Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

umenirudisha mbali sana bro kuhusu dada amina mongi. may her soul continues to rest in peace. ardhi imemeza watu hii, dah!!.

miaka fulani ya katikati mwa 2000, niliwahi kufanya kazi kwa ukaribu sana na kaka yake azizi mongi. sijui yupo wapi kwa sasa huyu braza.

NB:
ila mrangi nimekuvulia kofia aisee, wewe ni encyclopedia inayotembea.

upo deep and well informed kuhusu matukio, lifestyle na watu maarufu waliotingisha jiji la dar mwishoni mwa miaka ya 90, miaka ya 2000 mpaka 2012.

nakushauri utunge kitabu ili upige pesa. kama utahitaji udhamini, nitasaidia kukupa connection.
Wakina zizzoue fashion wako wapi!

Machapta naona yupo ...nlionana naye msiba wa bishop mmj wa kinondoni
Huyu ntakuja kupa kituko chake

Hivi George mayenga alitajwa humu
Naye alirushwa sana na mabendi
Mzee wa kandarasi ofisi feki [emoji1]

Ova
 
Wakina zizzoue fashion wako wapi!

Machapta naona yupo ...nlionana naye msiba wa bishop mmj wa kinondoni
Huyu ntakuja kupa kituko chake

Hivi George mayenga alitajwa humu
Naye alirushwa sana na mabendi
Mzee wa kandarasi ofisi feki [emoji1]

Ova
Mzee tufanye siku moja kipind aisee ukiwa tayari nikuchek ni moja ya stori nzuri naamin tunaweza kupiga mastori mawili matatu
 
Awali ya yote nitangulize angalizo kwa vijana ambao maturity stage imewakuta miaka hii ya mitandao ya kijamii. Itabidi msome kimyakimya huku mkiwa mmeshika peni na karatasi kuchukua notes.

Huu uzi ni wa sisi ma-seniors, maudhui yake yatagusa zaidi vijana wenzangu ambao maturity liwakuta kuanzia late 90s to early 2000s.

Mwaka 2002 mpaka 2012, mziki wa dansi ulikuwa upo kwenye prime time.

Kwa uchache tu, band zilizotamba ni FM Academia, Akudo Impact, Twanga Pepeta na Diamond Musica. Zingine zilikuwa zinaibuka na kupotea ndani ya muda mfupi.

Umaarufu wa hizi band ulienda sambamba na trend ya wanamuziki kutaja majina ya baadhi ya watu kwenye mashairi yao.

Majina ya hawa watu yalivuma na kuwa maarufu kuliko sura zao kwasababu miaka ile kulikuwa hakuna social platform za ku-share picha na video kama ilivyo hivi sasa.

Kutokana na kujichanganya kwangu ukijumlisha na ujanja wangu wa kimjini mjini wa miaka ile, nilifanikiwa kufahamiana na baadhi mapedeshee au wazee wa mujini ambao majina yao yalikuwa yanatajwa kwenye mziki wa dansi.

Nitataja ninaowakumbuka na wewe ongeza wa kwako.

Naandika majina yao kama yalivyokuwa yanatamkwa kwa mbwembwe na wanamuziki.

Kwa mfano kama mtu alikuwa anaitwa John, wanamuziki walikuwa wanatamka papaa John Young Millionaire Muzee ya ma-Range Rover[emoji3][emoji3].

Haya twende kazi:
Pedeshee Mychoice na kati ya Mbeya
:
huyu sijui alikuwa anapiga mishe gani huko Mbeya, watu wa Mbeya mtatusaidia.

Braza K na kati ya Tunduma:
Watu wa Tunduma mtatusaidia kutujuza kuhusu huyu jamaa, alivuma sana.

Mamaa Rukia Soloon:
Huyu bibie namfahamu, ana saloon yake ya kike mitaa ya Mikocheni barabara ya Rose Garden. Those days she was very pretty, kwa sasa utu uzima umemchukua.

Mamaa Dotnata Decoration:
Bila shaka wengi mnamkumbuka, aliwahi kuwa muigizaji maarufu kupitia ITV, baadae akaingia kwenye ujasiriamali wa kutoa huduma za decoration and catering. shughuli hizi zilimpatia mafanikio sana. sijui kwa sasa yupo wapi huyu mama. FM Academia waliwahi kumtungia wimbo wenye jina lake.

Mamaa Juddy Moshi:
Alikuwa mmiliki wa band ya Daimond Musica kwa financial support ya mshua mmoja ambaye alikuwa ni MD wa Yellow Pages, watu wa zamani wanaelewa. Juddy alikuwa mrembo si kitoto, kwa sasa umri wake umesonga mbele.

