Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
HaaaaaaHuko pwani kwenu Evelyn Salt wanaume hawawezi kutafunwa miwa, eti wanakula miwa iliyosagwa kwenye mashine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaaaaaHuko pwani kwenu Evelyn Salt wanaume hawawezi kutafunwa miwa, eti wanakula miwa iliyosagwa kwenye mashine
Mahindi na ndimu chumvi na pilipiliMama weeee...... mahindi na ndimu???? Duh
Unajua Demi wewe mchokozi sana 🤣🤣🤣Kwanini unaiangalia mara kwa mara?😅
Kuna siku nimekutana na shemeji yangu mmoja kapiga kipensi kifupi kuliko boxer.Katika kitu kingine ambacho huwa sikielewi ni mtoto wa kiume kuvaa kinjunga kinachowacha wazi mapaja nje na masikioni kuvaa hereni na mkononi kuvaa kacha zile za rainbow au bendera ya tz n kenya...aisee huwa nawaona kama mashoga tu.
Kwa mwanamume hakuna kitu cha kulinda kama rinda aseeeView attachment 2380098
Nafikiri imeeleweka...
Kwaio ukiona mwanamke anakugusa nyoro na bado umetulia, ni haki yako kupitiwa rough road.
Kwanza anaanzaje kukushika tako? Hiii! Aisee!
Huenda anawekwa kama yule jamaa anaepostiwa na mwijakuKuna siku nimekutana na shemeji yangu mmoja kapiga kipensi kifupi kuliko boxer.
Niliona aibu mimi😅😅😅
Dah yaani sitakuja kuielewa hiyo fashion yenu wanaume😀, huwa sijali sana mavazi ya mtu lakini hilo limegoma kupenya akilini😅😅Huenda anawekwa kama yule jamaa anaepostiwa na mwijaku
SawaNijibu tafadhali, nitapenda jibu lako lile genuine kabisa.
Acheni izinzi mkuuHii inawahusu hasa wanaume/mabaharia wanaopenda kuchukua totoz maeneo mbali mbali.
Kuna siku tulikuwa kwenye kikao cha kiume na mabaharia wenzangu, tukawa tunabadilishana mawazo, na katika mazungumzo ikaonekana vijana wengi wanateketea kuingia kwenye mahusiano ya jinsia moja, mbaya zaidi mtu anakutajia w, na w usimuone ana familia na anaenda ofisini; anagongwa.
Mbaya zaidi, wakanitajia mpaka mitaa ambayo hawa dume jike wanatafuta masoko.
Swali likaja, kwa nini wanaongezeka kwa kasi hiyo?
Jibu likawa hivi: Unavyotembea na mwanamke ambaye siyo mwaminifu, akiwa anakuchezea hayo maeneo ya hatari, huwa wanaweka vikemikali ambavyo vitasababisha hayo maeneo kuwa na muwasho, na hatimaye kujikuta umeingia kwenye huo ushenzi.
Wanaweza wakawa wanafanya vile, ili uendelee kumuhitaji kwenye soko au akawa na lengo la kukuharibu kabisa.
Kama mwanaume kamili, kwa hali ilivyo sasa, kuwa makini na wapenzi unaotembea nao; ukiona anaguswa guswa hayo maeneo, jaribu kuwa mkali, akizidi piga kofi kabisa.
Dunia imeharibika, usipojisimamia utapelekeshwa.
Udukuzi unamhusuKuna siku nimekutana na shemeji yangu mmoja kapiga kipensi kifupi kuliko boxer.
Niliona aibu mimi😅😅😅
Ila anal poa tu haina shida? mmeshaanza kuona ni kitu cha kawaidaSawa
Huwa naangali porno ila za cuckolding, gays, bisexual, transsexual hapana
Ndio vitu gani hivi?Sawa
Huwa naangali porno ila za cuckolding, gays, bisexual, transsexual hapana
Fashio ya kina noel gioDah yaani sitakuja kuielewa hiyo fashion yenu wanaume😀, huwa sijali sana mavazi ya mtu lakini hilo limegoma kupenya akilini😅😅
Ni kidume hasa 😀Udukuzi unamhusu
Jamani yule ni mdada kabisaa, swaga zake matata kabisa na hajali tena😅😅Fashio ya kina noel gio
Ila anal poa tu haina shida? mmeshaanza kuona ni kitu cha kawaida
Wewe.Ni kidume hasa 😀
Uzinzi ni hasara mkuu, ni bora kubaki njia kuuAcheni izinzi mkuu
Aisee nyie.Anal kawaida haina shida