Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Poleni sana timu ya kiumeniWewe.
Hali ni mbaya mno kiumeni.
Yaani hivi karibuni nilionyeshwa mijitu ninayoiheshimu na midume haswa kwa macho kumbe tindo zinawahusu nilichoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana timu ya kiumeniWewe.
Hali ni mbaya mno kiumeni.
Yaani hivi karibuni nilionyeshwa mijitu ninayoiheshimu na midume haswa kwa macho kumbe tindo zinawahusu nilichoka
Shida inakuwa pale mwanamume anapopakuliwa kisamvu cha kopo ila kwa mwanamke huwa haishtui saivi imekuwa kawaidaAisee nyie.
Ngoja niishie hapa
Kiumeni kuna msiba mkubwa, poleni wanawake utafika wakati mtategemea matango😂😂😂Poleni sana timu ya kiumeni
Kumbeee 😂😂😂😂😂😂Nimeacha kabisa.
Mungu anisimamie, nimepoteza sana pesa kwa uzinzi,,,,sitaki tena
Wengine tumezalisha huko nje, gharama za matunzo bado zinaendelea mkuuNimeacha kabisa.
Mungu anisimamie, nimepoteza sana pesa kwa uzinzi,,,,sitaki tena
Hapo kwenye pesa umeongea pointNimeacha kabisa.
Mungu anisimamie, nimepoteza sana pesa kwa uzinzi,,,,sitaki tena
Basi hata kwa mwanaume mtakuja tu kuona ni kawaida. Ni suala la mudaShida inakuwa pale mwanamume anapopakuliwa kisamvu cha kopo ila kwa mwanamke huwa haishtui saivi imekuwa kawaida
Ukitembelea ule uzi wa picha; ni vigumu kuachaHapo kwenye pesa umeongea point
Mbususu gharama asee
Kila la kheri mtumishi. Hallelujah! (In mwakasege's voice)Sio siri, vitoto vizuri nimebamiza sana.
Nimetubu mimi.
Ni mekosa nimekosa mimi
Kwa wanaume hilo suala miaka nenda rudi litabaki kuwa na ukakasiBasi hata kwa mwanaume mtakuja tu kuona ni kawaida. Ni suala la muda
Hakika.Naanzaje kukucheka, ni jambo la kheri!
Uzinzi sio poa
Sawa sawa mkuuKwa wanaume hilo suala miaka nenda rudi litabaki kuwa na ukakasi
Vizinga, kuonga na kununua mbususu hizi mambo hazijawahi kumwacha salama mwanamume mzinzi, usipokuwa makini haufikii malengo yako uliyojiwekeaUkitembelea ule uzi wa picha; ni vigumu kuacha
AminiSawa sawa mkuu
Inabidi kuwa mbali na vishawishi, la sivyo ukiona msambwanda hatari, lazima shetani ashindeNilinusurika kubambikiwa mtoto kumbe alikuwa anachaguliwa baba hahaha.
Nasema nimeacha hakika
Sijakupinga 😀Amini
Au sio 🤣Sijakupinga 😀
Hatari sana, pesa inakuwa inatoka kwa spidi kubwa kuliko unavyoipataVizinga, kuonga na kununua mbususu hizi mambo hazijawahi kumwacha salama mwanamume mzinzi, usipokuwa makini haufikii malengo yako uliyojiwekea
Natamani tukutane mimi na wewe after 50 yrs ili tuijadili tena hii mada upya, ila ndo hivyo haiwezekaniAu sio 🤣