Tuwatembelee Mapolisi wetu katika vituo vyao kuonesha Upendo

Unamaanisha hawa policcm?
Au askari jeshi?
 
Sema kuna baadhi ya police wao wanataka muda wote waogopewe na Raia!!
 
Kwa hyo nikapige story na jumanne muliro au siro kbsa wale jamaa Ni wa ovyo San siwez kuwa na rfi askri au police Bora mwanajesh Mara Mia Zaid siyo Hawa jamaa ..muda wote wanawaza hell tu na hawan msaada pindi unapopatwa na majanga ndio njia yao ya kukupiga zais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…