#COVID19 Tuwatambue wanaohujumu vita dhidi ya Covid-19 nchini

#COVID19 Tuwatambue wanaohujumu vita dhidi ya Covid-19 nchini

Huyu jamaa anaipambania Corona sijapata kuona,ikitokea dunia nzima Corona iishe,itamuuma Sana,maana post zake nyingine ni corona.
Na bahati mbaya anachokitamani kitokee Tanzania kamwe hakitatokea.
Yawezekana ni dalali wa mabeberu!! Hapo alipo kwanza huwezi kumkuta amevaa barakoa lakini maneno mengiii!!! Hakuna mtu anayemzuia kujiweka lockdown na kuchanjwa!! Asitupangie!!
 
Kuna mtu aliyekuzia kuchukua tahadhari? Povu LA nini!? Jiweke lockdown Kabisa!!
Ndiyo maana akiandika anahimiza tahadhari kuchukuliwa?

Kuna kitu kimoja common kati ya wapinga tahadhari za ugonjwa huu na wapinga katiba kama wewe.

Hicho kitu common kipo kwenye mada.

Utakuwa na wewe unapinga ujio wa katiba mpya.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Yawezekana ni dalali wa mabeberu!! Hapo alipo kwanza huwezi kumkuta amevaa barakoa lakini maneno mengiii!!! Hakuna mtu anayemzuia kujiweka lockdown na kuchanjwa!! Asitupangie!!

Umesoma uzi au umekurupuka tu? Unaota kupangiwa? Upangiwe na nani? Au hata una umuhimu gani kwa nani jombi?

Uzi huu unawatambua watu kama wewe mnaopinga jitihada za serikali za kuwataka watu kuchukua tahadhari.

Uzi huu unatambua kuwa wewe pia utakuwa hutaki katiba mpya. Hiyo tu ndiyo scope ya uzi.

Mpinga tahadhari ya Corona na mpinga katiba mpya mna "one thing in common" na hicho kimo kwenye mada.

Kama mimi ni dalali wa mabeberu basi serikali nzima na mama Samia ndiyo mabeberu wenyewe.

Kwa hali hiyo bila shaka wewe ni mbuzi jike.
 
Kuna mtu aliyekuzia kuchukua tahadhari? Povu LA nini!? Jiweke lockdown Kabisa!!

Soma mada kuelewa badala kurukia mada. Mada hii inaonyesha kuwatambua wapinga tahadhari ya Corona kinyume na maelekezo ya serikali.

Hakuna jazba wala povu.

Wewe utakuwa unapinga katiba mpya pia. Ujinga ndiyo common denominator yenu:

IMG_20210707_205907_958.jpg


Uzi huu ilikiwa kwa ajili ya kuwatambua mamburula kama wewe. Bandiko lako linahitimisha tu usahihi wa mada.
 
Yawezekana ni dalali wa mabeberu!! Hapo alipo kwanza huwezi kumkuta amevaa barakoa lakini maneno mengiii!!! Hakuna mtu anayemzuia kujiweka lockdown na kuchanjwa!! Asitupangie!!
Anasema ili kuwaonyesha waliompa pesa kuwa anapambana.
 
Ndiyo maana akiandika anahimiza tahadhari kuchukuliwa?

Kuna kitu kimoja common kati ya wapinga tahadhari za ugonjwa huu na wapinga katiba kama wewe:

View attachment 1845171

Hicho kitu common kipo kwenye mada.

Utakuwa na wewe unapinga ujio wa katiba mpya.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kapuku endelea kupambana na kuunganisha issue ya katiba ili upate wanaokuunga mkono,maana kwenye corona umechemsha.
Kila siku ulimtaka rais atoe tamko,Sasa tamko lilishatoka,Nani ajifunike mdomo apanuke moyo bila sababu.
 
Umesoma uzi au umekurupuka tu? Unaota kupangiwa? Upangiwe na nani? Au hata una umuhimu gani kwa nani jombi?

Uzi huu unawatambua watu kama wewe mnaopinga jitihada za serikali za kuwataka watu kuchukua tahadhari.

Uzi huu unatambua kuwa wewe pia utakuwa hutaki katiba mpya. Hiyo tu ndiyo scope ya uzi.

Mpinga tahadhari ya Corona na mpinga katiba mpya mna "one thing in common" na hicho kimo kwenye mada.

Kama mimi ni dalali wa mabeberu basi serikali nzima na mama Samia ndiyo mabeberu wenyewe.

Kwa hali hiyo bila shaka wewe ni mbuzi jike.
Samia mwenyewe yuko Morogoro anapuyanga tu,mwambieni Samia awaige akina Mseven na Kagame au Kinyatta,hao ndio wanapambana na corona,kupambana na corona sio kuvaa baracoa tu uku ukikusanya watu mwenye mikutano.Mwambie wazungu wa siku hizi sio wajinga kihivyo,huo mkopo anatafuta ataukosa 😃😁😄
 
Samia mwenyewe yuko Morogoro anapuyanga tu,mwambieni Samia awaige akina Mseven na Kagame au Kinyatta,hao ndio wanapambana na corona,kupambana na corona sio kuvaa baracoa tu uku ukikusanya watu mwenye mikutano.Mwambie wazungu wa siku hizi sio wajinga kihivyo,huo mkopo anatafuta ataukosa 😃😁😄

1. Huu ugonjwa ni hatari. Ninakubaliana na hatua zilizo pendekezwa kuukabili.
2. Sikubaliani na mwitikio wa kupambana nao.

IMG_20210708_061733_787.jpg



3. Sikubaliani kuwa anatafuta mkopo:

IMG_20210708_061848_892.jpg


Hapo juu yote yapo kwenye mada.

