Ndio maana mimi huwa nawaambia ukimuona binti kitonga, usidhani umewin, sometimes umewezwa maana sellers wote hawajipangi barabarani ama hawafanyi issues nyingineSure ,kuna wengine unaona kabisa huyo ni "MFANYA BIASHARA" na wala hafanyi biashara ya matunda/kifurushi etc
Naam,naam1. Ni kosa la jinai kumshika mwanamke hadharani kwa kumdhalilisha hasa bila ridhaa yake.
Lakini ikiwa RIDHAA yake inabaki kuwa kosa la jinai kwa kuvunja maadili ya kitanzania
2. Kuuza kwenye ungo au sahani na Kutembeza vitu ni Kazi kama Kazi zingine. Bila kujali anayefanya ni Nani.
Mtu kuwa mwanamke Haimaanishi asifanye Kazi ikiwa yeye mwenyewe kwa hiyari yake ameamua kuifanya na ndio kaona anayoimudu.
Hiyo huruma inatoka wapi kwa mtu kufanya wajibu wake
bro kuna ki2 haukijui,hawa wanawake,wengi wao ni masingo mazaKuna wanawake na mabinti wanazunguka mtaani hasa maeeneo yenye shughuri za kazi mbalimbali kama masoko,workshop,gerejeji nk wakiuza hasa matunda .
Kunatabia ambayo imeota mizizi naweza kusema ni sawa na kidharirisha utu wao.
Anaitwa apeleke matunda katika kundi la wanaume ktk sehemu hiyo,wananunua ndio lakini unakuta mwanaume mmoja mara ashike titi mwingine tako,mwinge mbavu,mwinge began kwa nyakati tofauti tofauti.
Huu ni upuuzi,hao wanawake wapo kujitafutia ridhiki kwa njia halali nu kazi kama kazi nyingine waheshimiwe msi take advantages kipuuzi kutweza utu wao.
Hao wana wake si kwamba wapo tu wengi wanafamilia zao na waume zao,waheshimuni.
Si kwamba wanapenda kufanyiwa hivyo ni kwa sababu hawana jinsi na wanachukulia kama ni changamoto mistake advantage,wangetaka kufanyiwa hivyo basi wangekuja kovingine.
Nimeshuhudia maeneo tofauti hii tabia mara kenda hasa buguruni wanapouza mbao na gereji nikienda service ya baby walker yangu.
NINA ICHUKIA HII TABIA.
Nakubaliana na wewe basi niseme kwamba"Yeyote afanyaye haya ni mvulana"Mkuu umekosea kuwaita wavulana wanaume.
Hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu ambaye anaeza kuendekeza tabia za kijinga kama hizo
Wenye hizi tabia ni kundi fulani kwenye jΓ mii, na wanaouza vitu kwa hawa wahuni wenye hizi tabia wanafanana kimatendo. Sidhani kΓ ma watu wenye akili wanafanyiana hayo ya kushikΓ nashikΓ na. Wengi tuu tunanunua kwa hawa wanaotembeza, ila wanaoshikana shikana wana vijiwe vyao.Kuna wanawake na mabinti wanazunguka mtaani hasa maeeneo yenye shughuri za kazi mbalimbali kama masoko,workshop,gerejeji nk wakiuza hasa matunda .
Kunatabia ambayo imeota mizizi naweza kusema ni sawa na kidharirisha utu wao.
Anaitwa apeleke matunda katika kundi la wanaume ktk sehemu hiyo,wananunua ndio lakini unakuta mwanaume mmoja mara ashike titi mwingine tako,mwinge mbavu,mwinge began kwa nyakati tofauti tofauti.
Huu ni upuuzi,hao wanawake wapo kujitafutia ridhiki kwa njia halali nu kazi kama kazi nyingine waheshimiwe msi take advantages kipuuzi kutweza utu wao.
