Tuwaheshimu hawa wanawake wanaozungusha biashara mtaani

Tuwaheshimu hawa wanawake wanaozungusha biashara mtaani

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Kuna wanawake na mabinti wanazunguka mtaani hasa maeeneo yenye shughuri za kazi mbalimbali kama masoko,workshop,gerejeji nk wakiuza hasa matunda .

Kunatabia ambayo imeota mizizi naweza kusema ni sawa na kidharirisha utu wao.

Anaitwa apeleke matunda katika kundi la wanaume ktk sehemu hiyo,wananunua ndio lakini unakuta mwanaume mmoja mara ashike titi mwingine tako,mwinge mbavu,mwinge began kwa nyakati tofauti tofauti.

Huu ni upuuzi,hao wanawake wapo kujitafutia ridhiki kwa njia halali nu kazi kama kazi nyingine waheshimiwe msi take advantages kipuuzi kutweza utu wao.

Hao wana wake si kwamba wapo tu wengi wanafamilia zao na waume zao,waheshimuni.

Si kwamba wanapenda kufanyiwa hivyo ni kwa sababu hawana jinsi na wanachukulia kama ni changamoto Mei-take advantage,wangetaka kufanyiwa hivyo basi wangekuja kivingine.

Nimeshuhudia maeneo tofauti hii tabia mara kenda hasa buguruni wanapouza mbao na gereji nikienda service ya baby walker yangu.

NINA ICHUKIA HII TABIA.
 
Kuna wanawake na mabinti wanazunguka mtaani hasa maeeneo yenye shughuri za kazi mbalimbali kama masoko,workshop,gerejeji nk wakiuza hasa matunda .

Kunatabia ambayo imeota mizizi naweza kusema ni sawa na kidharirisha utu wao.

Anaitwa apeleke matunda katika kundi la wanaume ktk sehemu hiyo,wananunua ndio lakini unakuta mwanaume mmoja mara ashike titi mwingine tako,mwinge mbavu,mwinge began kwa nyakati tofauti tofauti.

Huu ni upuuzi,hao wanawake wapo kujitafutia ridhiki kwa njia halali nu kazi kama kazi nyingine waheshimiwe msi take advantages kipuuzi kutweza utu wao.

Hao wana wake si kwamba wapo tu wengi wanafamilia zao na waume zao,waheshimuni.

Si kwamba wanapenda kufanyiwa hivyo ni kwa sababu hawana jinsi na wanachukulia kama ni changamoto mistake advantage,wangetaka kufanyiwa hivyo basi wangekuja kovingine.

Nimeshuhudia maeneo tofauti hii tabia mara kenda hasa buguruni wanapouza mbao na gereji nikienda service ya baby walker yangu.

NINA ICHUKIA HII TABIA.
Wewe kumbe hujui ndo wanacho penda sanaa hao wanawake, ndo wanavo pata wateja wao na mwishowe wenza wao.......mwanamke anapenda sana kusifiwa na kjmtamani ndo raha yao
 
Mkuu,wewe ni muhanga? Kama sio muhanga basi nikufungue macho,hao akina mama wanapenda kufanyiwa hivyo ili biashara yao iende,akiwa mkali hataki kushikwa hatapata wateja daima. Kuna dada jirani yangu amefungua mgahawa, mwanzo mwa biashara alikuwa anauza sana ila walipojaribu wanaume kumfanyia hivyo akawa mkali basi wateja wakawa wanahama mmoja baada ya mwingine,sasa hivi anayaota yeye peke yake masufulia ya wali.
 
ila ni kama wanapenda wenyewe, ushasikia kauli za wale wanaouza mihogo mibichi? nimefanya kazi sokoni wanapenda sana kutaniwa na hata wakifanyiwa hivyo unavyosema huwezi kuona resistance yoyote kutoka kwao kuonyesha hawapendi.

Nimewaona wengi, tena wengine anaweza weka beseni lake pembeni mkamalizane ni kama wanauza vyote matunda pamoja na tunda lao
 
Kuna wanawake na mabinti wanazunguka mtaani hasa maeeneo yenye shughuri za kazi mbalimbali kama masoko,workshop,gerejeji nk wakiuza hasa matunda .

Kunatabia ambayo imeota mizizi naweza kusema ni sawa na kidharirisha utu wao.

Anaitwa apeleke matunda katika kundi la wanaume ktk sehemu hiyo,wananunua ndio lakini unakuta mwanaume mmoja mara ashike titi mwingine tako,mwinge mbavu,mwinge began kwa nyakati tofauti tofauti.

Huu ni upuuzi,hao wanawake wapo kujitafutia ridhiki kwa njia halali nu kazi kama kazi nyingine waheshimiwe msi take advantages kipuuzi kutweza utu wao.

Hao wana wake si kwamba wapo tu wengi wanafamilia zao na waume zao,waheshimuni.