Jikite pia kwenye mada "kuwatambua wanaopinga jitihada za serikali kupambana na Corona."

Nadhani lengo kimebadilika kwa mtu yeyote kuwatambua. Watu hao.pia wanapinga katiba mpya.
 
Kapuku endelea kupambana na kuunganisha issue ya katiba ili upate wanaokuunga mkono,maana kwenye corona umechemsha.
Kila siku ulimtaka rais atoe tamko,Sasa tamko lilishatoka,Nani ajifunike mdomo apanuke moyo bila sababu.

Si hitaji kuungwa mkono na yeyote ila ninasimama na ninachokiamini. Sipambani wala kupambania lolote kwani maisha yako au ya yeyote ya mjinga asiyenihusu yana nini cha kufanya nami? Kama binadamu ninayo haki ya kufanya tathmini zangu na kwa hilo "I do it with vigor."

1. Leo hii hatimaye msimamo wa serikali (kuhusu Corona) ni kama ulivyo wetu (nikiwamo mimi) na si kama wenu ambao bila aibu ninawaita wajinga ukiwamo wewe:

IMG_20210708_064942_755.jpg


2. Leo hii ninatambua kuwa katika kundi la wajinga hao kila mpinga hatua hizi njema za serikali pia ni mpinga Uwepo wa katiba mpya:

IMG_20210706_211331_804.jpg


3. Kwamba rais katoa tamko kuhusu Ugonjwa huu kwa sababu ya mimi kumtaka kufanya hivyo? Huo nao ni uthibitisho zaidi wa ujinga wako.

4. Kwamba naunganisha Corona na katiba kupata uungwaji mkono? Huo nao ni uthibitisho zaidi kuwa utakuwa na tatizo la elimu ambayo ndiyo asili ya ujinga wako:

IMG_20210708_070119_331.jpg


Nenda shule jombi. Elimu haina mwisho!
 
Anasema ili kuwaonyesha waliompa pesa kuwa anapambana.

Si kila mtu anasema jambo kwa vile kapewa pesa. Ndiyo maana ili kuwakata kilimi limi mamburula nyie lilikuwa wazo la maana Serikali ikaachana na hii habari ya mikopo na misaada:

IMG_20210706_203616_157.jpg


Elimu ni ufunguo wa maisha rudini shule.
 
Si kila mtu anasema jambo kwa vile kapewa pesa. Ndiyo maana ili kuwakata kilimi limi mamburula nyie lilikuwa wazo la maana Serikali ikaachana na hii habari ya mikopo na misaada:

View attachment 1845386

Elimu ni ufunguo wa maisha rudini shule.
Wewe kazi hi unaifanya ili mkono uende kinywani ndo maana uko mtandaoni 24hrs.
 
Si hitaji kuungwa mkono na yeyote ila ninasimama na ninachokiamini. Sipambani wala kupambania lolote kwani maisha yako au ya yeyote ya mjinga asiyenihusu yana nini cha kufanya nami? Kama binadamu ninayo haki ya kufanya tathmini zangu na kwa hilo "I do it with vigor."

1. Leo hii hatimaye msimamo wa serikali (kuhusu Corona) ni kama ulivyo wetu (nikiwamo mimi) na si kama wenu ambao bila aibu ninawaita wajinga ukiwamo wewe:

View attachment 1845380

2. Leo hii ninatambua kuwa katika kundi la wajinga hao kila mpinga hatua hizi njema za serikali pia ni mpinga Uwepo wa katiba mpya:

View attachment 1845379

3. Kwamba rais katoa tamko kuhusu Ugonjwa huu kwa sababu ya mimi kumtaka kufanya hivyo? Huo nao ni uthibitisho zaidi wa ujinga wako.

4. Kwamba naunganisha Corona na katiba kupata uungwaji mkono? Huo nao ni uthibitisho zaidi kuwa utakuwa na tatizo la elimu ambayo ndiyo asili ya ujinga wako:

View attachment 1845384

Nenda shule jombi. Elimu haina mwisho!
Matope IQ yako iko chini Sana ndo nyie mliokuwa mnsoma mpaka jicho linakuwa jekundu Kama mchoma mkaa matokeo Sasa🤣🤣🤣
 
Wewe kazi hi unaifanya ili mkono uende kinywani ndo maana uko mtandaoni 24hrs.

Kuhitaji katiba mpya ni muhimu kuliko mkono kwenda kinywani.

Kuwatambua wapotoshaji kwa majina ni jambo la msingi mno kuliko mkono kwenda kinywani.

Kuwatambua vyawa wa mwendazake wanaotaka kuturudisha Misri ni jambo la msingi kuliko mkono kwenda kinywani:

IMG_20210708_113857_694.jpg


Vipi umeshapiga nyungu, kupata malimao, michai chai na mikaratusi?

Hadi hapo unasema je?
 
Matope IQ yako iko chini Sana ndo nyie mliokuwa mnsoma mpaka jicho linakuwa jekundu Kama mchoma mkaa matokeo Sasa🤣🤣🤣

Wewe IQ huna kabisa yaani ni below zero au kiusahihi una Hasi (-ve) IQ.

Wewe utakuwa ulipokuwa ukisoma hata jicho liwe jekundu kuliko mchoma mkaa bado hamna kitu 😂😂😂 !

IMG_20210704_051559_619.jpg


Urahisi wa kupambana na viduku uko kwenye ukweli kuwa mna elimu duni na hamna uwezo wa kuchanganua mambo.

Rudini shule!
 
Back
Top Bottom