mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hahaha naona bado mtambo Ana office yake pale nyuma ya tomato kinoFomu za kuomba viza kina Mtambo si ndio dili yao kuwajazia watu?
Kuna vitu vingine ni ipuuzi mtupu, mimo nilikuwa na Boss wangu mzungu alikuwa hakai Tanzania zaidi ya wiki mbili, kwahiyo kiswahili chake ni Jambo jambo na kuibia maneno machache, lakini baada ya baba yake kuwa mtu mzima sana alimpa kuw Rais wa makampuni yao cheo ambacho kitamlazimu awe anakaa Tanzania muda mwingi hivyo akaniomba nimtamfutie mwalimu wa kiswahili alikuwa anatenga mud ofisini anakuja kumfundisha.
My point mtu kuwa na exposure mpaka mamtoni halafu hujui kusoma na kuandika sasa hata vile vikadi airport akujazie nani? driving license amepataje US? au ndio zile za Wanubi? Too good to be true.
Aise,umenikumbusha jamaa ashanifanyia kazi 1,2 ,3 sema hanaga longolongo kwenye hela alikuwa
Alafu mkimyaaa, mtaratibuuu
Ova