Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kuna mizee mizinzi hadi inakufa🤣🤣🤣Network ya kichwa itakuwa imekata; hutokuwa unakumbuka chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mizee mizinzi hadi inakufa🤣🤣🤣Network ya kichwa itakuwa imekata; hutokuwa unakumbuka chochote
Nitakuwa nishafikia ule umri tunaosema ni miaka ya matesoNetwork ya kichwa itakuwa imekata; hutokuwa unakumbuka chochote
Mimi huwa natoa ilani kabisa kuwa ni maeneo matano tu anaruhusiwa, 1) mdomo kwa kupeana mate, 2) garden love. 3) mbupu, 4) mb****o yenyewe. 5) ni mgongoni tena tukiwa tumekumbatiana au tupo missionary. Maeneo mengine ni strictly probihited.Lakini wanasema wanaume wote wakiguswa huko ni wanapata raha (msisimko) so ni it’s either haijaguswa au kama umeguswa basi hujaguswa vizuri na wanasema hilo halihusiani kabisa na ush*ga
Mwenzangu una uhakika wa kuwepo?Sema miaka 50 ijayo sio mbali kivile
Njoo tumtukuze Mungu kaka.Kwa lifestyle hii ya kubadilisha badilisha wanawake kutoboa ni ngumu 🤣
Inshaallah kwa kudra zake aliye juuMwenzangu una uhakika wa kuwepo?
Unakuwa unasubiri kwenda kwa baba; kipindi hicho hela si kituNitakuwa nishafikia ule umri tunaosema ni miaka ya mateso
Kwa hiyo mwanetu umeacha kuchakata mbususu? 🤣🤣🤣Njoo tumtukuze Mungu kaka.
Huko chini hakuna maajabu.🤣🤣🤣
Mie nimefunua za kizungungu na mataifa mengine hata weusi tii hakuna jipya niamini.
Lakini kumcha Mungu kwaleta amani ya moyo
Tatizo na huko mnatupiga sana hela zetu za chenjiNjoo tumtukuze Mungu kaka.
Huko chini hakuna maajabu.🤣🤣🤣
Mie nimefunua za kizungu na mataifa mengine hata weusi tii hakuna jipya niamini.
Lakini kumcha Mungu kwaleta amani ya moyo
ha ha ha juzi nimemtimua mmoja hapa, hela haikai; matumizi makubwa balaa, mara hela ya kope, mara ya kucha; nikaona hapa naukaribisha umasikini wakujitakia.Equation x nakusomaga unavyopenda mbususu kama mzabzab nacheeeka🤣🤣🤣🤣🤣
Nilikuwa nataka niseme hiyo kitu unaweza ukawa na pesa lakini hauwezi kuzitumbua, hauwezi kwenda viwanja, marafiki zako wengi wanakuwa wameshakufa, matatizo mengine ya uzee hata uwe na pesa hayatibiki, huenda kama ni mwanamume mke alishakufa, watoto wote wameshaondoka nyumbani wameanza maisha yao.Unakuwa unasubiri kwenda kwa baba; kipindi hicho hela si kitu
Iko hivi nitampenda mtoto wa mtu mmoja tu.Kwa hiyo mwanetu umeacha kuchakata mbususu? 🤣🤣🤣
Kule kutamu nisidanganye siwezi kuacha ngoja tuangalie angalie miaka ya mbeleni huko
Suluhisho hapa, kama uwezo unaruhusu, unatengeneza empire, kizazi chako hakuna kuondoka nyumbaniNilikuwa nataka niseme hiyo kitu unaweza ukawa na pesa lakini hauwezi kuzitumbua, hauwezi kwenda viwanja, marafiki zako wengi wanakuwa wameshakufa, matatizo mengine ya uzee hata uwe na pesa hayatibiki, huenda kama ni mwanamume mke alishakufa, watoto wote wameshaondoka nyumbani wameanza maisha yao.
Maisha ya uzee ya upweke sana bora tu kula bata nguvu ukiwa nazo
Bro ukiwa mzinzi wewe ni fukara.ha ha ha juzi nimemtimua mmoja hapa, hela haikai; matumizi makubwa balaa, mara hela ya kope, mara ya kucha; nikaona hapa naukaribisha umasikini wakujitakia.
Hiyo inaitwa kupewa jumla jumlaIko hivi nitampenda mtoto wa mtu mmoja tu.
Na najua kupenda hatari.
Nikiwa mkweo mbona utafurahi?🤣🤣🤣
Bro. Uzinzi mbaya.
Kuna siku naongea na miss wa mkoa flani na alinichenga siku kadhaa.
Si akalogwa akampa mamake simu?
Eti msalimia maza.
Akanipa bhana.
Tukasalimiani nilinavyojua kujishusha sasa.
Akaniuliza mwanangu uko mkoa gani unaongea vizuri hivyo🤣.
Nikamtajia...akauliza utakuja lini kumsalimia mwenzako?
Nikamwambia ntakuja mamangu but ninaombi kwako.
Nini tena mwanangu?
Namuomba miss aje kunisalimia nimemiss nampenda sana🤣
Maza oooh kweli mwanangu?
Aje lini?
Mimi..kesho mamangu.
Mama ...anakuja🤣🤣
Huoni nilifika pabaya?
Mungu amenitoa mbali
🤣🤣🤣Iko hivi nitampenda mtoto wa mtu mmoja tu.
Na najua kupenda hatari.
Nikiwa mkweo mbona utafurahi?🤣🤣🤣
Bata hazina shukrani Mungu.Nilikuwa nataka niseme hiyo kitu unaweza ukawa na pesa lakini hauwezi kuzitumbua, hauwezi kwenda viwanja, marafiki zako wengi wanakuwa wameshakufa, matatizo mengine ya uzee hata uwe na pesa hayatibiki, huenda kama ni mwanamume mke alishakufa, watoto wote wameshaondoka nyumbani wameanza maisha yao.
Maisha ya uzee ya upweke sana bora tu kula bata nguvu ukiwa nazo
Kwa hiyo huyo miss alikuja kweli? Sema ulikuwa kiwembe sana hadi bimdashi unamwomba binti yake akufuate magetoniIko hivi nitampenda mtoto wa mtu mmoja tu.
Na najua kupenda hatari.
Nikiwa mkweo mbona utafurahi?🤣🤣🤣
Bro. Uzinzi mbaya.
Kuna siku naongea na miss wa mkoa flani na alinichenga siku kadhaa.
Si akalogwa akampa mamake simu?
Eti msalimia maza.
Akanipa bhana.
Tukasalimiani nilinavyojua kujishusha sasa.
Akaniuliza mwanangu uko mkoa gani unaongea vizuri hivyo🤣.
Nikamtajia...akauliza utakuja lini kumsalimia mwenzako?
Nikamwambia ntakuja mamangu but ninaombi kwako.
Nini tena mwanangu?
Namuomba miss aje kunisalimia nimemiss nampenda sana🤣
Maza oooh kweli mwanangu?
Aje lini?
Mimi..kesho mamangu.
Mama ...anakuja🤣🤣
Huoni nilifika pabaya?
Mungu amenitoa mbali
Wanaume wa Dar hadi Miwa wanamenyewa [emoji23],,hilo la kutafuna likawashinda wakaanza kutengenezewa juice ya miwa kabisa maana kutafuna hawawezi,,Hata kunywa kwenye glass wameshindwa wakawekewa na Mirija ili wanyonye maana kunyanyua glass pia bado hawawezi [emoji1787][emoji1787]Mixer pilipilli ya unga na chumvi