Vitabu vya JAMES HADLEY viko vingi sana niliwahi kuvisoma zaidi ya 75 na vile vya watunzi wa Kenya na Uganda,Malawi,Afrika magharibi n.k
Kama watoto wetu waangekuwa wadadisi kama sisi wangefika mbali sana,THE RIVER BETWEEN,NO BRIDE PRICE,THINGS FALL APART,SONG OF LAWINO AND OCHOL,MINE BOY,wale waliosoma language three uwanja wenu.
NOVEL:-ambazo bado ziko kichwani baada ya miaka 25 ni kama THE WHIFF OF MONEY,WHAT IS BETTER THAN MONEY,AN EAR TO THE GROUND,THERE IS HIPPY ON THE HIGH WAY,THE WAY THE COOKIE CRUMBLES,DOUBLE SHUFFLE,DO ME A FEVOUR,A CANE OF WORMS,THIS IS FOR REAL,MAKE THE CORPSE WALK,na nyingine nyingi sana zilitusaidia kujiamini katika midahalo kati ya shule na shule kwa kutumia zile bombastic kama "the situation is very cantankerous/cantankerousness.Dame with swushbuckling look,blonde and very odd.
Mkuu naomba kuwasilisha////////////
:doh: amigoooh...........