Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

jamaa alikuwa anajua sana. ni bahati mbaya tu nchi hii mchezo wa basketball haujawahi kupewa kipaombele.

hapa tz matukio ya mchezo huu yanakuwa treated kama meeting point ya watoto wa kishua na watoto wa kajamba nani ktk mda wao wa ziada. hauchukuliwi kama sehemu ya kuwajenga vijana kuwa professional basketballers wa siku za baadae.
Kuna watu walikuwa na uwezo sana nashangaa hawakupata nafasi NBA
Au college hko USA
Wengi waliyokuwa na uwezo walienda USA walifanya mambo mengine naona walikosa nafasi au zali huko
Hasheem thabeet nasemaga siku zote
Hakuwa mchezaji wa kikapubsema alitengenezwa ,kapata bahati kaichezea
Kuna watu walikuwa nanuwezo sana
Sema talent ilipotea tu

Ova
 
Huyo huyo Regina alikuwa karibu sana na Patrick
Alikuwa anakfanyisha tizi pia

Ova
si nasikia regina ni muumini wa rainbow, huwa "anawananiliu" mademu wenzie.

hivi kuna mkaka yotote wa kitz wa umri wetu huu aliwahi kupiga yule mdada?, binafsi na ubonitauni wangu wote sijawahi kusikia.

regina mpaka leo na utu uzima ule, bado yupo single. siku hizi ana mvi kichwani.
 
si nasikia regina ni muumini wa rainbow, huwa "anawananiliu" mademu wenzie.

hivi kuna mkaka yotote wa kitz wa umri wetu huu aliwahi kupiga yule mdada?, binafsi na ubonitauni wangu wote sijawahi kusikia.

regina mpaka leo na utu uzima ule, bado yupo single. siku hizi ana mvi kichwani.
Dah aise yule hajaliwa
Kama analiwa basi kisiri

Yee hiyo sifa kitambo sana alikuwa nayo....

Ova
 
Dah aise yule hajaliwa
Kama analiwa basi kisiri

Yee hiyo sifa kitambo sana alikuwa nayo....

Ova
nahisi kwa sasa atakuwa anacheza near 50...ameshakuwa kibibi aka juve.


ila mimi watoto wa mzee mengi(ukiondoa marehemu mutie), huwa siwaelewi.

yule kakaake regina jamaa wa kuitwa abdiel nahisi na yeye ni walewale wa upande wa rainbow(sijui kwanini namuwazia hivi,Mungu atanisamehe).

kinachowasadia ni wasiri sana wa mambo yao, hawajichanganyi kwenye mikusanyiko mikubwa ya starehe, halafu hawatumii social media.
 
nahisi kwa sasa atakuwa anacheza near 50...ameshakuwa kibibi aka juve.


ila mimi watoto wa mzee mengi(ukiondoa marehemu mutie), huwa siwaelewi. yule kakaake regina jamaa wa kuitwa abdiel nahisi na na yeye walewale(sijui kwanini,Mungu atanisamehe).

kinachowasadia ni wasiri sana wa mambo yao halafu hawatumii social media.
Regina labda apate mtu mwenye pesa zaidi yao,labda anaweza kukubali kuliwa na kuzaa na mtu,maana ukiangalia mwanaume atakayemuoa atampa nini??

Ingawa sasa hivi umri pia ushamtupa mkono sana! Kwenye 47yrs huko kuweza kuzaa ni Majaliwa tu
 
Aise kaka yake alikuwa Kennedy nyembera enzi hizo mbavu nene
Sema dah ......
Patrick alikuwa karibu sana na mtoto wa mengi...wahuni enzi hizo tukawa tunakuona kaka anacheza naye picha la kihindi si unajua tena wahuni wanataka jamaa afanye kweli Patrick
Yeye hana habari [emoji1]
Ila maisha ya zamani bana ukikumbuka una miss mambo mengi sana

Ova
Aisee..
Umenikumbusha Kenny Nyembera , wakati ule wa local gym sio mchezo kwa kina Marlon Linje (Mzee ya Gitaa)
Kweli baadae ilikuwa daah.... changamoto za maisha hizi....

Halafu Patrick Nyembera alikuwa multitalent nakumbuka enzi za Don Bosco, Mpira yupo na alikuwa anaupiga mwingi...
UkIja Basketball yupo na mpaka kufika Pazi na michezo mingine mingi tu alikuwa mkali....
 
