#COVID19 Tuwatambue wanaohujumu vita dhidi ya Covid-19 nchini

Siungi mkono hatua za sasa za kupambana na korona lkn naona kuna umuhimu wa katiba mpya acha watu watu watoe maoni yao.
 
Siungi mkono hatua za sasa za kupambana na korona lkn naona kuna umuhimu wa katiba mpya acha watu watu watoe maoni yao.

Uliona maneno haya: "asilimia kubwa?"



Kuna na tathmini nyingine imeenda mbele zaidi kusema kwenye asilimia hiyo kubwa pia wengi wao wako kati ya makundi haya 4 pia:



Nakazia hakuna aliyezuia mtu kutoa maoni. Haya ya kuzuiwa unayasoma wapi?
 
Uzuri wa corona inapita nao wale wanaoidharau, yenyewe haina shida hata kidogo ukiiheshimu.
Bado nakumbuka ile clip ya Polepole anaongea, sauti kama anaongelea kwenye chupa. Eti hii corona kama imeamua kukaa hapa Tanzania basi tunaitaka ikae kwa adabu. Haikuchukuwa muda ikaondoka na bosi wake! Kweli ujinga ni kitu kibaya. Corona inafanyiwa dhihaka?
 
Hata wewe nawe unaamini kuwa Jiwe kafa na corona?
 
Siyo tu naamini ila nilipata habari kabla hata hajafariki.
Bila ushahidi inabaki kuwa ni imani tu, kuna wengine walikuwa na imani kali kabisa kuwa Jiwe kachanja chanjo ya china kisirisiri ndio maana alikuwa haogopi corona yani kila mtu ana imani yake.
 
Na wakifa na UKIMWI muwe mnatangaza hivohivo, sio mnasingizia malaria ilimpanda kichwani
 
Yawezekana ni dalali wa mabeberu!! Hapo alipo kwanza huwezi kumkuta amevaa barakoa lakini maneno mengiii!!! Hakuna mtu anayemzuia kujiweka lockdown na kuchanjwa!! Asitupangie!!
Hapo vp?
 
Kapuku endelea kupambana na kuunganisha issue ya katiba ili upate wanaokuunga mkono,maana kwenye corona umechemsha.
Kila siku ulimtaka rais atoe tamko,Sasa tamko lilishatoka,Nani ajifunike mdomo apanuke moyo bila sababu.

Kapuku vipi kwenye Corona wewe ulishapoza siyo mjomba? Vipi rais hajatoa tamko?

Vipi mdomo bado umefunua? Moyo nao umesinyaa?

Kumbukumbu zenu bora kuku!

Cc: Jerusalem2006
 
Matope IQ yako iko chini Sana ndo nyie mliokuwa mnsoma mpaka jicho linakuwa jekundu Kama mchoma mkaa matokeo Sasa🤣🤣🤣
Matope IQ yako inasemaje?

Hiiiiii bagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…