Tuwaheshimu hawa wanawake wanaozungusha biashara mtaani

Hao wanawake wenyewe wakifika wanakuuzia ndizi kwa maneno ya hisia hisia tupu
Kifupi wao na wateja wao wanajuana
Ni mwendo wa mizaha mizaha hadi mwisho
 
Ila wengine nao hawajiheshimu,unakuta wanafanya biashara kama zuga tu ila kuna biashara nyingine nyuma ya pazia ya kujiuza ndio inayofanyika
 
Ni washenzi sana
 
"Shambulio la aibu" wazee msiingie kwenye huo mtego.

Serikali imewapendelea sana wanawake kwenye sheria. Unaweza ukakaa ndani miaka zaidi ya kumi kwa kifungu hicho tu.
 
Wanawauliza, "hilo beseni lote ni bei gani?"
Jibu litakuwa, "shilingi elfu ishirini".

Ataambiwa, "nanunua lote halafu twende lodge".
Anajibu, "sawa ila utaongeza elfu kumi".

Siku inaishia hapo!
 
Kuna demu Pic kali hatari..age ni ya hivi vibinti vya afu mbili inauza uji kuanzia saa 10 jioni pale ferry...

Vijana wanakunywa uji bila kukusudia.
 
Mi nikiona mwanamke anafanyiwa hivyo huwa na react kumkemea mwanaume anayemfanyia mwanamke hivyo, si vizuri, wengine ni wake za watu. Hata migahawani sipendi wanawake wafanyiwe hivyo. Ni bora umuulize kwa heshima kama ameolewa au la kama unamtaka awe mke wako approach kwa heshima
 
Umeandika jambo jema kwa kuliangalia juujuu, kiundani fanya uchunguzi wa kina kwa wauza soseji na sambusa kwenye mabaa na sehemu za starehe, nimani yangu utapata majibu tofauti,maana wengi wao ni kama wanajiuza na hizo biashara unazoziona wanafanya ni kama kisingizio tu.
 
Hao wanawake wenyewe wakifika wanakuuzia ndizi kwa maneno ya hisia hisia tupu
Kifupi wao na wateja wao wanajuana
Ni mwendo wa mizaha mizaha hadi mwisho
Sasa unataka aongee kama mandonga?,ile ni biashara mteja hawezi ongeleqa kwalugha mbovu,maneno yake sio sababu
Kwenye baa nimeyaona sana na wengine wanauza mayai ya kuchemsha kakini hawa wa mitaani wengi sio willingly
 
Hiyo heshima hawana,,wanajiona miamba
 
Wanawauliza, "hilo beseni lote ni bei gani?"
Jibu litakuwa, "shilingi elfu ishirini".

Ataambiwa, "nanunua lote halafu twende lodge".
Anajibu, "sawa ila utaongeza elfu kumi".

Siku inaishia hapo!
Hapo siwamekubaliana?,ninacho kataa nikuanza kushika viungo bila Richaaa yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…