Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume tuna kazi sana unatoka lodge kuipelekea moto pisi njiani unaporudi unakutana na pisi nyingine nayo imefungashia unaitamani usuuze rungu.Inabidi kuwa mbali na vishawishi, la sivyo ukiona msambwanda hatari, lazima shetani ashinde
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbukeni kuna watu humu wanapigwa riming, "sijui nimeandika ndivyo" ila wameelewa, na kutiwa kidole juu wanasema eti ni kawaida siku hizi. Sasa hayo yanakuja sasa!!Kwa mwanaume yeyote rijali ukomo wa kupapaswa/shikwa/chezewa kwenye maungo baina ya kiuno na mapaja ni mbupu basi..
Ukiona mkono unapelekwa kalioni, mstari wa chini ya mbupu na kwingine kokote tofauti na dudu yenyewe hakikisha unaruka kama umepigwa shoti na msonyo juu, akirudia piga bonge la kofi.
Ukiruhusu kushikwa shikwa tako elewa upo mbioni kushikwa mtaro na ukija kutahamaki ushatiwa dole. Uzungu tuwaachie wazungu. Mababu zetu walipiga kifo cha mende tu na maisha yalikuwa murua kabisa .
Kwamba kipindi hicho litakuwa jambo la kawaida sana kukuta mwanamume anashikishwa ukutaNatamani tukutane mimi n wewe after 50 yrs ili tuijadili tena hii mada upya, ila ndo hivyo haiwezekani
kwani hii dunia wewe unaionaje? 50 yrs back ilikuwa kama sasa?Kwamba kipindi hicho litakuwa jambo la kawaida sana kukuta mwanamume anashikishwa ukuta
Huwa inauma sanaHatari sana, pesa inakuwa inatoka kwa spidi kubwa kuliko unavyoipata
😀😀😀😀😀Utapigwa kama ngoma (kwa sauti ya mandonga) Ukikosea bahati mbaya mkono ukagusa tako unaona mtu anastop kwanza 😂
Mambo yanabadilika sana, ngoja tuonekwani hii dunia wewe unaionaje? 50 yrs back ilikuwa kama sasa?
Mchawi pesa, pesa inaongeza nguvu za kiume; ikipungua tu, na nguvu zinapunguaWanaume tuna kazi sana unatoka lodge kuipelekea moto pisi njiani unaporudi unakutana na pisi nyingine nayo imefungashia unaitamani usuuze rungu.
Sijui wanaume wengine wanawezaje kuwa na mpenzi mmoja tu
Yajayo yanashangazaMambo yanabadilika sana, ngoja tuone
Ndivyo inavyotakiwa, kila kitu na wakati wake; kustaafu muhimuMmm ni kujiendekeza tu mkuu, nilikuwaga kijana mzuri sana mtulivu na mchaji wa Mungu niliyeheshimika na jamii.
Niliwahi kushinda majaribio 3 ya kubakwa na mimama mikali balaa.
Sijui nini ilikuja kutokea... nikajikuta nimejichanganya sana na wadada warembo na nikawa kama chakula chao.
Yaani nikimtazama tu na nikimwalika popote na kumwambia hapindui.
Yaani nikawa kama nina sumaku mdomoni.
Nikawatafuna hawaswa...( sitasahau siku moja natakiwa na watatu kila mmoja anataka niwagonge masaa yanayofanana naongea na huyu mwingine simu inaita fujo tupu)
Ndipo nikagundua hapa sheta..amepiga kambi.
Baada ya hapo nikasema hapana nitakufa nikiwa kijana.
Nikasema ninamrudia Mungu.
Sijuti kuacha...nina amani sasa eeee
Ndo maana wanaume tunapambana sana kutafuta pesa. Ukiwa nazo kila aina ya pisi unatafuna na kila sexual fantansy utafanya na hizi zinazojiita pisi kaliMchawi pesa, pesa inaongeza nguvu za kiume; ikipungua tu, na nguvu zinapungua
Nimestaafu kwa heshima; sasa mimi mali ya Mungu🤣😂hekalu lakeNdivyo inavyotakiwa, kila kitu na wakati wake; kustaafu muhimu
Sema miaka 50 ijayo sio mbali kivileYajayo yanashangaza
Inabidi uwe unatoa fungu la kumi kihalaliNimestaafu kwa heshima; sasa mimi mali ya Mungu🤣😂hekalu lake
Ukifika nishtue🤣Sema miaka 50 ijayo sio mbali kivile
Yaani hilo usiseme...mimi ni chawa mtiifu wa sir God sasa🤣🤣Inabidi uwe unatoa fungu la kumi kihalali
Network ya kichwa itakuwa imekata; hutokuwa unakumbuka chochoteSema miaka 50 ijayo sio mbali kivile
Kwa lifestyle hii ya kubadilisha badilisha wanawake kutoboa ni ngumu 🤣Ukifika nishtue🤣