Uzi mzuri sana..nimeuona leo na nimeumaliza kurasa zote..hili huwa nalifanya kuepuka kurudia vitu ambavyo tayari vimejadiliwa na kuuliza maswali ambayo yatakufanya uonekane hauko makini.
Mkuu Smarter safi sana.
Zimetajwa baadhi ya bendi na wanamuziki kama kumbukizi ya miaka hiyo..naomba niitaje bendi ya muziki wa dansi ya Chuchu Sound chini ya Omary Mkali na Mao Santiago.
Kwenye mapedezee naomba nimtaje Papaa Kilua.
Ahsante.
 
Uzi mzuri sana..nimeuona leo na nimeumaliza kurasa zote..hili huwa nalifanya kuepuka kurudia vitu ambavyo tayari vimejadiliwa na kuuliza maswali ambayo yatakufanya uonekane hauko makini.
Mkuu Smarter safi sana.
Zimetajwa baadhi ya bendi na wanamuziki kama kumbukizi ya miaka hiyo..naomba niitaje bendi ya muziki wa dansi ya Chuchu Sound chini ya Omary Mkali na Mao Santiago.
Kwenye mapedezee naomba nimtaje Papaa Kirua.
Ahsante.
papaa kirua....nasikia anamiliki kiwanda kinachozalisha nondo(kama nimekosea nisahihishwe).

shukrani kwa kuusoma uzi wangu. karibu tena.
 
papaa kirua....nasikia anamiliki kiwanda kinachozalisha nondo(kama nimekosea nisahihishwe).

shukrani kwa kuusoma uzi wangu. karibu tena.
Ni kweli..sehemu fulani Kibaha huko..
 
nahisi kwa sasa atakuwa anacheza near 50...ameshakuwa kibibi aka juve.


ila mimi watoto wa mzee mengi(ukiondoa marehemu mutie), huwa siwaelewi.

yule kakaake regina jamaa wa kuitwa abdiel nahisi na yeye ni walewale wa upande wa rainbow(sijui kwanini namuwazia hivi,Mungu atanisamehe).

kinachowasadia ni wasiri sana wa mambo yao, hawajichanganyi kwenye mikusanyiko mikubwa ya starehe, halafu hawatumii social media.
Abdi ameoa mwaka Jana kisiri Siri(Private).
 
Uzi mzuri sana..nimeuona leo na nimeumaliza kurasa zote..hili huwa nalifanya kuepuka kurudia vitu ambavyo tayari vimejadiliwa na kuuliza maswali ambayo yatakufanya uonekane hauko makini.
Mkuu Smarter safi sana.
Zimetajwa baadhi ya bendi na wanamuziki kama kumbukizi ya miaka hiyo..naomba niitaje bendi ya muziki wa dansi ya Chuchu Sound chini ya Omary Mkali na Mao Santiago.
Kwenye mapedezee naomba nimtaje Papaa Kirua.
Ahsante.
Yusuf Chuchu, Gabi Katanga, King Giovanii
 
Kuna watu walikuwa na uwezo sana nashangaa hawakupata nafasi NBA
Au college hko USA
Wengi waliyokuwa na uwezo walienda USA walifanya mambo mengine naona walikosa nafasi au zali huko
Hasheem thabeet nasemaga siku zote
Hakuwa mchezaji wa kikapubsema alitengenezwa ,kapata bahati kaichezea
Kuna watu walikuwa nanuwezo sana
Sema talent ilipotea tu

Ova
Wenzetu wanatengeneza watu, vipaji halisi ni vichache saana huko, wakina phil jones kina maguire ni wa kutengenezwa tu, kina nyoni huku ni vipaji halisi.
 
hongera zake.
ila hii hainifanyi nisiendelee kumuwazia vibaya kwa maana ni kawaida kwa wanaume ambao ni "michicha mwiba" kuoa na kutungisha mimba mademu, ila nyuma ya pazia wanaendelea na michezo yao ya ajabu ajabu.
Mimi kwa experience yangu niliyoipata,watoto wengi Sana wa kishua wanachelewa Sana kuoa na suala la kua na watoto sio kipaumbele Chao Sana(sababu ya starehe ziliyopitiliza na kuoa kwao kinakua Kama Ni kifungo) mpk wanakorofishana na wazazi wao kwa kuchelewa kuoa,wengine wanakua na doubt ya mwanamke Kama kafuata hela kwny ndoa au la na wengine vikwazo vinaanzia ndani ya familia kwa Wazazi kumchunguza Sana mwanamke anaetaka kuoelewa na kijana wao(kwa maana ya background ya familia alikotoka etc).Inshort kwny kulinda utajiri wa familia kitu muhimu Sana kinachozingatiwa na familia za kitajiri zinazojielewa Ni suala la kijana wao anaoa wapi.