Si kwamba wanapenda kufanyiwa hivyo ni kwa sababu hawana jinsi na wanachukulia kama ni changamoto mistake advantage,wangetaka kufanyiwa hivyo basi wangekuja kovingine.

Nimeshuhudia maeneo tofauti hii tabia mara kenda hasa buguruni wanapouza mbao na gereji nikienda service ya baby walker yangu.

NINA ICHUKIA HII TABIA.
Ebu kwenda huko kwani wao wamelalamika? Wao wenyewe wanape da kushikwa titi na kalio.
Hamna mwanamke asiependa kushikwa titi na tako
 
ila ni kama wanapenda wenyewe, ushasikia kauli za wale wanaouza mihogo mibichi? nimefanya kazi sokoni wanapenda sana kutaniwa na hata wakifanyiwa hivyo unavyosema huwezi kuona resistance yoyote kutoka kwao kuonyesha hawapendi.

Nimewaona wengi, tena wengine anaweza weka beseni lake pembeni mkamalizane ni kama wanauza vyote matunda pamoja na tunda lao
Wapi hapo mkuu nije nile mihogo matunda na mbususu juu
 
ila ni kama wanapenda wenyewe, ushasikia kauli za wale wanaouza mihogo mibichi? nimefanya kazi sokoni wanapenda sana kutaniwa na hata wakifanyiwa hivyo unavyosema huwezi kuona resistance yoyote kutoka kwao kuonyesha hawapendi.

Nimewaona wengi, tena wengine anaweza weka beseni lake pembeni mkamalizane ni kama wanauza vyote matunda pamoja na tunda lao
Kwahy wanakuwa wamebanwa ila hawasemi 😂
 
Hahaha nimeyashuhudia haya pale soko la Veteran, Tazara mkuu, kuna vile vibanda vya store wanalika sana hao, ukiwa na mke muuza matunda na mihogo mibichi muombe Mungu tu asikupe magonjwa
Hao ndio wake sass sii unaona anapambana...superwoman huyo
 
𝙰𝚜𝚎𝚎 𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚑𝚊𝚠𝚊 𝚟𝚒𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚜𝚘𝚔𝚘𝚗𝚒 𝚑𝚊𝚜𝚊 𝚠𝚊𝚕𝚎 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚘𝚙𝚊𝚗𝚐 𝚋𝚒𝚊𝚜𝚑𝚊𝚛𝚊 𝚌𝚑𝚒𝚗𝚒 𝚊𝚞 𝚔𝚞𝚜𝚑𝚒𝚔𝚒𝚛𝚒𝚊 𝚖𝚔𝚘𝚗𝚘𝚗𝚒, 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚔/𝚔𝚘𝚘 𝚗𝚊 𝚔𝚊𝚛𝚞𝚖𝚎, 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚝𝚊𝚋𝚒𝚊 𝚣𝚊 𝚑𝚘𝚟𝚢𝚘 𝚜𝚊𝚗𝚊 ,𝚞𝚗𝚊𝚔𝚞𝚝𝚊 𝚖𝚠𝚊𝚗𝚊𝚖𝚔𝚎 𝚑𝚊𝚗𝚊 𝚑𝚊𝚝𝚊 𝚋𝚒𝚊𝚜𝚑𝚊𝚛𝚊, 𝚒𝚕𝚊 𝚊𝚔𝚒𝚙𝚒𝚝𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚖𝚜𝚑𝚒𝚔𝚊 𝚜𝚎𝚑𝚎𝚖𝚞 𝚢𝚊 𝚖𝚠𝚒𝚕𝚒 𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚘𝚗𝚐𝚎𝚊 𝚖𝚊𝚗𝚎𝚗𝚘 𝚢𝚊 𝚔𝚎𝚓𝚎𝚕𝚒, 𝙳𝚊𝚑 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚗𝚒𝚞𝚍𝚑𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚓𝚒𝚞𝚕𝚒𝚣𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚒 𝚑𝚊𝚠𝚊 𝚑𝚊𝚠𝚊𝚗𝚊 𝚗𝚍𝚞𝚐𝚞 𝚠𝚊 𝚔𝚒𝚔𝚎 𝚓𝚊𝚙𝚘 𝚠𝚊𝚠𝚎 𝚗𝚊 𝚞𝚝𝚞 𝚋𝚊𝚜𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚎𝚜𝚑𝚒𝚖𝚊 𝚔𝚠𝚊𝚘 𝚗𝚐𝚞𝚖𝚞..
𝚈𝚊𝚊𝚗𝚒 𝚋𝚊𝚜𝚒 𝚝𝚞 𝚗𝚊𝚝𝚊𝚖𝚊𝚗𝚒𝚐𝚒 𝚔𝚞𝚠𝚊𝚌𝚑𝚊𝚛𝚊𝚣𝚊 𝚖𝚒𝚔𝚠𝚊𝚓𝚞 𝚒𝚜𝚒𝚢𝚘𝚗𝚊 𝚒𝚍𝚊𝚍𝚒
 
Back
Top Bottom