Tuwakomalie Polisi kuwarejesha watuhumiwa wakiwa hai

Tuwakomalie Polisi kuwarejesha watuhumiwa wakiwa hai

Kumbuka Polisi hawatetei Mali zao wanatetea Mali za watu wengine.
Kuua mtu Kwa ajili ya Mali ya mtu Mwingine sio jambo Dogo.

Panya rodi ni kikundi kilichoundwa na haliwezi kikawa kimeundwa na wajinga wanaotoka mate mdomoni. Kuna watu nyuma yake . Kama Wewe kweli ni raia mwema usishabikie Hawa wahalifu wanaotengenezwa kimkakati. Kumbuka kabla ya JPM kuingia madarakani Nini kilikua kimeanza. Watu walianza kuandamana kutoa watu kwenye vituo vya polisi.baadae wakaanza kuchoma vituo moto then wakanza kupora polisi silaha, mwishowe wakawa wanaua polisi .Kwa Siku Moja polisi wanauawa wanne. Walianza Kwa kujifanya wanatetea Haki za binadamu lakini nyuma palikua na agenda za kigaidi na kudhoofisha serikali Kwa kulidhoofisha Jeshi la polisi na kuwatia hofu. Wanaoumia no Raia wema wasiojihusisha na mambo ya madaraka na Siasa za madaraka.

Hakuna Nchi iliyoko serious kulinda amani na usalama wake inawaza kuwaangalia watu wanaunda vikundi vya kihalifu Kwa kutumia silaha. Majeshi YETU yanawajibu Wa kulinda amani na usalama Wa watu Kwa namna yoyote Ile. Ndio MAANA Dunia kote bajeti Kubwa ni za Majeshi na ni Kwa ajili ya kununua silaha za kuua watu wanaojaribu kuvuruga amani na usalama Wa Nchi husika .

Rwanda hakuna mchezo na Wahalifu ,na wanasiasa wanaoleta chokochoko ni kufutilia MBALI . Nchi imetulia kama Uswisi.

Kuwapora na kuwauwa wafanya biashara wa madini Ifakara hakuwezi kuitwa polisi kulinda mali zao.

Kumpora na kumwua mfanya biashara wa madini Mtwara hakuwezi kuitwa polisi kulinda mali zake.

Kumpora Hamza madini yake hakuwezi kuitwa polisi kulinda mali zake.

Kumshambulia Lissu kwa lengo la kumwua hakuwezi kuitwa polisi kulinda mali zake.

Mifano haina mwisho.

Polisi ipo kwa mujibu wa sheria. Ufanyaji kazi wake ni kwa mujibu wa sheria.

Police brutality na extra judicial killings siyo sehemu ya utendaji kazi wa polisi.

Kupambana na uhalifu kihalifu hakukubaliki

Usilinganishe Uswisi na shithole countries za bwana trump ndugu.
 
Hata mi nimehisi hivyo, kama sio panya road atakua ni mfaidika wa kazi za kina panya road

Suala la ukombozi ni habari kubwa bi dada. Wengine mbona ruksa kuendelea na hafla za vigodoro tu?

"Ukombozi wa nchi unahitaji watu waliodhamiria"

Vipi kushadadia nyuzi za watu zisizowahusu ninyi msiokuwa panya road?

Kwani mmekwitwa huku?

Hii si ndiyo Ile beberu huita "poking of noses" kwenye yasiyowahusu?

Ukiona hatujibu hoja za kijiñga jinga kutoka kwa awaye yote, ujue unayemwona shujaa wako, kwetu yuko kabatini.

Kwani mliwahi kutuona kwenye nyuzi zenu zozote zikiwamo pendwa zenu za kuchakatwa mbususu?

IMG_20221002_070313_485.jpg


Siyo kila mtu ati kuwa ni kama nyie.

Habari ndiyo hiyo.
 
Suala la ukombozi ni habari kubwa bidada. Wengine mbona ruksa kuendelea na hafla za vigodoro tu?

"Ukombozi wa nchi unahitaji watu waliodhamiria"

Vipi kushadadia nyuzi za watu zisizowahusu ninyi msiokuwa panya road?

