Na ndio mjue kuongoza possession sio ndio kumzidi mpinzani. Na sio kupaki yutong ni ujinga bali ni mbinu. Angalia stats za Mamelodi dhidi ya Es Tunis. Lakini aliyepaki yutong ndiye aliyeshindaUpande wa pili huku shughuli imeambatana na mvua masheikh wanakula wima.
View attachment 2974947
Mamelodi kakutana na kichaa mwenzake yani pale pale ambapo Yanga alipaki Yutong ndio hapo hapo Es Tunis alipokuja kumuadhibu.
HahahaYap naskia timu za England Zina uhaba sana wa wapishi.
Sasa wenzako walipaki basi wakiwa na advantage ya goli Moja away.Na ndio mjue kuongoza possession sio ndio kumzidi mpinzani. Na sio kupaki yutong ni ujinga bali ni mbinu. Angalia stats za Mamelodi dhidi ya Es Tunis. Lakini aliyepaki yutong ndiye aliyeshinda
Mlipoamuwa kuwaingiza kwenye uongozi watu wa ccm mlitegemea nini?Sawa sawa chambuzi
Simba pekee tu ndio haipo kwenye mapito
AZizi naye aeleweshwe kistaarabu tu asigongeshe miamba mechi muhimu.Na ndio mjue kuongoza possession sio ndio kumzidi mpinzani. Na sio kupaki yutong ni ujinga bali ni mbinu. Angalia stats za Mamelodi dhidi ya Es Tunis. Lakini aliyepaki yutong ndiye aliyeshinda
Walizuia ili wafike penati halafu wazipaishe.Sasa wenzako walipaki basi wakiwa na advantage ya goli Moja away.
Wewe ulipaki basi Kwa advantage ipi?
Yanga ndo mtoto wa ccm, wanashare hadi sare.Mlipoamuwa kuwaingiza kwenye uongozi watu wa ccm mlitegemea nini?
Ccm na maendeleo wapi na wapi?
Wote tunatambua sio Mimi Wala wewe mwenye nguvu ya kuwaweka viongozi wa Club wenye mtizamo unaopingana na CCMMlipoamuwa kuwaingiza kwenye uongozi watu wa ccm mlitegemea nini?
Ccm na maendeleo wapi na wapi?
Wanataka penalty halafu miguu mibovu aa hiyo ndio nini?Walizuia ili wafike penati halafu wazipaishe.
Hizo beki za Al Ahly auSisi tutasema beki zilichomesha Kwa hiyo credit za ubora huwezi kupeleka upande wa Al Ahly
Sasa hapa ni swala la kuwaombea au wapambane? Inabidi wenyewe Simba wacheze vizuri ili waweze kufuzu na sio maombiWakuu
Mimi nikiwa kama mwananchi kindakindaki kabisa
Nakiri binafsi na naomba tuwaombee watani zetu hawa mbumbumbu wajitahidi hata waishie nafasi ya pili ili sisi na wao tucheze huko CAF kuliko azam.
Hawa azam hawatabiriki kimataifa zaidi wataenda kufanya tu point zetu zikwame tu
Kama msimu ule walipotolewa na kitimu kidogo cha Libya..
Angalau basi hawa ndugu zetu mwakarobo wao wamezoea kidogo Wataishia hata makundi safari hii au kubabatiza robo, wakati yanga ataenda nusu au final kabisa.
I UNDERSTAND..
Kwamba kanuni za CAF zimebadilika baada ya mashindano ya CAF confederation kufutwa kwamba itakuwa
AFRICAN FOOTBALL LEAGUE. ⛏️watashiriki simba na yanga wote .
Hii ni kutokana na kuongezwa team mpaka 24..
CAF CHAMPION LEAGUE
hapa napo kumebadilika kidogo
⛏️ Bingwa wa ligi kuu
⛏️nafasi ya pili.
⛏️Pia kama bingwa wa ligi ambaye ni yanga akichukua na FA basi ataenda yanga na yule wa pili .
Na kama yanga akichukua ligi tu halafu FA [crdb] akachukua mwengine .
Basi ataenda yanga na bingwa wa crdb fa cup..!
Ingawa simba watacheza AFL pasipo kuangalia nafasi ya kwenye ligi yao maana hata huko south Africa kaizer chief atashiriki.
Na huko no problem kwamba simba watatolewa mapema sana
Hivyo nafasi yao ni huko CCL..
Tuwaombee hawa mbumbumbu wajameni ..
Nakaribisha criticism
Its Pancho
Beki za Al Ahly ndio zilichomesha?Hizo beki za Al Ahly au
HahahaWanataka penalty halafu miguu mibovu aa hiyo ndio nini?
Sijui nikuulize wewe unayesema credit wasipewe Al Ahly kwavile beki zilichomesha.Beki za Al Ahly ndio zilichomesha?
Kabisa na ndio maana hatukutaka kumfunga Mashujaa aliyekuwa pungufu ili tukamfungie kwenye penati. Hakika miguu mibovu ni janga kubwa sana kwa wachezaji wa Simba hadi Mashujaa!Wanataka penalty halafu miguu mibovu aa hiyo ndio nini?
Kwani beki za timu Yako haziwezi kufanya makosa ya kizembe?Sijui nikuulize wewe unayesema credit wasipewe Al Ahly kwavile beki zilichomesha.
Hizo beki zilijishambulia?
Hizo beki ni wa timu yako mwenyewe.
Simba ilipaki basi mechi na Mashujaa?Kabisa na ndio maana hatukutaka kumfunga Mashujaa aliyekuwa pungufu ili tukamfungie kwenye penati. Hakika miguu mibovu ni janga kubwa sana kwa wachezaji wa Simba hadi Mashujaa!
Pokea maelekezo wewe koloMtoa mada alikuwa na mawenge yake
Afu kwani tuongee mara ngapi kuhusiana na tatizo la mashabiki wa Yanga?
Si unajua Tena ukishakuwa shabiki wa Yanga vitu kama hivi vya kukengeuka ni kawaida.
Kutokana na kwamba sisi tunawajua tunajiongeza tu, hatupati shida nao ndio maana unaona Uzi unatembea Kwa live updates.
Tsh Dakika ya ngapi huko? Vurugu zimeisha au bado Kuna sintofahamu?
Point yako ni janga la Yanga kushindwa kupiga penati. Sasa unashangaa Yanga kushindwa kupiga penati na kuwaita miguu mibovu wakati timu yako imetoka kutolewa na Mashujaa kwa kushindwa kupiga penati. Hater una matatizo makubwa sana weweSimba ilipaki basi mechi na Mashujaa?