoto wa Mujini:
Najua wengi mnamfahamu na zile deal zake alizokuwa anapiga. sina haja ya kumuelezea zaidi.

Pedeshee David Kabunga:
Sifahamu alikuwa ni nani, jina lake lilikuwa linatajwa sana.

Papaa Ally Kileo:
He was a prominent lawyer in town, jina lake lilikuwa linatajwa sana kwenye nyimbo za dansi.

Papaa Mutarika Mzee wa Mambo mengi:
Binafsi simfahamu, wajanja wa mujini wa zamani watajazia nyama kumuelezea.

Chef Justice Rugaibura:
Binafsi simfahamu, wajanja wa mujini wa miaka ile watajazia nyama kumuelezea.

Chief Kiumbe le Big Boss:
Anafahamika vizuri, jina lake lilitajwa na kuimbwa sana na wanamuziki wa band. wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea

Papaa Amos Makalla mzee wa Mvomero, Babaa na Gabriele:
Kwa sasa ni RC wa Dar, jina lake lilianza kuvuma kitambo sana kabla hata hajaingia kwenye siasa.

Fikiri Madinda Mukuu wa kazi: Anafahamika vizuri, wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea

Pedeshee Abdul Mkeketa:
Huyu wakati fulani aliwahi kuwa mbunge ktk Mkoa wa Morogoro, sikumbuki ni jimbo gani. kwa sasa ni marehemu.

Charles Mutawali Muzee ya Magari.
Binafsi simfahamu, wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea.

Saidi Mukuu wa lumumba:
Jamaa alikuwa dalali wa kuuza magari pande za Lumumba.

Meddy Kitendawili....?
Ben Mulokozi....?
Salim Chicago Matelefone...?
Kizaizai....?
Omary Tolu...?
Abduli Tolu...?
Joshua Limited...?
Muddy Nyamalonda mzee wa Pamba...?
China wa China...?
Shaibu Mapajero....?
Moris Mariaga Rais wa Sinza...?
Nteze wa Nteze....?
John Nzenze....?
Papaa Madenge....?
Muddy Nyambi....?
Jimmy Chokolete....?


Note of Appreciation
.
sikufikiria kama huu uzi ungepata wafuatiliaji wengi kiasi hiki. niwashukuru wote mnaoufatilia na mnaochangia maoni yenu. asanteni sana wadau.[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431]

Papaa Fikiri Madinda yupo. Ni dereva serikalini Wizara ya mambo ya nje
 
Kuna siku tuko new msasani club
Kwenye buzuki,wakongi kubao
Ali kileo alilileta karandinga
Pale ebwana watu walitafutana mule
Wakongo walitoka mbiooo
Alikuwa anajua kutengeneza mazingira,sema alikuja zinguaga wakamtupa kusini huko ndy kupotea
[emoji1]
Mara ya mwisho nlionana naye mtwara....muda sana nlikuwa naekea msumbj(sidadi)akawa anasema nyie watoto wa kjnondoni janjajanja sana
Mazabe tu,hatukutaka kuuweka sana kwake aside akatugeuza dili [emoji1]

Ova
mrangi ktk ubora wako wa story za mujini na pilikapilika zake.
 
Fikiri Madinda, alikuwa ni dereva wa serikali pale Mifugo na uvuvi kwa sasa Temeke. shughuli yake kubwa ilikuwa ni kufunga mitambo ya bendi. alikuwa anafanya kazi ikifika saa tisa gari imeshapaki anaaga anakwenda kwenye kazi za bendi ambazo mara nyingi ilikuwa inaanza kutumbuiza mida ya jioni.
 
Huu uzi siyo wa wakongwe ni wa vijana wa mjini! Nimesoma kuanzia page ya kwanza mpaka mwisho. Nimejifunza mengi. Kwa upekee kabisa, shukrani kwa wahenga wenzetu mrangi Matola mfianchi Carlitos Way
mbona umesahau kunitaja na mimi ambaye nimeanzisha huu uzi?.nimwagie maua yangu ningali hai kaka.

kama maandiko matakatifu yanaonyesha Mungu anapenda kusifiwa (Zaburi 150:1-6), mimi ni nani nisepende kusifiwa.

au unasubiri mpaka siku nirudishe namba kwa sir God ndio uje uanzishe uzi wa kunisifia?.

kama vipi acha nijifagirie mwenyewe, naitwa papaa smarter, mutu ya mujini, baba yake na janeth.