Hao wana wake si kwamba wapo tu wengi wanafamilia zao na waume zao,waheshimuni.
Si kwamba wanapenda kufanyiwa hivyo ni kwa sababu hawana jinsi na wanachukulia kama ni changamoto mistake advantage,wangetaka kufanyiwa hivyo basi wangekuja kovingine.
Nimeshuhudia maeneo tofauti hii tabia mara kenda hasa buguruni wanapouza mbao na gereji nikienda service ya baby walker yangu.
NINA ICHUKIA HII TABIA.
Wana liwa liwa kisa vinywaji na chakula, waki ambiwa waliwe wapewe kazi.Yeah hii ipo sana pia. Kuna mwingine hiyo ni biashara tu ya cover up. Mchana anauza matunda, jioni anaenda kutega bar kwa hiyo atakaejiingiza mchana anapewa dau, akiweza wanaenda.
Sye hapa gereji huwa wakija kama jana alikuuzia muhogo unamwambia muhogowako wajana umenijaza kichupa na buku mbili hapa fanya kunipunnguzia. Unakunja chap ndan ya coster mbovu. Wengne vbindon wamebeba mundokoHahaha nimeyashuhudia haya pale soko la Veteran, Tazara mkuu, kuna vile vibanda vya store wanalika sana hao, ukiwa na mke muuza matunda na mihogo mibichi muombe Mungu tu asikupe magonjwa
kwahiyo anakubali unamkunja?Sye hapa gereji huwa wakija kama jana alikuuzia muhogo unamwambia muhogowako wajana umenijaza kichupa na buku mbili hapa fanya kunipunnguzia. Unakunja chap ndan ya coster mbovu. Wengne vbindon wamebeba mundoko
Mkuu mambo ya gereji magum na bosi wetu mze almas kila mwezi choon anaweka box la mundoko lmeandikwa msd GOT sjui anatoa wap . Huo niukwel mkuu sna haja yakupindisha.wengi wawauza miogo wana biiashara iilyojificha mkuukwahiyo anakubali unamkunja
Bora umesema,mimi niliona muuza ndizi mtunda kaenda na jamaa kwenye vijibanda katoka anajitengeneza kabeba beseni lake huyoooo... usalama umekuwa mdogo sana na una mwanamke hana msimamo wa kujisimamia mwenyewe ni tabu sanaMkuu mambo ya gereji magum na bosi wetu mze almas kila mwezi choon anaweka box la mundoko lmeandikwa msd GOT sjui anatoa wap . Huo niukwel mkuu sna haja yakupindisha.wengi wawauza miogo wana biiashara iilyojificha mkuu
Kwahiyo kumshika matiti na makalio ndio kumsifia?Wewe kumbe hujui ndo wanacho penda sanaa hao wanawake, ndo wanavo pata wateja wao na mwishowe wenza wao.......mwanamke anapenda sana kusifiwa na kjmtamani ndo raha yao
Wamevurugwaπ°πππ ππππ πππ π ππππππ π π ππππππππ ππππ π πππ π ππππππππ ππππππππ πππππ ππ ππππππππππ πππππππ, ππππ ππππ π/πππ ππ ππππππ, π ππππππππ π£π ππππ’π ππππ ,πππππππ ππ ππππππ ππππ ππππ ππππππππ, πππ πππππππ π πππππππππ ππππππ π’π ππ πππ π πππ ππ πππππππ ππππππ π’π ππππππ, π³ππ π πππππππππ ππππ πππππ πππππππππ£π ππππ πππ π πππ πππ πππππ π π ππππ ππππ π ππ π ππ πππ ππππ ππππ πππππππ ππ ππ πππππ..
πππππ ππππ ππ ππππππππππ πππ πππππππ£π ππππ πππ ππππ’πππ πππππ
Na huruma piaWananyanyasika kingono, wote wanaopita na sinia za mbogamboga wana watoto wadogo mgongoni, wanaume muwe hata na imani