Pedeshee Akayesu Ndama Mutoto ya Ng'ombe:
Sina haja ya kumuelezea, ni mtu maarufu wa misimu yote. Wajanja wa mujini watamuelezea zaidi. Jina lake lilitajwa sana kwenye nyimbo za dansi zilizovuma.

Young Millionaire Bill gate Muzamir Katunzi:
Christian Bella aliwahi kutunga mpaka wimbo wenye jina hilohilo la Muzamir Katunzi. I don't know him personally, but it's told he was financially successful.

Papaa Msofe Chuma cha Reli hakishiki Kutu.
Sina haja ya kuandika mengi kuhusu umaarufu wa Papaa Msofe. Itoshe tu kusema jina lake liliimbwa sana halafu ni wachache waliokuwa wanajua sura yake. Walianza kuiona kwenye media alipokuwa anahudhuria viunga vya mahakama kujibu kesi yake.

Papaa Martin Kasianju.
Ni marehemu kwa sasa, huyu mshua ndio alikuwa mmiliki wa Band ya FM Academia. Nilikuwa namfahamu personally. licha ya kwamba alikuwa ni mjasiriamali na muajirwa Serikalini, pia alikuwa ni Senior Officer wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Andrew Traders na Kariakoo Big Supply: Jamaa alikuwa ni mfanyabiashara wa kuuza tairi za gari Mtaa wa Agrey Kariakoo huku akipiga michongo yake ya "general supply". Watu wa mujini wa zamani wanaelewa vizuri maana ya kampuni kusajiliwa kwa jina la general supply. Katika biashara ya kuuza tairi, alishirikiana na kaka yake, ila yeye akawa maarufu zaidi na akaaminika na wadau.

Kinje Mutoto wa Mujini:
Najua wengi mnamfahamu na zile deal zake alizokuwa anapiga. sina haja ya kumuelezea zaidi.

Pedeshee David Kabunga:
Sifahamu alikuwa ni nani, jina lake lilikuwa linatajwa sana.

Papaa Ally Kileo:
He was a prominent lawyer in town, jina lake lilikuwa linatajwa sana kwenye nyimbo za dansi.

Papaa Mutarika Mzee wa Mambo mengi:
Binafsi simfahamu, wajanja wa mujini wa zamani watajazia nyama kumuelezea.

Chef Justice Rugaibura:
Binafsi simfahamu, wajanja wa mujini wa miaka ile watajazia nyama kumuelezea.

Chief Kiumbe le Big Boss:
Anafahamika vizuri, jina lake lilitajwa na kuimbwa sana na wanamuziki wa band. wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea

Papaa Amos Makalla mzee wa Mvomero, Babaa na Gabriele:
Kwa sasa ni RC wa Dar, jina lake lilianza kuvuma kitambo sana kabla hata hajaingia kwenye siasa.

Fikiri Madinda Mukuu wa kazi: Anafahamika vizuri, wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea

Pedeshee Abdul Mkeketa:
Huyu wakati fulani aliwahi kuwa mbunge ktk Mkoa wa Morogoro, sikumbuki ni jimbo gani. kwa sasa ni marehemu.

Charles Mutawali Muzee ya Magari.
Binafsi simfahamu, wajanja wa zamani wa mujini watajazia nyama kumuelezea.

Saidi Mukuu wa lumumba:
Jamaa alikuwa dalali wa kuuza magari pande za Lumumba.

Meddy Kitendawili....?
Ben Mulokozi....?
Salim Chicago Matelefone...?
Kizaizai....?
Omary Tolu...?
Abduli Tolu...?
Joshua Limited...?
Muddy Nyamalonda mzee wa Pamba...?
China wa China...?
Shaibu Mapajero....?
Moris Mariaga Rais wa Sinza...?
Nteze wa Nteze....?
John Nzenze....?
Papaa Madenge....?
Muddy Nyambi....?
Jimmy Chokolete....?


Note of Appreciation
.
sikufikiria kama huu uzi ungepata wafuatiliaji wengi kiasi hiki. niwashukuru wote mnaoufatilia na mnaochangia maoni yenu. asanteni sana wadau.[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431]
Asante kwa huu Uzi mkuu ntakuchek inbox tufanye kipind kama mpo free we na mrangi
 
Asante kwa huu Uzi mkuu ntakuchek inbox tufanye kipind kama mpo free we na mrangi
haina shida kaka, ni wazo zuri sana. itakapofika huo mda, mrangi ataniwakilisha, ana madini mengi sana. mimi nitakuwa behind the scene niki facilitate na ku coordinate baadhi ya vitu.
 
