mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Yawezekana ni dalali wa mabeberu!! Hapo alipo kwanza huwezi kumkuta amevaa barakoa lakini maneno mengiii!!! Hakuna mtu anayemzuia kujiweka lockdown na kuchanjwa!! Asitupangie!!Huyu jamaa anaipambania Corona sijapata kuona,ikitokea dunia nzima Corona iishe,itamuuma Sana,maana post zake nyingine ni corona.
Na bahati mbaya anachokitamani kitokee Tanzania kamwe hakitatokea.
Ndiyo maana akiandika anahimiza tahadhari kuchukuliwa?
Kuna kitu kimoja common kati ya wapinga tahadhari za ugonjwa huu na wapinga katiba kama wewe.
Hicho kitu common kipo kwenye mada.
Utakuwa na wewe unapinga ujio wa katiba mpya.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kweli mjinga mwenzao ametangulia......na kibri chakeNyie wafuasi wa dikteta, subirini mumfuate mjinga mwenzenu alipo huko
Yawezekana ni dalali wa mabeberu!! Hapo alipo kwanza huwezi kumkuta amevaa barakoa lakini maneno mengiii!!! Hakuna mtu anayemzuia kujiweka lockdown na kuchanjwa!! Asitupangie!!
Kuna mtu aliyekuzia kuchukua tahadhari? Povu LA nini!? Jiweke lockdown Kabisa!!
Anasema ili kuwaonyesha waliompa pesa kuwa anapambana.Yawezekana ni dalali wa mabeberu!! Hapo alipo kwanza huwezi kumkuta amevaa barakoa lakini maneno mengiii!!! Hakuna mtu anayemzuia kujiweka lockdown na kuchanjwa!! Asitupangie!!
Kapuku endelea kupambana na kuunganisha issue ya katiba ili upate wanaokuunga mkono,maana kwenye corona umechemsha.Ndiyo maana akiandika anahimiza tahadhari kuchukuliwa?
Kuna kitu kimoja common kati ya wapinga tahadhari za ugonjwa huu na wapinga katiba kama wewe:
View attachment 1845171
Hicho kitu common kipo kwenye mada.
Utakuwa na wewe unapinga ujio wa katiba mpya.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Samia mwenyewe yuko Morogoro anapuyanga tu,mwambieni Samia awaige akina Mseven na Kagame au Kinyatta,hao ndio wanapambana na corona,kupambana na corona sio kuvaa baracoa tu uku ukikusanya watu mwenye mikutano.Mwambie wazungu wa siku hizi sio wajinga kihivyo,huo mkopo anatafuta ataukosa πππUmesoma uzi au umekurupuka tu? Unaota kupangiwa? Upangiwe na nani? Au hata una umuhimu gani kwa nani jombi?
Uzi huu unawatambua watu kama wewe mnaopinga jitihada za serikali za kuwataka watu kuchukua tahadhari.
Uzi huu unatambua kuwa wewe pia utakuwa hutaki katiba mpya. Hiyo tu ndiyo scope ya uzi.
Mpinga tahadhari ya Corona na mpinga katiba mpya mna "one thing in common" na hicho kimo kwenye mada.
Kama mimi ni dalali wa mabeberu basi serikali nzima na mama Samia ndiyo mabeberu wenyewe.
Kwa hali hiyo bila shaka wewe ni mbuzi jike.
Samia mwenyewe yuko Morogoro anapuyanga tu,mwambieni Samia awaige akina Mseven na Kagame au Kinyatta,hao ndio wanapambana na corona,kupambana na corona sio kuvaa baracoa tu uku ukikusanya watu mwenye mikutano.Mwambie wazungu wa siku hizi sio wajinga kihivyo,huo mkopo anatafuta ataukosa πππ
Kapuku endelea kupambana na kuunganisha issue ya katiba ili upate wanaokuunga mkono,maana kwenye corona umechemsha.
Kila siku ulimtaka rais atoe tamko,Sasa tamko lilishatoka,Nani ajifunike mdomo apanuke moyo bila sababu.
Anasema ili kuwaonyesha waliompa pesa kuwa anapambana.
Wewe kazi hi unaifanya ili mkono uende kinywani ndo maana uko mtandaoni 24hrs.Si kila mtu anasema jambo kwa vile kapewa pesa. Ndiyo maana ili kuwakata kilimi limi mamburula nyie lilikuwa wazo la maana Serikali ikaachana na hii habari ya mikopo na misaada:
View attachment 1845386
Elimu ni ufunguo wa maisha rudini shule.
Matope IQ yako iko chini Sana ndo nyie mliokuwa mnsoma mpaka jicho linakuwa jekundu Kama mchoma mkaa matokeo Sasaπ€£π€£π€£Si hitaji kuungwa mkono na yeyote ila ninasimama na ninachokiamini. Sipambani wala kupambania lolote kwani maisha yako au ya yeyote ya mjinga asiyenihusu yana nini cha kufanya nami? Kama binadamu ninayo haki ya kufanya tathmini zangu na kwa hilo "I do it with vigor."
1. Leo hii hatimaye msimamo wa serikali (kuhusu Corona) ni kama ulivyo wetu (nikiwamo mimi) na si kama wenu ambao bila aibu ninawaita wajinga ukiwamo wewe:
View attachment 1845380
2. Leo hii ninatambua kuwa katika kundi la wajinga hao kila mpinga hatua hizi njema za serikali pia ni mpinga Uwepo wa katiba mpya:
View attachment 1845379
3. Kwamba rais katoa tamko kuhusu Ugonjwa huu kwa sababu ya mimi kumtaka kufanya hivyo? Huo nao ni uthibitisho zaidi wa ujinga wako.
4. Kwamba naunganisha Corona na katiba kupata uungwaji mkono? Huo nao ni uthibitisho zaidi kuwa utakuwa na tatizo la elimu ambayo ndiyo asili ya ujinga wako:
View attachment 1845384
Nenda shule jombi. Elimu haina mwisho!
Wewe kazi hi unaifanya ili mkono uende kinywani ndo maana uko mtandaoni 24hrs.
Matope IQ yako iko chini Sana ndo nyie mliokuwa mnsoma mpaka jicho linakuwa jekundu Kama mchoma mkaa matokeo Sasaπ€£π€£π€£
Nasikia Mbowe kafiwa na kaka yake.Uzuri wa corona inapita nao wale wanaoidharau, yenyewe haina shida hata kidogo ukiiheshimu.
Yupo vizuri toka aanze mwaka jana alipumzika kile kipindi cha uchaguzi tu.Mkuu lazima wakupe medal kwa jinsi unavyolipigania swala la corona πππββοΈ
Unataka kwenda kwenye msiba?Nasikia Mbowe kafiwa na kaka yake.
Nasikia Mbowe kafiwa na kaka.Nyie wafuasi wa dikteta, subirini mumfuate mjinga mwenzenu alipo huko
Unashika koki unafungua maji na kunawa kisha unashika tena koki unafunga.