NB: ni utani tu wadau, msichukulie serious.[emoji1787][emoji1787]
 
mbona umesahau kunitaja na mimi ambaye nimeanzisha huu uzi?.nimwagie maua yangu ningali hai kaka.

kama maandiko matakatifu yanaonyesha Mungu anapenda kusifiwa (Zaburi 150:1-6), mimi ni nani nisepende kusifiwa.

au unasubiri mpaka siku nirudishe namba kwa sir God ndio uje uanzishe uzi wa kunisifia?.

kama vipi acha nijifagirie mwenyewe, naitwa papaa smarter, mutu ya mujini, baba yake na janeth.

NB: ni utani tu wadau, msichukulie serious.[emoji1787][emoji1787]
Ndugu yangu hebu angalia vizuri andiko langu mpaka mwisho. tena nimekutaja kwa upekee kabisa.
 
Awali ya yote nitangulize angalizo kwa vijana ambao maturity stage imewakuta miaka hii ya mitandao ya kijamii. Itabidi msome kimyakimya huku mkiwa mmeshika peni na karatasi kuchukua notes.

Huu uzi ni wa sisi ma-seniors, maudhui yake yatagusa zaidi vijana wenzangu ambao maturity liwakuta kuanzia late 90s to early 2000s.

Mwaka 2002 mpaka 2012, mziki wa dansi ulikuwa upo kwenye prime time.

Kwa uchache tu, band zilizotamba ni FM Academia, Akudo Impact, Twanga Pepeta na Diamond Musica. Zingine zilikuwa zinaibuka na kupotea ndani ya muda mfupi.

Umaarufu wa hizi band ulienda sambamba na trend ya wanamuziki kutaja majina ya baadhi ya watu kwenye mashairi yao.

Majina ya hawa watu yalivuma na kuwa maarufu kuliko sura zao kwasababu miaka ile kulikuwa hakuna social platform za ku-share picha na video kama ilivyo hivi sasa.

Kutokana na kujichanganya kwangu ukijumlisha na ujanja wangu wa kimjini mjini wa miaka ile, nilifanikiwa kufahamiana na baadhi mapedeshee au wazee wa mujini ambao majina yao yalikuwa yanatajwa kwenye mziki wa dansi.

Nitataja ninaowakumbuka na wewe ongeza wa kwako.

Naandika majina yao kama yalivyokuwa yanatamkwa kwa mbwembwe na wanamuziki.

Kwa mfano kama mtu alikuwa anaitwa John, wanamuziki walikuwa wanatamka papaa John Young Millionaire Muzee ya ma-Range Rover[emoji3][emoji3].

Haya twende kazi:
Pedeshee Mychoice na kati ya Mbeya
:
huyu sijui alikuwa anapiga mishe gani huko Mbeya, watu wa Mbeya mtatusaidia.

Braza K na kati ya Tunduma:
Watu wa Tunduma mtatusaidia kutujuza kuhusu huyu jamaa, alivuma sana.

Mamaa Rukia Soloon:
Huyu bibie namfahamu, ana saloon yake ya kike mitaa ya Mikocheni barabara ya Rose Garden. Those days she was very pretty, kwa sasa utu uzima umemchukua.

Mamaa Dotnata Decoration:
Bila shaka wengi mnamkumbuka, aliwahi kuwa muigizaji maarufu kupitia ITV, baadae akaingia kwenye ujasiriamali wa kutoa huduma za decoration and catering. shughuli hizi zilimpatia mafanikio sana. sijui kwa sasa yupo wapi huyu mama. FM Academia waliwahi kumtungia wimbo wenye jina lake.

Mamaa Juddy Moshi:
Alikuwa mmiliki wa band ya Daimond Musica kwa financial support ya mshua mmoja ambaye alikuwa ni MD wa Yellow Pages, watu wa zamani wanaelewa. Juddy alikuwa mrembo si kitoto, kwa sasa umri wake umesonga mbele.

Pedeshee Akayesu Ndama Mutoto ya Ng'ombe:
Sina haja ya kumuelezea, ni mtu maarufu wa misimu yote. Wajanja wa mujini watamuelezea zaidi. Jina lake lilitajwa sana kwenye nyimbo za dansi zilizovuma.

Young Millionaire Bill gate Muzamir Katunzi:
Christian Bella aliwahi kutunga mpaka wimbo wenye jina hilohilo la Muzamir Katunzi. I don't know him personally, but it's told he was financially successful.

Papaa Msofe Chuma cha Reli hakishiki Kutu.
Sina haja ya kuandika mengi kuhusu umaarufu wa Papaa Msofe. Itoshe tu kusema jina lake liliimbwa sana halafu ni wachache waliokuwa wanajua sura yake. Walianza kuiona kwenye media alipokuwa anahudhuria viunga vya mahakama kujibu kesi yake.

