Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

katika huo msiba, marehemu moody mas pia alikuwepo, ni kama alijipeleka kwenda kuagana na marafiki zake.

nimemuona papaa madenge akiwa anapiga story na tajiri davis mosha. hakika msiba uliwakutanisha wototo wa mjini.
Hahaha nlimuona bwana

Sasa unajua mudy kuna hela moja ananidaigi zaidi ya miaka 10 ambayo
Ni 10000/ basi kila akinionaga ananikomaliaga,yaani kama utani hvi
Na mm nlimwambiaga sitakulipa
Aise huu msiba uliwakutanisha watu wengi wa Town
Yah papa madenge tena

Ova
 
Hahaha nlimuona bwana

Sasa unajua mudy kuna hela moja ananidaigi zaidi ya miaka 10 ambayo
Ni 10000/ basi kila akinionaga ananikomaliaga,yaani kama utani hvi
Na mm nlimwambiaga sitakulipa
Aise huu msiba uliwakutanisha watu wengi wa Town
Yah papa madenge tena

Ova
hahaha...kwa hiyo marehemu moody mas bado anakudai elf 10 yake.
 
Wasanii wetu ni tofauti na wasanii wa hapo Congo, wale ni matajiri kweli na wamejenga majengo ya maana na watoto au wake zao wanaishi ulaya,
Hawa wasanii wetu hua wanaact tuu lakini hawana kitu
Wasanii wa Congo nawaheshimu hapo tu. Familia zao wanazijali. Na mara nyingi familia zao huziweka private.
 
hahaha.....mrangi ni bontown, analijiua jiji la dar kiundani. anajua mishe zote za dar (za halali na haramu).

anawajua ma bigfish wote wa dar na michongo yao. anawajua wahuni wote wa dar, yaani ukipigwa kabali halafu ukaporwa simu, mcheki mrangi, simu yako itarudi.

last but not least anazijua neighborhood zote za dar, kuanzia zile wanazoishi washua mpaka zile tunazoishi sie akina kajamba nani.


kiufupi mrangi ni kanzidata inayotembea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

kwa hapa jf,huwa namfananisha mrangi na mzee Mohamed Said vile anavyoijua kariakoo/mzizima na watu wake wa zamani walioishi eneo lile.
Halafu yeye haanzishi uzi. Ni ana-comment tu. Mrangi kuna uzi alinikomesha anajua hadi mitaa ya Chingola, Zambia.
 
kwa kuwa msukumo wa huu uzi umetokana na mziki wa dansi/rumba/sebene, leo nimeamua kutenga mda kidogo kusikiliza album mpya ya ferre gola inayokwenda kwa jina la dynastie.

kama wewe ni mpenzi wa mziki wa rumba hutojutia ku-live stream hii album. kila nyimbo ni kali.

ndani ya hii album kuna ngoma inaitwa carte rose(pink card), ni rumba moja tamu sana. huu wimbo ferre ameimba kama special dedication kwa mtoto wa kike wa rais Felix Tshisekedi aitwae fanny tshisekedi.

huyu fanny tshisekedi ameolewa na jamaa mmoja anaitwa david mangaya, wedding yao ilifanyika mwezi uliopita.
IMG_20220927_164516.jpg
 
Dotto magari namjua vzr sana
Ila haya maisha bana,ukisikia watu
Wanaweza badilika,inawezekana
[emoji1]
Dotto kutoka upiga debe manyanya pale na kuna kitu naweza sema humu
Lakini, hata yeye huwa namsifugi na kumwambiaga ukweli
Unajua dotto alipokuwa mpiga debe alikuwaga teja yaani anatumia madude,ila alijitahidi akatoka huko kwa juhudi zake binafsi na leo hii kama mnavyomuona
Jamaa alikuwa mhuni sana aise
Nakumbuka kuna baharia mmja alituachiaga coaster yake sisi tulikuwa tunaipigia route za posta mwananyamala ,jamaa daily tulikuwa tunazinfuana naye..

Ova

Kuna mwanakijiji mmoja nilimweleza Dotto ni muhuni kuliko Babalevo na mwijaku washamba akabisha, nikamweleza Dotto hua kila akiongea anaitaja kinondoni unadhani anatania? Yule alikua kashindikana alikua anajishindilia sana halafu mwizi hatari, sema watu wanachange tuishie hapo
 
maisha yanaenda kasi sana kaka, kutoka kwenye upiga debe wa kwenye daladala, uteja na sasa dalali maarufu wa magari.

ndio maana sisi watoto wa mjini huwa hatudharau mtu. kila tunayekutananae ktk mishe zetu tunampa respect kutokana na hadhi yake, maana huwezi jua kesho na keshokutwa atakuwa nani.