Naona watoto wa maskini ndio kuoa hua Ni kipaumbele Chao Cha kwanza kabisa na masuala ya kua na watoto kwa wao ni ufahari/utajiri.
 
Mimi kwa experience yangu niliyoipata,watoto wengi Sana wa kishua wanachelewa Sana kuoa na suala la kua na watoto sio kipaumbele Chao Sana(sababu ya starehe ziliyopitiliza na kuoa kwao kinakua Kama Ni kifungo) mpk wanakorofishana na wazazi wao kwa kuchelewa kuoa,wengine wanakua na doubt ya mwanamke Kama kafuata hela kwny ndoa au la na wengine vikwazo vinaanzia ndani ya familia kwa Wazazi kumchunguza Sana mwanamke anaetaka kuoelewa na kijana wao(kwa maana ya background ya familia alikotoka etc).Inshort kwny kulinda utajiri wa familia kitu muhimu Sana kinachozingatiwa na familia za kitajiri zinazojielewa Ni suala la kijana wao anaoa wapi.

Naona watoto wa maskini ndio kuoa hua Ni kipaumbele Chao Cha kwanza kabisa na masuala ya kua na watoto kwa wao ni ufahari/utajiri.
hili lina ukweli 100%.
kwanini kwa familia tajiri za kiarabu hali hii haipo?. kwa mfano yusup bakhresa, mtoto wa mzee bakhresa alioa mapema sana na mpaka sasa yupo na mkewe.
 
hili lina ukweli 100%.
kwanini kwa familia tajiri za kiarabu hali hii haipo?. kwa mfano yusup bakhresa, mtoto wa mzee bakhresa alioa mapema sana na mpaka sasa yupo na mkewe.
Aisee ktk jamii ambazo hua wanawahi kuoa hua Ni waarabu na hii Ni Hadi kwa familia zao za matajiri,kijana hata wa early 20's unakuta ameoa afu fresh tu Maisha yanaendelea, nadhani labda Ni mambo ya tamaduni mkuu.
 
Awali ya yote nitangulize angalizo kwa vijana ambao maturity stage imewakuta miaka hii ya mitandao ya kijamii. Itabidi msome kimyakimya huku mkiwa mmeshika peni na karatasi kuchukua notes.

Huu uzi ni wa sisi ma-seniors, maudhui yake yatagusa zaidi vijana wenzangu ambao maturity liwakuta kuanzia late 90s to early 2000s.

Mwaka 2002 mpaka 2012, mziki wa dansi ulikuwa upo kwenye prime time.

Kwa uchache tu, band zilizotamba ni FM Academia, Akudo Impact, Twanga Pepeta na Diamond Musica. Zingine zilikuwa zinaibuka na kupotea ndani ya muda mfupi.

Umaarufu wa hizi band ulienda sambamba na trend ya wanamuziki kutaja majina ya baadhi ya watu kwenye mashairi yao.

Majina ya hawa watu yalivuma na kuwa maarufu kuliko sura zao kwasababu miaka ile kulikuwa hakuna social platform za ku-share picha na video kama ilivyo hivi sasa.

Kutokana na kujichanganya kwangu ukijumlisha na ujanja wangu wa kimjini mjini wa miaka ile, nilifanikiwa kufahamiana na baadhi mapedeshee au wazee wa mujini ambao majina yao yalikuwa yanatajwa kwenye mziki wa dansi.

Nitataja ninaowakumbuka na wewe ongeza wa kwako.

Naandika majina yao kama yalivyokuwa yanatamkwa kwa mbwembwe na wanamuziki.

Kwa mfano kama mtu alikuwa anaitwa John, wanamuziki walikuwa wanatamka papaa John Young Millionaire Muzee ya ma-Range Rover[emoji3][emoji3].

Haya twende kazi:
Pedeshee Mychoice na kati ya Mbeya
:
huyu sijui alikuwa anapiga mishe gani huko Mbeya, watu wa Mbeya mtatusaidia.

Braza K na kati ya Tunduma:
Watu wa Tunduma mtatusaidia kutujuza kuhusu huyu jamaa, alivuma sana.

Mamaa Rukia Soloon:
Huyu bibie namfahamu, ana saloon yake ya kike mitaa ya Mikocheni barabara ya Rose Garden. Those days she was very pretty, kwa sasa utu uzima umemchukua.

Mamaa Dotnata Decoration:
Bila shaka wengi mnamkumbuka, aliwahi kuwa muigizaji maarufu kupitia ITV, baadae akaingia kwenye ujasiriamali wa kutoa huduma za decoration and catering. shughuli hizi zilimpatia mafanikio sana. sijui kwa sasa yupo wapi huyu mama. FM Academia waliwahi kumtungia wimbo wenye jina lake.

