Tuwaheshimu hawa wanawake wanaozungusha biashara mtaani

Tuwaheshimu hawa wanawake wanaozungusha biashara mtaani

Wewe itakuwa tabia yako hakuna binadamu anayependa kudhalilika ila inapobidi .
Nani anakuambia wana dhalilika au wewe ndo unahisi hivo, maisha ya wanawake kwa 80% ni pretence na kujilizaliza hata kwenye raha zao, jifunze saikolojia ya wanawake mkuu
 
Kuna wanawake na mabinti wanazunguka mtaani hasa maeeneo yenye shughuri za kazi mbalimbali kama masoko,workshop,gerejeji nk wakiuza hasa matunda .

Kunatabia ambayo imeota mizizi naweza kusema ni sawa na kidharirisha utu wao.

Anaitwa apeleke matunda katika kundi la wanaume ktk sehemu hiyo,wananunua ndio lakini unakuta mwanaume mmoja mara ashike titi mwingine tako,mwinge mbavu,mwinge began kwa nyakati tofauti tofauti.

Huu ni upuuzi,hao wanawake wapo kujitafutia ridhiki kwa njia halali nu kazi kama kazi nyingine waheshimiwe msi take advantages kipuuzi kutweza utu wao.

Hao wana wake si kwamba wapo tu wengi wanafamilia zao na waume zao,waheshimuni.

Si kwamba wanapenda kufanyiwa hivyo ni kwa sababu hawana jinsi na wanachukulia kama ni changamoto mistake advantage,wangetaka kufanyiwa hivyo basi wangekuja kovingine.

Nimeshuhudia maeneo tofauti hii tabia mara kenda hasa buguruni wanapouza mbao na gereji nikienda service ya baby walker yangu.

NINA ICHUKIA HII TABIA.
Ukiona nyumba inafuka moshi ujue moto ushawashwa huo sio udharirishaji bari hujiraisi zaidi kuhakikisha bidhaa anayouza inaisha mapema
 
1. Ni kosa la jinai kumshika mwanamke hadharani kwa kumdhalilisha hasa bila ridhaa yake.
Lakini ikiwa RIDHAA yake inabaki kuwa kosa la jinai kwa kuvunja maadili ya kitanzania

2. Kuuza kwenye ungo au sahani na Kutembeza vitu ni Kazi kama Kazi zingine. Bila kujali anayefanya ni Nani.

Mtu kuwa mwanamke Haimaanishi asifanye Kazi ikiwa yeye mwenyewe kwa hiyari yake ameamua kuifanya na ndio kaona anayoimudu.
Hiyo huruma inatoka wapi kwa mtu kufanya wajibu wake
 
Mwanamke yeyote ataheshimiwa kwa vile anavyojiweka yeye mwenyewe. Wapo wengi wanaovaa hijabu au nguo za heshima mbona hawachokozwi kabisa, wanaume wanakuwa na adabu hata wakiongea nao. Sasa wewe unavaa tight imekuchora makalio yote au skin jeans au kimini kipo juu ya magoti unategemea nini.
 
Mkuu,wewe ni muhanga? Kama sio muhanga basi nikufungue macho,hao akina mama wanapenda kufanyiwa hivyo ili biashara yao iende,akiwa mkali hataki kushikwa hatapata wateja daima. Kuna dada jirani yangu amefungua mgahawa, mwanzo mwa biashara alikuwa anauza sana ila walipojaribu wanaume kumfanyia hivyo akawa mkali basi wateja wakawa wanahama mmoja baada ya mwingine,sasa hivi anayaota yeye peke yake masufulia ya wali.
Umeona alikuwa hataki Ila amesusiwa biashara kwa sababu kuna standard imewekwa

Na hapa sio issue ya wauza mboga Ila standard iliyowekwa kijamii kuwa kila mwanamke ni wa kuliwa so kuna time hata maofisini, uongozini na vyuoni, utakuta mtu hana time na wafanyakazi wa kike Ila anaweza kufanya kuweka heshima..

The same way, boss anaweza kumtaka interviewee mkali sio kwa sababu hatoki na secretaries Ila ile hali ya kumpa chance halafu wengine wale. Anaona haiwezekani.

So hii issue ya kuona ni lazma umle au uflirt na mwanamke sio ya huko Tu. Ni popote pale
 
Kuna wengine wameanzisha hiyo biashara kama kichaka cha kujifichia biashara yake nyingine ya ukahaba ingawa wapo wengine wapo genuine na biashara yake.
Yeah hii ipo sana pia. Kuna mwingine hiyo ni biashara tu ya cover up. Mchana anauza matunda, jioni anaenda kutega bar kwa hiyo atakaejiingiza mchana anapewa dau, akiweza wanaenda.
 
Mwanamke yeyote ataheshimiwa kwa vile anavyojiweka yeye mwenyewe. Wapo wengi wanaovaa hijabu au nguo za heshima mbona hawachokozwi kabisa, wanaume wanakuwa na adabu hata wakiongea nao. Sasa wewe unavaa tight imekuchora makalio yote au skin jeans au kimini kipo juu ya magoti unategemea nini.
Kwenye hizi biashara za matunda na vyakula, wengi wanajistiri kwa madela na nguo za kawaida.

Ila ndio ishakuwa tradition, ukiweka muhudumu ambaye hataki kuwa sexualized, watu hawanunui chakula ama bear. Ila ukiweka mwepesi wanajaa

Shida akishazungukwa na watu wote, majamaa wanahama kula sehemu ingine. Ndio maana kuna sehemu wafanyakazi wa kike hawakai kwa sababu hiyo.
 
Anaitwa apeleke matunda katika kundi la wanaume ktk sehemu hiyo,wananunua ndio lakini unakuta mwanaume mmoja mara ashike titi mwingine tako,mwinge mbavu,mwinge began kwa nyakati tofauti tofauti.

Huu ni upuuzi,hao wanawake wapo kujitafutia ridhiki kwa njia halali nu kazi kama kazi nyingine waheshimiwe msi take advantages kipuuzi kutweza utu wao.
Mbaya sana na wengine hutumia nafasi hiyo kuwataka kimapenzi halafu kesho yake wanawatangaza mtaani
 
Back
Top Bottom