mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
sasa kama anafanya hivyo kwa ajili ya biashara, hapendi anajikaza tuMkuu,wewe ni muhanga? Kama sio muhanga basi nikufungue macho,hao akina mama wanapenda kufanyiwa hivyo ili biashara yao iende,akiwa mkali hataki kushikwa hatapata wateja daima. Kuna dada jirani yangu amefungua mgahawa, mwanzo mwa biashara alikuwa anauza sana ila walipojaribu wanaume kumfanyia hivyo akawa mkali basi wateja wakawa wanahama mmoja baada ya mwingine,sasa hivi anayaota yeye peke yake masufulia ya wali.
Kwahiyo unataka ni ambia kwa kuwa ni single mama basi azalilishwe utu wake?bro kuna ki2 haukijui,hawa wanawake,wengi wao ni masingo maza
Toa ushuhudaMungu atusimamie sisi wanawake ningesema neno ila acha hili linipite
Yaan elfu mbili itasaidia Nini...ndio mana huwa nikipishana na watu huwa najiuliza maswali mengi WAONE hivyo hivyo wamevaa wanatembea Ila matendo yaliyojoficha moyoni ni kichaka.Mkuu mambo ya gereji magum na bosi wetu mze almas kila mwezi choon anaweka box la mundoko lmeandikwa msd GOT sjui anatoa wap . Huo niukwel mkuu sna haja yakupindisha.wengi wawauza miogo wana biiashara iilyojificha mkuu
Nataman niseme ila aibu naona mim Wacha ninyamazeToa ushuhuda
Sema wengine waponeNataman niseme ila aibu naona mim Wacha ninyamaze
Tunaweza kupunguza kadhiakama mmoja wa waliowahi shuhudia matukio haya nilisikitika sana lakini baada ya kusoma comment za wadau nimegundua kuwa the thing is illegal but to eliminate it is impossible.
Kunapokuwa na power inbalance, hakuna kitu kama "wanapenda" hakuna anayeulizwakabsa ila kuna wengine ndo wanapenda ila mwngne unakuta hapendi
Hii tabia imeota mizizi kuna baadhi ya wanaume wameshaona kawaida kuwashika wanawake wanaowahudumia, wewe mwanaume kabla hujafanya hicho kitendo jiulize huyo mwanamke unaemshika angekuwa mkeo au mama yako au dada yako ndo anafanyiwa kitendo kama hicho ungefurahi?Kuna wanawake na mabinti wanazunguka mtaani hasa maeeneo yenye shughuri za kazi mbalimbali kama masoko,workshop,gerejeji nk wakiuza hasa matunda .
Kunatabia ambayo imeota mizizi naweza kusema ni sawa na kidharirisha utu wao.
Anaitwa apeleke matunda katika kundi la wanaume ktk sehemu hiyo,wananunua ndio lakini unakuta mwanaume mmoja mara ashike titi mwingine tako,mwinge mbavu,mwinge began kwa nyakati tofauti tofauti.
Huu ni upuuzi,hao wanawake wapo kujitafutia ridhiki kwa njia halali nu kazi kama kazi nyingine waheshimiwe msi take advantages kipuuzi kutweza utu wao.
Hao wana wake si kwamba wapo tu wengi wanafamilia zao na waume zao,waheshimuni.
Si kwamba wanapenda kufanyiwa hivyo ni kwa sababu hawana jinsi na wanachukulia kama ni changamoto Mei-take advantage,wangetaka kufanyiwa hivyo basi wangekuja kivingine.
Nimeshuhudia maeneo tofauti hii tabia mara kenda hasa buguruni wanapouza mbao na gereji nikienda service ya baby walker yangu.
NINA ICHUKIA HII TABIA.
Kikubwa huongelea willingness, hata akijitoa kwa hohehahe wa mtaa ila kikubwa karidhia. Haina shidaWana liwa liwa kisa vinywaji na chakula, waki ambiwa waliwe wapewe kazi.
ndo Wana Kumbuka standard zao😂🤣
Just joking bro, mi sisapoti Mambo haya.Kikubwa huongelea willingness, hata akijitoa kwa hohehahe wa mtaa ila kikubwa karidhia. Haina shida
Ila kwenye shurti huwa vibaya. Sasa hapo inategemea na Lady mwenyewe.
Kuna wanawake kutoa sex ni kawaida sana na wale wa just for fun wanazidi kuongezeka..Just joking bro, mi sisapoti Mambo haya.
Ila mengi tunayo ona, wahusika Wana ridhika wenyewe.
siku hizi kupata sex ni chap, kuliko polisi kufika kwenye tukio😂.Kuna wanawake kutoa sex ni kawaida sana na wale wa just for fun wanazidi kuongezeka..
Sijui generation inayokuja itakuwaje
kahama ndio mji unaoongoza kuwa na wanawake wa disaini hiyosasa kama anafanya hivyo kwa ajili ya biashara, hapendi anajikaza tu
Ujasiriamwili...siku hizi kupata sex ni chap, kuliko polisi kufika kwenye tukio😂.
shida ni njaa, tamaa na hata ufataji mkumbo.
Sikatai miili yetu Ina uhitaji, ila huku tunako elekea miili Ina kuwa mitaji.
Umasikini na malezi ni Kama 30%, wengine ni maamuzi ya mkumbo tu.Ujasiriamwili...
Yote haya ni umaskini na malezi mabovu