Mamaa Juddy Moshi:
Alikuwa mmiliki wa band ya Daimond Musica kwa financial support ya mshua mmoja ambaye alikuwa ni MD wa Yellow Pages, watu wa zamani wanaelewa. Juddy alikuwa mrembo si kitoto, kwa sasa umri wake umesonga mbele.

Pedeshee Akayesu Ndama Mutoto ya Ng'ombe:
Sina haja ya kumuelezea, ni mtu maarufu wa misimu yote. Wajanja wa mujini watamuelezea zaidi. Jina lake lilitajwa sana kwenye nyimbo za dansi zilizovuma.

Young Millionaire Bill gate Muzamir Katunzi:
Christian Bella aliwahi kutunga mpaka wimbo wenye jina hilohilo la Muzamir Katunzi. I don't know him personally, but it's told he was financially successful.

Papaa Msofe Chuma cha Reli hakishiki Kutu.
Sina haja ya kuandika mengi kuhusu umaarufu wa Papaa Msofe. Itoshe tu kusema jina lake liliimbwa sana halafu ni wachache waliokuwa wanajua sura yake. Walianza kuiona kwenye media alipokuwa anahudhuria viunga vya mahakama kujibu kesi yake.

Papaa Martin Kasianju.
Ni marehemu kwa sasa, huyu mshua ndio alikuwa mmiliki wa Band ya FM Academia. Nilikuwa namfahamu personally. licha ya kwamba alikuwa ni mjasiriamali na muajirwa Serikalini, pia alikuwa ni Senior Officer wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Andrew Traders na Kariakoo Big Supply: Jamaa alikuwa ni mfanyabiashara wa kuuza tairi za gari Mtaa wa Agrey Kariakoo huku akipiga michongo yake ya "general supply". Watu wa mujini wa zamani wanaelewa vizuri maana ya kampuni kusajiliwa kwa jina la general supply. Katika biashara ya kuuza tairi, alishirikiana na kaka yake, ila yeye akawa maarufu zaidi na akaaminika na wadau.

Kinje Mutoto wa Mujini:
Najua wengi mnamfahamu na zile deal zake alizokuwa anapiga. sina haja ya kumuelezea zaidi.

Pedeshee David Kabunga:
Sifahamu alikuwa ni nani, jina lake lilikuwa linatajwa sana.

Papaa Ally Kileo:
He was a prominent lawyer in town, jina lake lilikuwa linatajwa sana kwenye nyimbo za dansi.

Papaa Mutarika Mzee wa Mambo mengi:
Binafsi simfahamu, wajanja wa mujini wa zamani watajazia nyama kumuelezea.

Chef Justice Rugaibura:
Binafsi simfahamu, wajanja wa mujini wa miaka ile watajazia nyama kumuelezea.

Chief Kiumbe le Big Boss:
Anafahamika vizuri, jina lake lilitajwa na kuimbwa sana na wanamuziki wa band. wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea

Papaa Amos Makalla mzee wa Mvomero, Babaa na Gabriele:
Kwa sasa ni RC wa Dar, jina lake lilianza kuvuma kitambo sana kabla hata hajaingia kwenye siasa.

Fikiri Madinda Mukuu wa kazi: Anafahamika vizuri, wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea

Pedeshee Abdul Mkeketa:
Huyu wakati fulani aliwahi kuwa mbunge ktk Mkoa wa Morogoro, sikumbuki ni jimbo gani. kwa sasa ni marehemu.

Charles Mutawali Muzee ya Magari.
Binafsi simfahamu, wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea.

Saidi Mukuu wa lumumba:
Jamaa alikuwa dalali wa kuuza magari pande za Lumumba.

Meddy Kitendawili....?
Ben Mulokozi....?
Salim Chicago Matelefone...?
Kizaizai....?
Omary Tolu...?
Abduli Tolu...?
Joshua Limited...?
Muddy Nyamalonda mzee wa Pamba...?
China wa China...?
Shaibu Mapajero....?
Moris Mariaga Rais wa Sinza...?
Nteze wa Nteze....?
John Nzenze....?
Papaa Madenge....?
Muddy Nyambi....?
Jimmy Chokolete....?


Note of Appreciation
.
sikufikiria kama huu uzi ungepata wafuatiliaji wengi kiasi hiki. niwashukuru wote mnaoufatilia na mnaochangia maoni yenu. asanteni sana wadau.[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431]
Kwenye huu wimbo pia wanetajwa wengine wanaofaa kuingia kwenye orodha:

 
Back
Top Bottom