We ndiyo una madini mengi mzee salute [emoji122]

Sasa kuna huyu machapta nmemkumbuka......
Una mwanzo kabisa machapta hana kitu alikuwa anafanya kazi kwa asha baraka ile kampuni yake...mambo ya mziki...alikuwa anatumwa huku kule
Hadi kupewa mpunga
Sasa siku ya siku bwana machapta alijuongeza aliondoka na mzigo na ndy safari yake ya kwanza China nduki
Kweli kufika China mambo yakamnyookea...
Kuna siku sasa nakutana na asha baraka anangaka,anaongea mpk povu linataka kumtoka analalamika jamaa kaondoka na mzigo si unajua asha kwa hela tena
Na kuna wakati fulani nliendaga China kweli nkakutana na machapta nkamchana mama kule anakutafuta kapusuka [emoji1] jamaa akasema ah nkirudi bongo ntamalizana naye
Ah kweli bwana machapta alirudi bongo mguu wa kwqnza kamtafuta asha akampa mzigo wake na kafaida kadogo mama akapoa
Machapta naye akajipanga akanunua Nissan murano +kufungua saloon pale kinondoni B
Mambo mengine mnayamaliza kimjini mjini na deni halikimbiwi [emoji1]

Ova
huyo machapta ndio yule jamaa alikuwa anamiliki studio ya video production maeneo ya kinondoni vijana?
 
Sunda yupo enzi hizo alipiga Ela ndefu sana ya Tanzanite pale mererani japo alikuwa hajasoma alipata bahati kusaidiwa na vigogo flani kuwekeza pesa yake kwa mfano kununua mount meru hotel major share na kujenga na kununua vitega
uchumi vingi vya majengo hapa chuga kwa sasa biashara ya madini haimlipi sana zaidi ya Kula Kodi tu ya vitega uchumi vyake. Sema jamaa alikuwa akihusishwa na ushirikina sana na mcheza kamari sana kwenye casinos.
 
Nani anamkumbuka pedeshee Ali Aurora? Maisha ya huyu jamaa yalitawaliwa na visa vingi vya utapeli na dhuluma.

Halafu akaja kufariki kwa maradhi yaliyomtesa sana. Inadaiwa aliowadhulumu walimpiga "msumali".
Huyu jamaa alikuwa tapeli mbwaa alishatuzulumu gari asee tulimfuatilia ofisini kwake bila mafanikio amekufa anaozea kitandani mbwaa kbsaa
 
Usimsahau Pedeshee Jack Pemba.

Kuna kawimbo kamoja walimuimba "wewe ndiyo baba watoto wangu Jack Peeeeeemba"

Huyu bwana stori yeye ni mutoto ya Upanga, kule kwa akina East Coast akina King Crazy GK, MwanaFA, AY, n.k.

Kule bwana vijana dili zao kuu ilikuwa ni kuzamia Unyamwezini - Marekani au Uingereza.

Sasa bwana Jack Pemba alifanya kitu kimoja ya kipekee ikaacha gumzo kwa waliokuwa wanamjua kabla kajawa maarufu wa kuimbwa na bendi.

Bwana Jack Pemba alipomaliza sekondari akawa anataka kwenda majuu ila hana kitu. Unyamwezini kunahitaji nauli na kunahitaji salio liwe linasoma kwenye bank statement ili upewe viza.

Basi akaitisha harusi bwana. Michango ikafika kama milioni 22 hivi, akazizoa zote ndo ukawa mtaji wake kwa kuwendea Unyamwezini. Harusi ikabaki stori, binti wa watu analia halafu baadae ikabidi acheke tu kutokana na muvi kabamba lililochezwa. Yeye mwenyewe akakubali kwamba sio kwamba hapendwi, bali alikutana na mwanaume mwenye ndoto kubwa sana.

Jamaa akaruka kwenda Uingereza. Kule akachakarika kupata jimama la kizungu Mwingereza mzawa, akamchanganya kwa dozi za kibongo mama akafunga ndoa na Jack Pemba.

Basi kuanzia hapo jamaa mipango yake ikawa imeshatulia kwenye reli. Kupitia jimama lake akafanikisha connection za kuvuta mipunga ya wazungu kwa ajili ya kuja kuanzisha shule za soka "Afrika" (maana wazungu hawajuagi Tanzania).

Ndo akaja Bongo akiwa na pesa alizopewa kuja kufungua shule za soka ila akazigawa kidogo zingine akawamwagia waandishi wa udaku na wanamuziki wa bolingo wampaishe.

Basi ikawa ni bata batani huku jina lake likivuma kila mahali. Kwenye magazeti ya Shigongo yumo, na kwenye sauti za wakongomani wa Kinondoni yumo!