Kwani mmekwitwa huku?

Hii si ndiyo Ile beberu huita "poking of noses" kwenye yasiyowahusu?

Ukiona hatujibu hoja za kijiñga jinga kutoka kwa awaye yote, ujue unayemwona shujaa wako, kwetu yuko kabatini.

Kwani mliwahi kutuona kwenye nyuzi zenu zozote zikiwamo pendwa zenu za kuchakatwa mbususu?

View attachment 2374321

Siyo kila mtu ati kuwa ni kama nyie.

Habari ndiyo hiyo.
Brazaj we lazma utakua panya road umevurugika sana na hii operation
 
Pana ka "litmus" bi dada. Ni vizuri ukajipima mwenyewe. Ya huku yamekuzidi kimo.

Ukombozi wa nchi unahitaji watu waliodhamiria

Ninakazia: Ni vyema kujipima mwenyewe kutambua wewe ni asset au ni liability. Tukapeana nafasi kiroho safi.
Bora hata ingekua mnavamia mnaiba tu, mnaenda mbali mnaua.....halafu mnataka nyie mkidakwa msiuwawe mpelekwe polisi kodi zetu zikawalishe tena??? Hapana panya road muuwawe
 
Mkuu siyo kuwa utakuwa umejichanganya vilivyo? Catherine Ruge hawezi kuwa na chawa huyo mbona ni underdog mno?

Chawa huwa wapo kwa watu na majina yao mkuu Mfano mwendazake, Mama, na kina Mbowe mbowe huko.

Kama Lissu, Zitto, Lipumba, Mbatia, Cheyo, Rungwe nk hawana chawa itakuwa Catherine Ruge ndugu policeman?

Tunajua kuwa mnapitia wakati mgumu sana. Kwamba mlipo ni kujikaza kisabuni tu.

Kwa hakika mngejua msingekuwa mmeyakanyaga.

Hiiiii bagosha!
Mkuu Catherine Ruge anasapotiwa na chawa wa Mbowe. Kumbuka pamoj na kwamb Mbowe analundo la chawa nyuma yake, lkn pia na yey ana wasaidizi wake ambao ndio hao kina Ruge wanaotetewa na chawa.
 
Ni kweli Kuna maduka Mengi sana wanauza TV za wizi na spea za magari ya wizi. Na wengi wao ni wanachama wa ACT kule Temeke na Tandika na Ilala. ndio maana hayo maduka Mengi yapo kwenye maeneo yenye wanachama wengi wa ACT Panya rodi.

Polisi ianze kuchunguza kwenye maduka yote yaliyopo hayo maeneo ya ACT na washirikishe wadau wengine kama TRA na Bandari. Waonyeshe vielelezo kuwa bidhaa zao ziliingia nchini lini na zilitokea wapi na zilipiwa Kodi au laa.
Tutajua mbivu na mbichi
Ukiona mtu anamtetea mwizi, basi ujue kwamb na yeye anafaidika na vitu vya wizi.
 
Mkuu Catherine Ruge anasapotiwa na chawa wa Mbowe. Kumbuka pamoj na kwamb Mbowe analundo la chawa nyuma yake, lkn pia na yey ana wasaidizi wake ambao ndio hao kina Ruge wanaotetewa na chawa.

Labda ungerejea ulichoandika tangia awali kuhusiana na hili kujiridhisha uliposimamia (consistency).
 
Unaijua tofauti ya mwizi na mshukiwa wa wizi mkuu?

Hebu rejea kusoma ulichoandika.
Mkuu polisi wanajua wanachokifanya ndio maana hawakukuwinda wewe au mimi.
Wamewinda wale ambao wana inform zao. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae atawalaumu polisi kwa hili, na haswa yule ambae ndugu yake au yeye binafsi ashawahi kukumbana na ukatili wa vijana hawa.

Wangekuwa wanaiba bila kujeruhi na kuuwa, wala tusingefika huku leo, na pengine wengi tungekuwa upande wao.
Lakin kwa wanayoyafanya, no aisee acha wafe tu maana hata katika vita sometimes wasiokuwa na hatia huuwawa by mistake. Lakini lengo ni kumuangamiza adui.
 

