Tuwatembelee Mapolisi wetu katika vituo vyao kuonesha Upendo

Tuwatembelee Mapolisi wetu katika vituo vyao kuonesha Upendo

pilipili kichaa

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
18,406
Reaction score
14,643
Habarini ndugu zangu,

Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.

Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.

Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!
 
Habarini ndugu zangu.
Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.

Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.

Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!
Watakugeuzia kibao kuwa umeenda na bangi, nenda wewe mimi hata kuwaona tu sitaki
 
Habarini ndugu zangu.
Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.

Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.

Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!
Ndugu yangu usithubu, hizo soda na biskuti utakazo peleka watakupa kesi ya rushwa
 
Habarini ndugu zangu.
Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.

Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.

Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!
Haina shida kuwatembelea ila tatizo ni namna ya kutoka kwani utaratibu waliojiwekea ni kuingia bure kutoka dah! Hapo sasa bila kitu kidogo sijui utatokaje, labda tuwakute Jangwani.
 
Mlevi 1: Hio ni prerushwa, unatengeneza mazingira ya kubebwa siku ukiwa na shida.

Mlevi 2: "Kwan mishahara wanayolipwa haitoshi kuonesha upendo wetu? Maana ni kodi zetu hawafanyi kaz bure" (kwa sauti ya kilevi)

Barmaid 1: tena polisi hawa hawa wa bongo!!? Ambao ukikutana nao usiku barabara wanakukamata na kukubambikia kesi ili wakupige ela? Mmmh labdaa!!!

Mlevi 1: kwanza hawaaminiki ata kidogo.

Mlevi 2: hio ela bora nipeleke kwa watoto yatima wenda Mungu akanibariki
 
kuna baadhi ya vituo vya polisi wameweka na mautepe ya njano na wameweka mabango hauruhusiwi kupita hapa kwenye mageti yao na njia hakuna kupitiliza na ili huende ofisini kwao lazima upite hapo walipoandika hairuhusiwi kupita hapa.
Ila watu wanapita (mapolisi na baadhi ya raia wanaolewa) ,ukiwa na roho nyepesi na sio mwelewa huwezi kupita kwenda hata kueleza shida yako.
Mfano wa kituo hicho ni Polisi Kati Posta Dar es Salaam
 
Habarini ndugu zangu.
Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.

Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.

Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!
[emoji249][emoji249][emoji249]hao nenda uwasalimie wewe
 
Back
Top Bottom