Mara ya mwisho alisikia akiwa Uganda ambapo alionekana akiwa kwenye picha moja na magari ya kifahari aina ya Range Rover wadau tukachukulia kuwa ni yake na kwamba anaendelea kupiga bakora Uganda.

Pia alionekana kwa Mange Kimambi ambapo alimuhonga Mange vidolari vya shopping basi Mange akamposti na kummwagia masifa kibao. Kwa kuwa ilikuwa ni baada ya Mange kuwa ameshatalikiwa na mume wake mzungu wadau wakahitimisha kuwa itakuwa alimmwagia na maziwa ya kiume.
Huyu jamaa nasikia alipita na Aunty Ezekiel?...

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Kwan yule jamaa Idrisa na matege yake,ule mpunga wa Big Brother uko wapi?? 500M kala zote
Alikutana na Wema Sepetu wakawa wanakula na kulala Hotel za Five Star Arusha, Dar na Zanzibar, pesa yote ikaisha...ingia YouTube search Salama Na - Idris Sultan umsikie mwenyewe. Gari ya Maana ilikuwa BMW X6

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
ni kweli, hili jina nimelisikia mara nyingi. marehemu moshi william alikuwa analitaja sana.

alikuwa ni nani huyo mtu na yupo wapi hivi sasa?.
Alikuwa anauza spare za magari pale mitaa ya Msimbazi Kariakoo na Duka lake liliitwa hivyo hivyo, pia alikuwa na Garage yake mitaa ya Kinondoni

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Alikutana na Wema Sepetu wakawa wanakula na kulala Hotel za Five Star Arusha, Dar na Zanzibar, pesa yote ikaisha...ingia YouTube search Salama Na - Idris Sultan umsikie mwenyewe. Gari ya Maana ilikuwa BMW X6

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Kuna watu wasenge kweli. Yaani wewe mwanaume na pesa yako eti unaenda kumtafuta Wema mtu ambaye keshagongwa na watu kibao.

Mshamba mwingine ni Harmonize kumnunulia Range Rover Kajala halafu eti anaimba na wimbo kabisa wa kujisifia kwamba kamhonga Kajala. Kajala mwenzie P Funk kapiga mpaka kazalisha, na jamaa wengine kibao tu washapita mpaka jela alienda huko sijui kama walimwacha maafande.
 
Kuna watu wasenge kweli. Yaani wewe mwanaume na pesa yako eti unaenda kumtafuta Wema mtu ambaye keshagongwa na watu kibao.

Mshamba mwingine ni Harmonize kumnunulia Range Rover Kajala halafu eti anaimba na wimbo kabisa wa kujisifia kwamba kamhonga Kajala. Kajala mwenzie P Funk kapiga mpaka kazalisha, na jamaa wengine kibao tu washapita mpaka jela alienda huko sijui kama walimwacha maafande.
Kajala nmeanza kmjua tokea kanasoma kumbukumbu primary school...
Enzi hzo beach alikuwa na team yake wanasasambua tu,club asset pale wasasasambua sana...
Sema ndy hivyo Ana zali la watu kumzimikia...
Na maisha hya anayapenda ya spotlight .....bata
Kabla ya konde kumbuka aliolewa na smbdy faraji yule jamaa aliyekuwa na issue ya benki...na kilichomkuta nafikiri unakikumbuka...

Ova
 
Aisee ktk jamii ambazo hua wanawahi kuoa hua Ni waarabu na hii Ni Hadi kwa familia zao za matajiri,kijana hata wa early 20's unakuta ameoa afu fresh tu Maisha yanaendelea, nadhani labda Ni mambo ya tamaduni mkuu.
Issue ni imani (dini ya kiislam) wanawai ili kuepuka/ kuikimbia zinaa( kufanya mapenzi bila kuwa na ndoa)
 
Kuna watu wasenge kweli. Yaani wewe mwanaume na pesa yako eti unaenda kumtafuta Wema mtu ambaye keshagongwa na watu kibao.

Mshamba mwingine ni Harmonize kumnunulia Range Rover Kajala halafu eti anaimba na wimbo kabisa wa kujisifia kwamba kamhonga Kajala. Kajala mwenzie P Funk kapiga mpaka kazalisha, na jamaa wengine kibao tu washapita mpaka jela alienda huko sijui kama walimwacha maafande.
Wasanii wa bongofleva usiwaamini hata kidogo, huyo mmakonde hana uwezo wa kumnunulia kajala Range, hyo gari alipewa na tajiri mmoja kino mwenye yard ya magari amsaidie kumtafutia wateja.
 
Back
Top Bottom