Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Na kuna yule jamaa kwa jina Kajumulo nae alikuwa na issue kama hizi za mambo ya soccer sijui aliishia wapi nae
Jamaa Sahiv ni. Mtu mzima kwa kweli,
Kajumulo fc ilikufa maana jamaa anatuma pesa nyingi kuendeleza timu pesa inaliwa.
Bado anajihusisha na mambo ya mipira huko state
 
Jamaa Sahiv ni. Mtu mzima kwa kweli,
Kajumulo fc ilikufa maana jamaa anatuma pesa nyingi kuendeleza timu pesa inaliwa.
Bado anajihusisha na mambo ya mipira huko state
Kuna kipindi alikuja dar nlionana naye
Kajumulo.....tulikutana kwenye barber shop moja ya uswaz tulipiga sana story

Ova
 
Kabisa, Mkuu
Umenikumbusha jina lake, yule Mzee alikuwa na akili ya kizungu....na aliwapa Pazi wote mishemishe za clearing and forwrding kwenye kampuni yake
Nyumbani kwake kulikuwa na Half Court ya Basketball, kama Unyamwezeni ukiingia kwake unajiona...
Tulikuwa tunakwenda kwake kucheza kikapu na kina Mazula juniors, na mtoto wa Warioba alikuwa Jahman fulani baadae...
Aliwapeleka Pazi wote US kula bata, nakumbuka tunamsomesha mshikaji maskani, kwamba hii ndio "tiketi" na "safari" yenyewe usirudi, na zaidi alikuwa mkongo na anakitema kweli kifaransa, tunamwambia ukifika huko wewe cholopoka na useme ni mkongo unahitahiji hifadhi yaani kujilipua...
Lakini wapi akarudi na baadae Mzee alivyovuta, Pazi wote chali..........
Mtoto wa warioba, aluta warioba
Mwanangu kitambo....
Yah mzee alikuwa mzungu sana
Alipofariki Mali nyingi na ofisi ile aliwachia ndugu zake walishindwa endeleza
Ndg yake mmja alikuwa mtu wa kamari sana alikuwa anaitwa ladis
Naye kavuta miaka hiyo ladis anatumia discovery matata sana
Malay nmemfanyia sana kazi za umessenger sema age yangu ilikuwa ndg wakat huo so kuniweka kitengo fulani ilikuwa shida,na nlikuwa namuuzia raba kali mpya mara kwa mara,si unajua nna wajomba mabaharia wao kupata vitu vikali nje ilikuwa kawaida
Sema malay alikuwa anapenda sana kuona watu wakipiga hatua na kuendelea

Ova
 
Kati ya mwaka jana au mwaka juzi kacheza pazi, hadi kwenye klabu bingwa
mmh!..labda alicheza kama veterani cos age yake ishasonga sana.

kuna mtu alianiambia jamaa alisomea ukocha wa basketball na sasa anafundisha timu moja huko Madagascar. may be alikuwa ananipiga kamba.
 
Hapo yupo Patrick nyembera,yupo yassin wengine majina yamenitoka

Ova
patrick nyembera aka patoo, huyu ni kaka yangu wa hiyari. pia kitaaluma yeye ni senior kwangu, wote tupo kwenye industry moja ya media. ni mtu mwenye experience kubwa kwenye sport journalism.

kwa sasa yeye yupo azamtv, mimi nipo kwenye shirika fulani hivi, maisha yanasonga.
 
patrick nyembera aka patoo, huyu ni kaka yangu wa hiyari. pia kitaaluma yeye ni senior kwangu, ana uzoefu wa kutosha. wote tupo kwenye industry moja ya media.

kwa sasa yeye yupo azamtv, mimi nipo kwenye shirika fulani hivi.
Aise kaka yake alikuwa Kennedy nyembera enzi hizo mbavu nene
Sema dah ......
Patrick alikuwa karibu sana na mtoto wa mengi...wahuni enzi hizo tukawa tunakuona kaka anacheza naye picha la kihindi si unajua tena wahuni wanataka jamaa afanye kweli Patrick
Yeye hana habari [emoji1]
Ila maisha ya zamani bana ukikumbuka una miss mambo mengi sana

Ova
 
Aise kaka yake alikuwa Kennedy nyembera enzi hizo mbavu nene
Sema dah ......
Patrick alikuwa karibu sana na mtoto wa mengi...wahuni enzi hizo tukawa tunakuona kaka anacheza naye picha la kihindi si unajua tena wahuni wanataka jamaa afanye kweli Patrick
Yeye hana habari [emoji1]
Ila maisha ya zamani bana ukikumbuka una miss mambo mengi sana

Ova
mtoto wa mengi yupi?.regina ambaye ni boss wa EATV and radio?.

ila kaka yangu nyembera yupo vizuri sana ktk kuji position na watoto wazuri wa kike, shida yake kubwa ni umaliziaji. huwa ana delay sana.
 
Dullah yule Mzanzibari? Kama ni huyo alikuwa mchezaji mzuri sana
jamaa alikuwa anajua sana. ni bahati mbaya tu nchi hii mchezo wa basketball haujawahi kupewa kipaombele.

ni mchezo unaokuwa treated kama meeting point ya watoto wa kishua na watoto wa kajamba nani.

hauchukuliwi kama sehemu wa kuwajenga vijana kuwa professional basketballers wa siku za baadae.
 
mtoto wa mengi yupi?.regina ambaye ni boss wa EATV and radio?.

ila kaka yangu nyembera yupo vizuri sana ktk kuji position na watoto wazuri wa kike, shida yake kubwa ni umaliziaji. huwa ana delay sana.
Huyo huyo Regina alikuwa karibu sana na Patrick
Alikuwa anakfanyisha tizi pia

Ova
 
Back
Top Bottom