Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Naunga hoja .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa ni moyo tuendelee kuwaunga mkono kwenye hizo biashara zao za kujishikiza inawezekana Kuna wakati wanalala njaa matajiri wote duniani kote wanatoa kwa wawahitaji bila kujali nani anaenda kuzitumiaTatizo wengi wao kama sio wote ni wale waliokuwa wakishauriwa juu ya mienendo yao walikuwa wana jibu kwa dharau kuwa wasiingiliwe na kupangiwa maisha.
Na wengine walisha fuatwa na wanaume sahihi na wenye nia thabiti ya kuanzisha nao familia waka wakataa tena kwa nyodo badala yake wakaenda kudete na waume za watu na vijana wachoma CD na vijana wanyoa viduku.
Acha walipie upumbavu wao walio ufanya labda wanaweza kuwa mfano mzuri kwa hao watoto wao na mabinti ambao bado ni wadogo.
Nitanunua kitu kama nitakuwa na uhitaji nacho na si kwa huruma.Kutoa ni moyo tuendelee kuwaunga mkono kwenye hizo biashara zao za kujishikiza inawezekana Kuna wakati wanalala njaa matajiri wote duniani kote wanatoa kwa wawahitaji bila kujali nani anaenda kuzitumia
Anko umeongea point kubwa sana kwa kujua au kutojua sio wote unakuta wengine walikua na ndoa zao kabisaa wakaishia kuzichezea dunia inawapiga wengine walikua hawashikiki la mwazini wala la mnadi swala, wengine kweli ambao ni wachache ni maisha magumu kweli kweliBaba wa watoto wako wapi? Kuna Wakati natamani mno kuwaonea huruma lakini nyuma yao kuna wengi wameyataka na kukaidi ushauri wa wakubwa
Huu ni ukweli kabisa lakini wengi watakupinga.Nakerekwa sana na watu maskini wanaozaa watoto bila kuwa na uwezo wa kuja kuwahudumia.
Wanaleta viumbe duniani waje wateseke bila sababu yeyote.
Ingekuwa inawezekana, Watu maskini wasizae kabisa.
Maana hawa ndio wanaongeza idadi ya maskini wengine duniani na gharama za serikali kuhudumia maskini wapya kila siku.
Tulishasema san umu mtu kama hana uwezo asizae mwisho wa siku nikuja kuteseka kwa mtot atakae zaliwa tukaoneoana hamnazo kichwaniUkatili ni kuleta kiumbe duniani kije kiteseke wakati mtu anajua kabisa yeye hana uwezo wa kuhudumia mtoto pindi atakapo zaliwa.
Watu maskini bora wakose kabisa uwezo wa kuzaa.
Ndio maana Afrika umaskini hauishi na hautakaa uishe, kwa sababu ya watu maskini kuendelea kuzaliana kuongeza idadi ya maskini wengine duniani.
Baba zao tupo ila hao wadogo zako walitujibu hivi" mwanaume utakua wewe ? Wanaume wakiitwa na wewe utatoka babuu nipishe hata ukiniacha leo wenzako leo leo wananiweka ndani" basi hiko ndicho kilitokea bhanaUmpe mimba umtelekeze halafu unakuja kivingine eti eeh ?
Hapa mtaani waumza mbogamboga wote wana watoto mgongoni, je baba zao mko wapi ?
Unaniruhusu ni wekee lamination?Baba wa watoto wako wapi? Kuna Wakati natamani mno kuwaonea huruma lakini nyuma yao kuna wengi wameyataka na kukaidi ushauri wa wakubwa
Mchane huyo SIMP!Baba wa mtoto yuko wapi? ndugu zake wako wapi? vijana wa kiume hawahitaji izo huruma?
Ww jamaa hamnazo u-serious ni zero kabisa....Ah sii unajua tena mwanawane kugegeda ndio hobby yangu japo kugegeda mwenyewe siwezi....shida kibamia changu