mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hawa chelewi kukuchoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amevurugwa huyoHawa akina Kingai?
Wewe kweli pilipili kichaa
Hahahahahah Nenda wakupe kesi ya Ugaidi hahahahaHabarini ndugu zangu,
Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.
Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.
Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!
Habarini ndugu zangu,
Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.
Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.
Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!
Mleta mada una kichaa wahitaji tiba, upendo upi tuwaonyeshe wakati wao hawana upendo na sisi, unaweza ukawatembelea kwa nia nzuri ukajikuta umepewa kesi ya uhujumu uchumiHabarini ndugu zangu,
Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.
Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.
Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!
Mimi nina mpango wa kuwatembelea ila bado mzigo wangu haujafika,nimeagiza kutoka somalia.siku si nyingi nitaenda kuwatembelea nikiwa na mkanda wangu kwenye kindooHabarini ndugu zangu,
Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.
Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.
Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!
Bora kutembelea kambi ya majambazi kuliko hao jamaaHabarini ndugu zangu,
Napendekeza tuanze utaratibu wa kuwatembelea askari wetu wa jeshi la Polisi katika vituo vyao vya kazi kwa ajili ya kuwaonyesha upendo, kuwajali na kuwatia moyo katika kazi zao.
Tunaweza kwenda na soda, au juice na kuwagawia kwa kunywa nao na kupiga story zenye tabasamu na upendo ili kukuza urafiki wetu, Twende nao katika migahawa ya karibu tule nao chakula na kupiga story zenye vicheko.
Tukiwa na utaratibu huu nchi nzima mtakuja kunishukuru na huenda mkanijengea mnara katikati ya barabara ya Samora!