Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Ally kitobo ndio yule anajifanya DJ au namfananisha....
 
Enzi zetu ilikuwa Kama ifuatavyo,
Mwanyiro- Computer
Shabaan Dede
Mulenga
Kalasya
John Mwakangale
John jambele
Na wengine wengiiiii enzi zetu za RTD enzi za Kavasha wapi raise on na bugaloo huku afro kichwani na mafuta ya Yu yakinukia au headphone kubwa Kama rubani na viredio vidogo viliitwa walkman
 
safi sana kyambamasimbi.
 
Kweli Sinza imebadilika. Nimekulia Makaburini, jirani na kwa L. Tenga na J. Ikangaa! Tenga pesa anayo toka enzi hiyo. Jamaa alikuwa akinunua gari mpya. Nakumbuka alinunua hizi Premio mpya miaka ya 1990! Alinunua Range Rover 2nd generation kutoka CMC!

Sinza Kumekucha kulikuwa na video library ya kuazima latest movies kwa membership!
 
Ilikuwa enzi za JK zile Msofe alikaa sana Keko hadi akawa mweusi.. Mzee Massawe alikimbilia ughaibuni sijui kama amerudi..mwisho wa siku Msofe aliachia ile nyumba plus na riba na usumbufu kwa mjane.Ile nyumba ipo mitaa ya Mikocheni.
Sawa kabisa .Mke wa Marehem walimrudishia Nyumba Wakampa na Hela ya kutosha pamoja na Prado moja
 

hiyo video library sio ile ilikuwa inamilikiwa na nteze john?...mchezaji wa zamani wa club za tz.
 

Dah! Huyu bro, nafikiri ndiyo kati ya wabongo wa kwanza kuchapisha majina kwenye soccer jerseys. RIP Moody Mas mzee wa pamba kali original!
 
Nasma hamis kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…