Tuwakumbuke wachezaji maarufu waliocheza timu zote mbili za Simba na Yanga

Tuwakumbuke wachezaji maarufu waliocheza timu zote mbili za Simba na Yanga

Sunday Manara 'computer '
Siyo kweli: Hadi sasa kuna wachezaji wawili tu ambao inakubalika kuwa uzalendo wao kwa timu zao hawako tayari kutumikia timu hasimu kati ya timu hizi mbili kwa sdababu yoyote ile.
1. Abdalah Kibaden (KIng Kibaden). Huyu ni kipenzi cha simba na anaipenda sana Simba kiasi ambacho hakuna uwezekano wa kuisaliti Simba na kuhamia Yanga katika kipindi chake chote cha uchezaji. Ni mchezaji pekee aliyefunga hat trick kwenye mechi za Simba na Yanga.

2. Sunday Manara (Kompyuta). Huyu ni kipenzi cha Yanga na aliipenda sana Yanga kiasi ambacho hakuna uwezekano wa kuisaliti Yanga na kuhamia Simba katika kipindi chake chote cha uchezaji. Ni fundi wa chenga usipime!!

Hawa wawili ndo pekee wanaoaminika uzalendo wao wa kweli kwa timu zao!! Waliobaki wote hamna kitu!!
 
Siyo kweli: Hadi sasa kuna wachezaji wawili tu ambao inakubalika kuwa uzalendo wao kwa timu zao hawako tayari kutumikia timu hasimu kati ya timu hizi mbili kwa sdababu yoyote ile.
1. Abdalah Kibaden (KIng Kibaden). Huyu ni kipenzi cha simba na anaipenda sana Simba kiasi ambacho hakuna uwezekano wa kuisaliti Simba na kuhamia Yanga katika kipindi chake chote cha uchezaji. Ni mchezaji pekee aliyefunga hat trick kwenye mechi za Simba na Yanga.

2. Sunday Manara (Kompyuta). Huyu ni kipenzi cha Yanga na aliipenda sana Yanga kiasi ambacho hakuna uwezekano wa kuisaliti Yanga na kuhamia Simba katika kipindi chake chote cha uchezaji. Ni fundi wa chenga usipime!!

Hawa wawili ndo pekee wanaoaminika uzalendo wao wa kweli kwa timu zao!! Waliobaki wote hamna kitu!!
Ahsante sana kwa ufafanuzi huu ,umenipa kitu
 
Back
Top Bottom