Tuwaseme mpaka wabadilike: Wanaume wa Dar

Ulojoooooooooo umeusahau mkuu
 
Jina jipya huo mkoa unaitwa "Dume Suruali City"hapo ndipo penye vitu adimu kupatikana tanzania kuna mashoga a.k.a embe la mombasa ni wanaume hao.kuna wafiraji a.k.a Muwa kutoka morogoro(hapa wote ni wanaume yaani mfi...na mfwi..wote madume).shubashekiii.Yesu njoo.
 
Wanaume wa mikoani mnabishana sana Mzaramo nawaangalia tu. Cha ajabu mmejigawa katika makundi mawili... wa Dar na wa mikoani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli aisee sidhani kama kuna mzaramo anayehangaika na huu upuuzi wa wanaume wa Dar vs.wa mikoani. Naona watu hapa wanakimbizana na vivuli vyao wenyewe.
 
7.WANAPENDA KUVAA VISURUALI VYA KUBANA KAMA WANAWAKE..YAANI VISURUALI VINAVYOCHORESHA MWILI YAANI SIJU WANAUZA NINI??
Nakuunga mkono.
Hiyo ni mitoko ya karne.

Unataka tuvae suruali kama za Ngoswe
 
Ila wanaume wa Dar aiseeeee mnaogopa hata mende au panya!!!!! nyie ni tatizo kubwa aiseeeee
 
Ila kweli. Mwanaume unakimbilia kukaa kwenye mwendo kasi hadi unaangukia pua. Mmezidi bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…