Tuwaheshimu wana JamiiForums ambao hawajawahi kupigwa ban

Oops !!
Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghosha Sana
By Mzilankende, Jiwe, Ngosha
 
Mbona hujanitaja au kuna siku umeona nikila ban
 
Ban nyingi hutoka kijinga tu,Kuna fala aliniripoti nikala ban kisa kumuuliza 'wewe siyo Fulani!?..sikusema yeye ni Fulani,aliniripoti nikala ban,nadhani yeye ni miongoni mwa watoa ban,maana ana miaka zaidi ya 7 humu anatoa nyuzi daily
Name calling kwa sherianza JF ni ban
 
Ban Ni nini Haswa? Huwa Nawasikia Humu Mkisema mmepogwa Bam, Ila huwa sijui na Sitegemei kupigwa hio Ban yenu.
 
Niko JF since 2012 sikumbuki kama nimewahi pigwa ban.

Soon nitarudi kwenye ID yangu ya mwanzo kabisa.

Nimeipumzisha miaka 3/4 sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…