Attachments

  • Screenshot_20221002-195242.jpg
    Screenshot_20221002-195242.jpg
    46.2 KB · Views: 4
Mkuu polisi wanajua wanachokifanya ndio maana hawakukuwinda wewe au mimi.
Wamewinda wale ambao wana inform zao. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae atawalaumu polisi kwa hili, na haswa yule ambae ndugu yake au yeye binafsi ashawahi kukumbana na ukatili wa vijana hawa.

Wangekuwa wanaiba bila kujeruhi na kuuwa, wala tusingefika huku leo, na pengine wengi tungekuwa upande wao.
Lakin kwa wanayoyafanya, no aisee acha wafe tu maana hata katika vita sometimes wasiokuwa na hatia huuwawa by mistake. Lakini lengo ni kumuangamiza adui.
Wewe nyani utakuwa njagu. Kiatu policcm usiyelewa kazi yako wala PGO
 
Kun

Kunguni WA kima wee hujui maana ya chawa!!
Kwangu umeyakanyaga mbwa koko wewe, mi sihitaji matercall yako choko mkubwa. Kwanza hujui hata kujitawaza afu unataka kupumuliwa mbwa jike wewe.
Mwenye uzi anajibu watu kistarabu afu wewe mk♡nd♡ unakuja kuandika pumba ili akutafute akutie kibunzi mattercall kwako.
 
Wewe nyani utakuwa njagu. Kiatu policcm usiyelewa kazi yako wala PGO
Unaona ulivyokuwa choko, wewe unajuaje kama mimi polisi. Bila shaka ushawahi kurukishwa kichura chura na kuambiwa ukalie chupa ya soda na polisi ndio maana kila mtu unaepingana nae unakimbilia kuzani kuwa ni polisi nzi wa chooni wewe.
 
Kama wewe ni njagu nakutafuta nitafune hiyo tigo kuku wee
 
Kwangu umeyakanyaga mbwa koko wewe, mi sihitaji matercall yako choko mkubwa. Kwanza hujui hata kujitawaza afu unataka kupumuliwa mbwa jike wewe.
Mwenye uzi anajibu watu kistarabu afu wewe mk♡nd♡ unakuja kuandika pumba ili akutafute akutie kibunzi mattercall kwako.
Hivi nilikuwa sijaijibu hii takataka! Mamako bado anatamba ana mtoto kama wewe!! Narudia tena wewe ni kati ya mbwa porini polisi wanaoua na kutesa watu! Kunyoko Nyamkundu mkubwa unawezaje kujiita akilihuru wakati umeolewa na mwanaume mwenzako na umeshikiliwa kisogo hata sasa hivi! Endelea jibu hapa!! Nimekuandalia scud! kulipiza vijana wote ulioteka na kuua k000ma
 
Mkuu polisi wanajua wanachokifanya ndio maana hawakukuwinda wewe au mimi.
Wamewinda wale ambao wana inform zao. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae atawalaumu polisi kwa hili, na haswa yule ambae ndugu yake au yeye binafsi ashawahi kukumbana na ukatili wa vijana hawa.

Wangekuwa wanaiba bila kujeruhi na kuuwa, wala tusingefika huku leo, na pengine wengi tungekuwa upande wao.
Lakin kwa wanayoyafanya, no aisee acha wafe tu maana hata katika vita sometimes wasiokuwa na hatia huuwawa by mistake. Lakini lengo ni kumuangamiza adui.

Polisi hawa hawa mkuu?

IMG_20220927_141352_404.jpg


Kwani polisi walijua nini hata walipo wadhulumu wafanya biashara wa madini wa Ifakara Ifakara au yule wa Mtwara?

Au vipi dhuluma zao dhidi ya Hamza.

Mifano ni mingi mno.

Kwa kutambua hayupo malaika katiba iliwekwa:

IMG_20221001_162723_487.jpg


Nani anaweza kukereka na nia zenye kuhitaji utawala wa sheria?
 
Back
Top Bottom