Papaa Martin Kasianju.
Ni marehemu kwa sasa, huyu mshua ndio alikuwa mmiliki wa Band ya FM Academia. Nilikuwa namfahamu personally. licha ya kwamba alikuwa ni mjasiriamali na muajirwa Serikalini, pia alikuwa ni Senior Officer wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Andrew Traders na Kariakoo Big Supply: Jamaa alikuwa ni mfanyabiashara wa kuuza tairi za gari Mtaa wa Agrey Kariakoo huku akipiga michongo yake ya "general supply". Watu wa mujini wa zamani wanaelewa vizuri maana ya kampuni kusajiliwa kwa jina la general supply. Katika biashara ya kuuza tairi, alishirikiana na kaka yake, ila yeye akawa maarufu zaidi na akaaminika na wadau.

Kinje Mutoto wa Mujini:
Najua wengi mnamfahamu na zile deal zake alizokuwa anapiga. sina haja ya kumuelezea zaidi.

Pedeshee David Kabunga:
Sifahamu alikuwa ni nani, jina lake lilikuwa linatajwa sana.

Papaa Ally Kileo:
He was a prominent lawyer in town, jina lake lilikuwa linatajwa sana kwenye nyimbo za dansi.

Papaa Mutarika Mzee wa Mambo mengi:
Binafsi simfahamu, wajanja wa mujini wa zamani watajazia nyama kumuelezea.

Chef Justice Rugaibura:
Binafsi simfahamu, wajanja wa mujini wa miaka ile watajazia nyama kumuelezea.

Chief Kiumbe le Big Boss:
Anafahamika vizuri, jina lake lilitajwa na kuimbwa sana na wanamuziki wa band. wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea

Papaa Amos Makalla mzee wa Mvomero, Babaa na Gabriele:
Kwa sasa ni RC wa Dar, jina lake lilianza kuvuma kitambo sana kabla hata hajaingia kwenye siasa.

Fikiri Madinda Mukuu wa kazi: Anafahamika vizuri, wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea

Pedeshee Abdul Mkeketa:
Huyu wakati fulani aliwahi kuwa mbunge ktk Mkoa wa Morogoro, sikumbuki ni jimbo gani. kwa sasa ni marehemu.

Charles Mutawali Muzee ya Magari.
Binafsi simfahamu, wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea.

Saidi Mukuu wa lumumba:
Jamaa alikuwa dalali wa kuuza magari pande za Lumumba.

Meddy Kitendawili....?
Ben Mulokozi....?
Salim Chicago Matelefone...?
Kizaizai....?
Omary Tolu...?
Abduli Tolu...?
Joshua Limited...?
Muddy Nyamalonda mzee wa Pamba...?
China wa China...?
Shaibu Mapajero....?
Moris Mariaga Rais wa Sinza...?
Nteze wa Nteze....?
John Nzenze....?
Papaa Madenge....?
Muddy Nyambi....?
Jimmy Chokolete....?


Note of Appreciation
.
sikufikiria kama huu uzi ungepata wafuatiliaji wengi kiasi hiki. niwashukuru wote mnaoufatilia na mnaochangia maoni yenu. asanteni sana wadau.[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431]

Usimsahau Pedeshee Jack Pemba.

Kuna kawimbo kamoja walimuimba "wewe ndiyo baba watoto wangu Jack Peeeeeemba"

Huyu bwana stori yeye ni mutoto ya Upanga, kule kwa akina East Coast akina King Crazy GK, MwanaFA, AY, n.k.

Kule bwana vijana dili zao kuu ilikuwa ni kuzamia Unyamwezini - Marekani au Uingereza.

Sasa bwana Jack Pemba alifanya kitu kimoja ya kipekee ikaacha gumzo kwa waliokuwa wanamjua kabla kajawa maarufu wa kuimbwa na bendi.

Bwana Jack Pemba alipomaliza sekondari akawa anataka kwenda majuu ila hana kitu. Unyamwezini kunahitaji nauli na kunahitaji salio liwe linasoma kwenye bank statement ili upewe viza.

Basi akaitisha harusi bwana. Michango ikafika kama milioni 22 hivi, akazizoa zote ndo ukawa mtaji wake kwa kuwendea Unyamwezini. Harusi ikabaki stori, binti wa watu analia halafu baadae ikabidi acheke tu kutokana na muvi kabamba lililochezwa. Yeye mwenyewe akakubali kwamba sio kwamba hapendwi, bali alikutana na mwanaume mwenye ndoto kubwa sana.

Jamaa akaruka kwenda Uingereza. Kule akachakarika kupata jimama la kizungu Mwingereza mzawa, akamchanganya kwa dozi za kibongo mama akafunga ndoa na Jack Pemba.

