Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Hivi kabila wale wenye Vatican
Yupo haha
Sinza nna wana wengi rip salum fish
Hivi yasin sinza yupo...duh list ndefu
Zamani watoto wa kinondoni wanaweza fanya mipango na wa sinza,magomeni na ilala kidogo
Ila watoto wa tmk kdg kulikuwa na tofauti

Ova
Hahahah Kino bana sijui kwann nilihamaga ningekuwa na connection kibao nilikuwa nakaa Kino wasanii kibao walikuwa wanakuja mitaa yetu wakina shwari.Tid.robby sijui yupo wap hapo biafra tumepanda sana bembea tunawafundisha watoto wa kishua kubembea kuendesha vigari vya michezo humo ndani

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Hahahah basi kimara baruti tumekutana nao sana kwa shabani ngalawa aka kiroba[emoji2] tukipiga pepa.

Ukitoka na banda la hesabu unachukua buku la enzi zile na pepa ijayo unagonga bure.

Mimi nimepiga ssna pepa kule,kwa ibunga mabibo, msimbazi centre, ali hassani mwinyi, ilinifanyi nikatoa VII enzi zile shule za kata hazipo hapo dar.
Ibunga miyeyusho anachapa bakora kama tuko shuleni kumbe tuition, nilipiga wik moja nikahamia kwa Dani mlokole kifa mburahati
 
Fomu za kuomba viza kina Mtambo si ndio dili yao kuwajazia watu?
Kuna vitu vingine ni ipuuzi mtupu, mimo nilikuwa na Boss wangu mzungu alikuwa hakai Tanzania zaidi ya wiki mbili, kwahiyo kiswahili chake ni Jambo jambo na kuibia maneno machache, lakini baada ya baba yake kuwa mtu mzima sana alimpa kuw Rais wa makampuni yao cheo ambacho kitamlazimu awe anakaa Tanzania muda mwingi hivyo akaniomba nimtamfutie mwalimu wa kiswahili alikuwa anatenga mud ofisini anakuja kumfundisha.

My point mtu kuwa na exposure mpaka mamtoni halafu hujui kusoma na kuandika sasa hata vile vikadi airport akujazie nani? driving license amepataje US? au ndio zile za Wanubi? Too good to be true.
Ndio maana nimeandika pia nashangaa imekuwaje aendeshe taxi lakini hajui kuandika wala kusoma???Mie ndie naemsomea na kumuandikia barua nyingi sana hadi za uhamiaji zote. lakini ni kweli hajui kuandika na kusoma na driving license anayo na gari anaendesha mijini anazunguka mwenyewe !!! ndio ujue hawa jamaa ni wajanja wajanja sana.
 
Ndio maana nimeandika pia nashangaa imekuwaje aendeshe taxi lakini hajui kuandika wala kusoma???Mie ndie naemsomea na kumuandikia barua nyingi sana hadi za uhamiaji zote. lakini ni kweli hajui kuandika na kusoma na driving license anayo na gari anaendesha mijini anazunguka mwenyewe !!! ndio ujue hawa jamaa ni wajanja wajanja sana.
Barabara za mamtoni kama hujui kusoma vibao babu inakuwaje? Utafika unakokwenda?
 
Wakati Mustahiki Meya wa Jiji Allan Mulumba Kashama anatuchezesha Dar es salaam kibinda nkoyi ndani ya Silent in Mwenge ulikuwa darasa la ngapi?
Unamjuwa Joseph Rwegasira?
Frediii Rwegasira
 
Hivi Eric Nzamba tumemtaja humu? Alirushwa na Ndanda Kosovo kwenye song lao la Prison, nadhani ni mtoto wa Kinondoni huyu, yuko hai.
 
Mpk leo wapo.....
Mfano pale mahakama ya kinondoni
Nje kuna vijiwe wamekaa watu,wote wale wana sikilizia issue za ndani ya mahakama,unaweza ambiwa leta mdhamini mwajiriwa wa serikali mpaka we umtafute si leo,utajikuta unaend siku 14 keko au segadance
Hahaha

Ova
Kiukweli hao jamaa wanasaidia Sana. Yaani chapu wanamaliza kazi. Ni Kama vile madalali wanavyorahisisha utafutaji nyumba.
 
