Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Mm mdogo wangu nilimkalisha chini kumchana live, mpaka na chozi linanitoka namshauri hapo ulipoingia umejichanganya utanipa majukumu ya kulea wajomba tu lakini wapi hakunielewa. Ila sasahivi ananitafuta Kwa tochi hata nimsaidie lakini abadani haitotokea kama razi niipate tu kama ipo