Dharau mbaya sana mpe heshima kulingana na alivyo
 
kwa kuwa msukumo wa huu uzi umetokana na mziki wa dansi/rumba/sebene, leo nimeamua kutenga mda kidogo kusikiliza album mpya ya ferre gola inayokwenda kwa jina la dynastie.

kama wewe ni mpenzi wa mziki wa rumba hutojutia ku-live stream hii album. kila nyimbo ni kali.

ndani ya hii album kuna ngoma inaitwa carte rose(pink card), ni rumba moja tamu sana. huu wimbo ferre ameimba kama special dedication kwa mtoto wa kike wa rais Felix Tshisekedi aitwae fanny tshisekedi.

huyu fanny tshisekedi ameolewa na jamaa mmoja anaitwa david mangaya, wedding yao ilifanyika mwezi uliopita.
View attachment 2369831
Ahsante sana mkuu, Ferre alipata kesi na binti yake si unajua mambo ya ulaya, mtoto wa kike alikua havai vizuri so Ferre aliamua kumkanya kama mzazi dogo akaenda kushitaki so jamaa alipigwa mvua ya miezi 3,
Mtoto anaishi France
 
Ahsante sana mkuu, Ferre alipata kesi na binti yake si unajua mambo ya ulaya, mtoto wa kike alikua havai vizuri so Ferre aliamua kumkanya kama mzazi dogo akaenda kushitaki so jamaa alipigwa mvua ya miezi 3,
Mtoto anaishi France
niijua vizuri sana hiyo kesi, yupo uraiani kwa sasa. ktk interview yake moja ya hivi karibuni, ferre amemtuhumu babu wa huyo binti yake kwamba ndio aliyepanda sumu ya chuki kwa binti yake.
 
niijua vizuri sana hiyo kesi, yupo uraiani kwa sasa. ktk interview yake moja ya hivi karibuni, ferre amemtuhumu babu wa huyo binti yake kwamba ndio aliyepanda sumu ya chuki kwa binti yake.
Ulaya wana Mambo ya hovyo sana mkuu, Yule mtoto wa kiume kaambiwa akileta tabia zake atarudishwa Congo naye kasema ataenda Mahakamani, watoto ulaya wana haki kuliko wazazi inakuaje hii
 
Kuna mwanakijiji mmoja nilimweleza Dotto ni muhuni kuliko Babalevo na mwijaku washamba akabisha, nikamweleza Dotto hua kila akiongea anaitaja kinondoni unadhani anatania? Yule alikua kashindikana alikua anajishindilia sana halafu mwizi hatari, sema watu wanachange tuishie hapo
Dotto mhuni,mjelajela
Nishakuwaga na coaster alikuwa
Mpiga debe wangu....ilikuwa full uzushi,sema dotto na mapungufu yake alikuwa nayo ila jamaa alikuwa
Mwaminifu sana
Nlikuwa naye 4ways kama wiki 1 hivi imepita story nyingi haziishi

Ova
 
Hahahah bro unachangamsha hatari. Mimi ni mfuasi wako mwaminifu.
Hahahaha hahahaha

Ndomana hapa nko ruangwa kuna kijiwe fulani nmekaa napiga kahawa
Nawapa stori za ubaharia vijana
Basi hapakauki hapa,mastori hayaishi hapa [emoji1]
Kuna stori tunapiga za msumbiji sasa kule kuna gereza linaitwa machava,
Sasa huko kuna mchongo wa wafungwa kutoroshwa ila sasa huo mziki wake maana ni mchongo na unaukweli maana mnafukuzwa nyuma
Na unaweza pigwa shaba,ila ndy mchongo huooo ohooo
Sasa hapo kama hauna mbiooo shauri zako [emoji1]
Stori zinaendelea hapa.....


Ova
 
Hahahaha hahahaha

Ndomana hapa nko ruangwa kuna kijiwe fulani nmekaa napiga kahawa
Nawapa stori za ubaharia vijana
Basi hapakauki hapa,mastori hayaishi hapa [emoji1]
Kuna stori tunapiga za msumbiji sasa kule kuna gereza linaitwa machava,
Sasa huko kuna mchongo wa wafungwa kutoroshwa ila sasa huo mziki wake maana ni mchongo na unaukweli maana mnafukuzwa nyuma
Na unaweza pigwa shaba,ila ndy mchongo huooo ohooo
Sasa hapo kama hauna mbiooo shauri zako [emoji1]
Stori zinaendelea hapa.....


Ova
Umetisha sana mkuu
 
Hahahaha hahahaha

Ndomana hapa nko ruangwa kuna kijiwe fulani nmekaa napiga kahawa
Nawapa stori za ubaharia vijana
Basi hapakauki hapa,mastori hayaishi hapa [emoji1]
Kuna stori tunapiga za msumbiji sasa kule kuna gereza linaitwa machava,
Sasa huko kuna mchongo wa wafungwa kutoroshwa ila sasa huo mziki wake maana ni mchongo na unaukweli maana mnafukuzwa nyuma
Na unaweza pigwa shaba,ila ndy mchongo huooo ohooo
Sasa hapo kama hauna mbiooo shauri zako [emoji1]
Stori zinaendelea hapa.....


Ova
Hivi Mrangi Kuna jamaa alikuwa anaishi Kino na mratibu wa Miss Kinondoni enzi hizo,anaitwa George, alikuwa Meneja wa baa inaitwa King Palace ipo Keko Magurumbasi. King Palace ilikuwa balaa kwa densi kulikuwa na akina King na Small Jobiso. Enzi hizo madensa walikuwa na soko sana
 
Hivi Mrangi Kuna jamaa alikuwa anaishi Kino na mratibu wa Miss Kinondoni enzi hizo,anaitwa George, alikuwa Meneja wa baa inaitwa King Palace ipo Keko Magurumbasi. King Palace ilikuwa balaa kwa densi kulikuwa na akina King na Small Jobiso. Enzi hizo madensa walikuwa na soko sana
Boy George huyo

Ova
 
Back
Top Bottom