Tuwasaidie wanawake wanaotembeza matunda na watoto mgongoni

Tuwasaidie wanawake wanaotembeza matunda na watoto mgongoni

Nakutana na kundi kubwa la wanawake wakiwa wamebeba watoto wadogo wakitembeza matunda mazingira ya jua Kali sana nawaonea huruma ukikuta dada anateseka juani na mtoto fanya kama unatoa sadaka tu kwa kununua matunda yake utabarikiwa sana
Ukienda maeneo ya posta ( morogoro road, kisutu, kitumbini) utawakuta wengi tu. Zaidi usiku na Jumapili.
Huwa najiuliza: niwasaidie wangapi?

Kwa nini mwanamke azae kama hana financial resource ya kumlea mtoto?
Option za uzazi wa mpango zinatolewa bure clinic za serikali. Kwa nini hawatumii?
 
Ww jamaa hamnazo u-serious ni zero kabisa....
Userious nilikuwa nao chuo huko nikapambana na mahesabu ya engineering nakuja mtaani watu wanahitaji connection....soo nipo na bodaboda napiga misele...Sasa userious wa nini
 
Nakutana na kundi kubwa la wanawake wakiwa wamebeba watoto wadogo wakitembeza matunda mazingira ya jua Kali sana nawaonea huruma ukikuta dada anateseka juani na mtoto fanya kama unatoa sadaka tu kwa kununua matunda yake utabarikiwa sana
Shida kubwa madereva wa malori ndio vipoozeo vyao!
 
Nakutana na kundi kubwa la wanawake wakiwa wamebeba watoto wadogo wakitembeza matunda mazingira ya jua Kali sana nawaonea huruma ukikuta dada anateseka juani na mtoto fanya kama unatoa sadaka tu kwa kununua matunda yake utabarikiwa sana
Ushauri mzuri.
 
Tulishasema san umu mtu kama hana uwezo asizae mwisho wa siku nikuja kuteseka kwa mtot atakae zaliwa tukaoneoana hamnazo kichwani

Na wengine waoasema kila mtot ako na riski yake 🤣
Anayesema kila mtoto huja na riziki yake halafu hawezi kuhudumia huyo hafai kabisa kuzaa.
 
Userious nilikuwa nao chuo huko nikapambana na mahesabu ya engineering nakuja mtaani watu wanahitaji connection....soo nipo na bodaboda napiga misele...Sasa userious wa nini
Km unapga boda utakua unapga sana mbususu mkuu... Mademu wanashoboka sana na bodaboda....
 
Una weza nunua ndizi za 1000 na ukampa 5000

Nisadaka nzuri kuliko Ile ya kanisan na sio hao tu hata wazee wetu
 
Sasa utanunua Kwa wauzaji wangapi?
Halafu baba za hao watoto walio migongoni wapo wapi? Siku waulize wawili watatu usikie majibu yao.
Saidia pale unapo.ona unaweza kusaidia lakini Kama huna unaweza kuacha

Hebu fikilia kwamfano ulikuwa unapita sehemu uka kutana na mtu ananjaa akaja kukuomba chakula ukamnyima na pesa unayo ya kukutosha na ziada

na baada ya kutoka uliko kuwa una pita mitaa ileile unaambiwa kunamtu kafa kwa njaa hapo nyuma

Unaenda kushuhudia unagundua niyule uliye mnyima utajiskiaje mkuu?
 
Baba wa watoto wako wapi? Kuna Wakati natamani mno kuwaonea huruma lakini nyuma yao kuna wengi wameyataka na kukaidi ushauri wa wakubwa
Nina amini utakuwa na story fupi juu ya haya sio bule juu ya Hilo jibu mkuu
 
Mimi sina shida na ununuzi wa hizo bidhaa ila na wao wawe wanauza kwa bei rafiki iloi ziondoke charp
 
Vijana wengi wanakula sungura kuliko matunda pengine wangebadili mtazamo wakuanza kula matunda wangesaidia jamii hata wao wangekuwa na wateja wengi wa hizo boda zao baraka zingekuwa nyingi
Una weza nunua ndizi za 1000 na ukampa 5000

Nisadaka nzuri kuliko Ile ya kanisan na sio hao tu hata wazee wetu
 
Baba wa watoto wako wapi? Kuna Wakati natamani mno kuwaonea huruma lakini nyuma yao kuna wengi wameyataka na kukaidi ushauri wa wakubwa
Ni
Nilikuwa na house girl mshamba mbutika kamaliza gongo la mboto mwisho wa lami. Anavaa vitenge mpaka kwenye unyayo..
Baada ya mwezi akaanza kunawiri
Baada ya mwezi mwingine akapata simati foni. Shida ilianzia hapo
Jamani kama kuna binti ambaye nilimuasa kuhusu maisha yule anaongoza..
Lakini sasa hivi analea mimba aliyojaribu kuitoa mara tano ikishindikana.. Kapanga chumba cha giza kula yake ya kubahatisha.. Kakonda kabaki kichwa
Nawaza sana akijifingua future yake na mtoto itakuwaje
Ni kweli mkuu, lkn usiache kuwahurumia wengine wameshajifunza lkn ndio fursa tu imewatoroka!
 
Nilikuwa na house girl mshamba mbutika kamaliza gongo la mboto mwisho wa lami. Anavaa vitenge mpaka kwenye unyayo..
Baada ya mwezi akaanza kunawiri
Baada ya mwezi mwingine akapata simati foni. Shida ilianzia hapo
Jamani kama kuna binti ambaye nilimuasa kuhusu maisha yule anaongoza..
Lakini sasa hivi analea mimba aliyojaribu kuitoa mara tano ikishindikana.. Kapanga chumba cha giza kula yake ya kubahatisha.. Kakonda kabaki kichwa
Nawaza sana akijifingua future yake na mtoto itakuwaje
Mtoto wa Mwenzio ni wako! Msaidie kama unaweza kwa anayopitia sasa hivi! Hawa tunaowaita mahouse girl hawakustahili kuwa kwenye hayo majumba ya watu, wengi walitakiwa kuwa shule au vyuo ni hivyo hali duni za kipato cha familia zao na unapokuwa naye haimaanishi hata pitia vipindi vyote vya balehe......ameshajifunza.pakubwa
 
Haya mambo huwa ni magumu hata kuyajadili.

Anyway! Single Moms wote wasio jiweza ki maisha wapeleke watoto kwa bibi zao ili wapate muda wa kupambana na maisha ya mjini.

Ikitokea umepigwa mimba nyengine tena basi utakuwa kichaa.
 
Back
Top Bottom