MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
Acheni uoga wa maishaKwanza unatakiwa umushukuru huyo aliyevujisha huo mkataba vinginevyo hadi sasa ingekuwa ni manyoya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni uoga wa maishaKwanza unatakiwa umushukuru huyo aliyevujisha huo mkataba vinginevyo hadi sasa ingekuwa ni manyoya
Kwamba kuna nchi au mtu anaweza kununua nchi nyingine?Ina maana wewe mjinga, ukienda kununua kiwanja, unamuacha mwanasheria ba Muuzaji wakuandikie vifungu husomi na kuelewa?
Ina maana ukinunua kiwanja, mle ndani wakasema unadaiwa bado 10m, na wewe umeshalipa hela zote, hutaelewa unatapeliwa mpaka mwanasheria?
Hizi akili za kuvukia barabara tabu sana...
Ndio kina nani hao?Sukuma gang kazini
Kwamba kuna nchi au mtu anaweza kununua nchi nyingine?
Hivi mnaupataje ujinga?Uko sahihi, mi ndo nakosea, nisamehe, Dr Samia Suluhu Hassan Oye!!!!
Hivi mnupataje ujinga?
Yaani uende ukanunue nchi inayokaliwa na watu zaidi ya milioni 60 kwa kipande cha karatasi (mkataba) kwa kuwarubuni viongozi wachache, nani anaweza ku-bear hiyo risk? A conscious businessman. Tufikiri kwa vituoBasi tu tumezaliwa nao huo ujinga, nisamehe mimi kwa niaba ya wajinga wenzange mwerevu
Hiyo kununua nchi ni lugha ya picha tu. Hoja hapa keki ya nchi kuliwa na kikundi kidogoYaani uende ukanunue nchi inayokaliwa na watu zaidi ya milioni 60 kwa kipande cha karatasi (mkataba) kwa kuwarubuni viongozi wachache, nani anaweza ku-bear hiyo risk? A conscious businessman. Tufikiri kwa vituo
Tanzania ni nchi ambayo haiaminiki, kila uongozi unapobadilika wanazingua wawekezaji, nani anayeweza ku-bear hiyo risk?
Acheni uoga![]()
Tafakari Kidogo.
Nakuhakikishia utapa akiba ya maneno.
Lazima tuwe efficient, tunataka mambo yaende taratibu, bureaucracy nyingi ndiyo tuna ridhika?Fasta fasta pia inatia mashaka. Jielize kwa nini na wao wakomae. Halafu hili jambo walilificha mwanzo, lilipokuja kuvuja ndio zakaja hizi hekaya. Halafu kwa nini wanunue machawa na wapambe?
Acheni uoga
Hayo ni mambo ya kale, hayawezi kujirudiaMababu na Mababu
DPWorld na Watanganyika
![]()
Hakuna anyewaogopa.Acheni uoga
Mkuu, hizo ni unfounded fear of unknown. Watu wana hisi vitu ambavyo pengine havipo. Serikali inatakiwa kuwa wazi na kutoa taarifa rasmi kuondoa hizi sintofahamu na taharukiHiyo kununua nchi ni lugha ya picha tu. Hoja hapa keki ya nchi kuliwa na kikundi kidogo
Ukuma gangHakuna anyewaogooa.
Nkuki kwa Nkuki
Ujifunze kuheshimu watu....na Ukome Kuwatukana kabila la Wasukuma kupitisha ajenda yenu inayomkwamisha SSH manake hajui ninyupi wa ku trust. Mmedanganya kuwa kuna hilo kundi ndani yake na amekimbia kwa Wajomba.....na badalabl ya Kumsaidia na kumwambia ukweli mnaendeleza mipasho yenu...sasa mle hio sanity
Ukuma gang