Tuwasaidie wanawake wanaotembeza matunda na watoto mgongoni

Tuwasaidie wanawake wanaotembeza matunda na watoto mgongoni

Nakerekwa sana na watu maskini wanaozaa watoto bila kuwa na uwezo wa kuja kuwahudumia.

Wanaleta viumbe duniani waje wateseke bila sababu yeyote.

Ingekuwa inawezekana, Watu maskini wasizae kabisa.

Maana hawa ndio wanaongeza idadi ya maskini wengine duniani na gharama za serikali kuhudumia maskini wapya kila siku.
Hii italeta utata sana hasa kwa kina RRONDO
 
Ukigegeda lazima upate watoto??
Aisee...nilidha I mie ndio bwege wa jf kumbe Kuna bwege zaidi yangu 🤣🤣🤣🤣
Sie maskini hatutaki kumpiga nyeto na condom zenu nyie matajiri. Sex haikusudiwa kuwa hivyo
 
Aisee...nilidha I mie ndio bwege wa jf kumbe Kuna bwege zaidi yangu 🤣🤣🤣🤣
Sie maskini hatutaki kumpiga nyeto na condom zenu nyie matajiri. Sex haikusudiwa kuwa hivyo
Kwani njia ya uzazi wa mpango ni condom tu??
 
Hii italeta utata sana hasa kwa kina RRONDO
Ndio mkuu nyinyi matajiri mnatamani mbaki wenyewe duniani,tuueni basi.
Hii JF ina vituko sana,watu wanatoa kauli hizi na unakuta ingeamriwa maskini wasizae hata wao leo wasingekuwepo duniani..
 
Baba wa watoto wako wapi? Kuna Wakati natamani mno kuwaonea huruma lakini nyuma yao kuna wengi wameyataka na kukaidi ushauri wa wakubwa
Naapa Mungu
Kuna wasichana walikuwa Twins wadogo tu
Mmoja akapata mimba
Kajifungua analea mtoto karibu na mtaro wa maji huku akiuza nyanya
Nikamwambia pacha wake usifanye makosa aliyofanya ndugu yako
Haijapita mwaka nae kabeba mimba
Sasa utamwambia nini binadamu kama huyo ?
 
L
Naapa Mungu
Kuna wasichana walikuwa Twins wadogo tu
Mmoja akapata mimba
Kajifungua analea mtoto karibu na mtaro wa maji huku akiuza nyanya
Nikamwambia pacha wake usifanye makosa aliyofanya ndugu yako
Haijapita mwaka nae kabeba mimba
Sasa utamwambia nini binadamu kama huyo ?
Labda hakukuelewa!!!
 
Nakutana na kundi kubwa la wanawake wakiwa wamebeba watoto wadogo wakitembeza matunda mazingira ya jua Kali sana nawaonea huruma ukikuta dada anateseka juani na mtoto fanya kama unatoa sadaka tu kwa kununua matunda yake utabarikiwa sana
Kabisa yaani
 
Nakutana na kundi kubwa la wanawake wakiwa wamebeba watoto wadogo wakitembeza matunda mazingira ya jua Kali sana nawaonea huruma ukikuta dada anateseka juani na mtoto fanya kama unatoa sadaka tu kwa kununua matunda yake utabarikiwa sana
Chura kiziwi hata hata kuwasikia Wala kuwaona
 
Ndio mkuu nyinyi matajiri mnatamani mbaki wenyewe duniani,tuueni basi.
Hii JF ina vituko sana,watu wanatoa kauli hizi na unakuta ingeamriwa maskini wasizae hata wao leo wasingekuwepo duniani..
Halafu mkuu unaweza kukuta kwenye circle ya nasaba yake umaskini upo kwnye kiwango cha kutosha.
 
Saidia pale unapo.ona unaweza kusaidia lakini Kama huna unaweza kuacha

Hebu fikilia kwamfano ulikuwa unapita sehemu uka kutana na mtu ananjaa akaja kukuomba chakula ukamnyima na pesa unayo ya kukutosha na ziada

na baada ya kutoka uliko kuwa una pita mitaa ileile unaambiwa kunamtu kafa kwa njaa hapo nyuma

Unaenda kushuhudia unagundua niyule uliye mnyima utajiskiaje mkuu?
Sasa huyo muuza matunda ukamsaidia kwa kununua matunda 2 tu hapo umemtoa? Ndiyo maana nimesema kama umeguswa Kaa naye chini muulize sababu na hapo angalia chakumsaidia
 
Kama kuna mmoja nimemuona juzi kati hapo barabara ya bibi titi, mtoto mchanga kabisa hana hata wiki mbili ila mama mtu kashaingia barabarani anauza ndizi mbivu niliingiwa imani sana niliwaza vitu vingi mno
Uliingiwa imani bila kununua hata ndizi zake mkuu?
 
Back
Top Bottom