Hawa walianza ujanja tu toka zamani
Alipotoka bukoba alipokelewa na ndg
Yake,akamuwekaga kwenye duka la dawa kino studio
Alijua mambo ya mjinimjini
Msofe naye wote walianzia salamander mjini...mambo ya mihuri,pport etc
Huko ndiko walijua michongo mingine
Kwa mtoto wa mjini zamani lazima uende salamander,azam kutega ujue na kupata a,b,c,d
Nashanga sahv mtoto wa mjini anaonekana na kutambulika
Kisa anaenda kidimbwi
Mtoto wa mjini maana yake huko mjini
Unakutana na watu,viongozi wanakupata connection au wanakupa mchongo kwa kukutumia wewwe nk
Siku mtu kwenda Juliana kidimbwi
Anaonekana umjini

Ova

.
 
Kida waziri, Tabia Mwanjerwa. Ford bado mtoto mdogo, Chiriku Manet, Kasaloo kyanga songa na mdogo wake, King kikii double ooo!! huyu mzee waaa juwata ya zamani nk, watu km hao km hujawataja wewe pia ni mtoto tu! Nyamza kuleeee!!
 
Uncle Salehe ni mwandishi alikuwaga BBC Swahili baadae akawa mbunge
Sio uncle saleh huyo
Mwenyewe alikua na kipindi cha mziki wa rhumba katika Television ya Zanziba (ZBC). Alikuwa pia mpenzi sana wa bendi ya Msondo. Ameshatangulia mbele za haki R.I.P
 
Kida waziri, Tabia Mwanjerwa. Ford bado mtoto mdogo, Chiriku Manet, Kasaloo kyanga songa na mdogo wake, King kikii double ooo!! huyu mzee waaa juwata ya zamani nk, watu km hao km hujawataja wewe pia ni mtoto tu! Nyamza kuleeee!!
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Tchacho Mwamba mwanamziki toka Kongo na muigizaji bongo movie
patcho mwamba "tajiri".
huyu mcongo pamoja na kwamba ni mwanamuziki, pia ni mtu wa mipango na connection nyingi sana za mujini.

connection zake zilisaidia sana kuifikisha fm academia kufika pale ilipofika. watu wenye ushawishi na mapedeshee wote walikuwa kwenye himaya yake.

ukitaja orodha ya wacongo wajanja(street-smart)na wanaojua kucheza vizuri na mazingira ya tz, patcho anaweza akachukua namba moja.

IMG_20220706_212755.jpg
 
huyo jamaa jina lake lilitajwa sana na wenge BCBG katikati na mwishoni mwa miaka ya 90 kabla ya viongozi wa kundi hilo(jp mpiana na werrason)kutofautiana.

alikuwa ni mtoto kipenzi wa rais wa nchi hiyo mobutu seseseko. jina lake halisi ni Kongulu Mobutu, ila wanamuziki kwa kunogesha, walimpachika jina la sadam hussein(wenyewe wakitamka sadam sene) wakifananisha ushupavu wake na rais wa iraq sadam hussein baada ya kuwashinda wamerakani ktk vita ya desert storm iliyopiganwa miaka ya 90.

Kongulu aka "sadam sene" alikuwa very powerful and fearful enzi za utawala wa baba yake halafu bata boy sana.jiji la Kinshasa na viunga vyake vilikuwa kwenye himaya yake, hakuna aliyeweza kuleta vyoko mbele yake.alifariki mwaka 1998.

hapa JF kuna nyuzi kadhaa zinazomzungumzia,moja wapo ni hii hapa.unaweza kuipitia ili upate mawili matatu kumuhusu:Fahamu machache kuhusu special presidential division: Kikosi maalumu kilichomlinda Mobutu Seseseko enzi za utawala wake
Umedanganya... Hujui vita ya ghuba ilikuaje. Lini Saddam Hussein aliwashinda Usa? Kuna uongo mwingine watu wanakugundua kirahisi tu.
 
Back
Top Bottom