Basi kuanzia hapo jamaa mipango yake ikawa imeshatulia kwenye reli. Kupitia jimama lake akafanikisha connection za kuvuta mipunga ya wazungu kwa ajili ya kuja kuanzisha shule za soka "Afrika" (maana wazungu hawajuagi Tanzania).

Ndo akaja Bongo akiwa na pesa alizopewa kuja kufungua shule za soka ila akazigawa kidogo zingine akawamwagia waandishi wa udaku na wanamuziki wa bolingo wampaishe.

Basi ikawa ni bata batani huku jina lake likivuma kila mahali. Kwenye magazeti ya Shigongo yumo, na kwenye sauti za wakongomani wa Kinondoni yumo!

Mara ya mwisho alisikia akiwa Uganda ambapo alionekana akiwa kwenye picha moja na magari ya kifahari aina ya Range Rover wadau tukachukulia kuwa ni yake na kwamba anaendelea kupiga bakora Uganda.

Pia alionekana kwa Mange Kimambi ambapo alimuhonga Mange vidolari vya shopping basi Mange akamposti na kummwagia masifa kibao. Kwa kuwa ilikuwa ni baada ya Mange kuwa ameshatalikiwa na mume wake mzungu wadau wakahitimisha kuwa itakuwa alimmwagia na maziwa ya kiume.
 
Usimsahau Pedeshee Jack Pemba.

Kuna kawimbo kamoja walimuimba "wewe ndiyo baba watoto wangu Jack Peeeeeemba"

Huyu bwana stori yeye ni mutoto ya Upanga, kule kwa akina East Coast akina King Crazy GK, MwanaFA, AY, n.k.

Kule bwana vijana dili zao kuu ilikuwa ni kuzamia Unyamwezini - Marekani au Uingereza.

Sasa bwana Jack Pemba alifanya kitu kimoja ya kipekee ikaacha gumzo kwa waliokuwa wanamjua kabla kajawa maarufu wa kuimbwa na bendi.

Bwana Jack Pemba alipomaliza sekondari akawa anataka kwenda majuu ila hana kitu. Unyamwezini kunahitaji nauli na kunahitaji salio liwe linasoma kwenye bank statement ili upewe viza.

Basi akaitisha harusi bwana. Michango ikafika kama milioni 22 hivi, akazizoa zote ndo ukawa mtaji wake kwa kuwendea Unyamwezini. Harusi ikabaki stori, binti wa watu analia halafu baadae ikabidi acheke tu kutokana na muvi kabamba lililochezwa. Yeye mwenyewe akakubali kwamba sio kwamba hapendwi, bali alikutana na mwanaume mwenye ndoto kubwa sana.

Jamaa akaruka kwenda Uingereza. Kule akachakarika kupata jimama la kizungu Mwingereza mzawa, akamchanganya kwa dozi za kibongo mama akafunga ndoa na Jack Pemba.

Basi kuanzia hapo jamaa mipango yake ikawa imeshatulia kwenye reli. Kupitia jimama lake akafanikisha connection za kuvuta mipunga ya wazungu kwa ajili ya kuja kuanzisha shule za soka "Afrika" (maana wazungu hawajuagi Tanzania).

Ndo akaja Bongo akiwa na pesa alizopewa kuja kufungua shule za soka ila akazigawa kidogo zingine akawamwagia waandishi wa udaku na wanamuziki wa bolingo wampaishe.

Basi ikawa ni bata batani huku jina lake likivuma kila mahali. Kwenye magazeti ya Shigongo yumo, na kwenye sauti za wakongomani wa Kinondoni yumo!

Mara ya mwisho alisikia akiwa Uganda ambapo alionekana akiwa kwenye picha moja na magari ya kifahari aina ya Range Rover wadau tukachukulia kuwa ni yake na kwamba anaendelea kupiga bakora Uganda.

Pia alionekana kwa Mange Kimambi ambapo alimuhonga Mange vidolari vya shopping basi Mange akamposti na kummwagia masifa kibao. Kwa kuwa ilikuwa ni baada ya Mange kuwa ameshatalikiwa na mume wake mzungu wadau wakahitimisha kuwa itakuwa alimmwagia na maziwa ya kiume.
nakumbuka aliwahi kuanzisha kampuni ya kijanjanjanja ya kuwafanyia scouting wachezaji wachanga wa mpira hapa bongo. sijui ile kampuni ilifia wapi.
 
nasikia michezo ila cjaelewa ni michezo gan hiyo waliyokuwa wanacheza na kina tra
 
Back
Top Bottom