Tuwe na akiba ya maneno kuhusu IGA na DP World

Tuwe na akiba ya maneno kuhusu IGA na DP World

Pitia andiko la TLS halafu uje hapa kutunza hiyo akiba ya maneno
TLS wanajikita kwenye maeneo yenye udhaifu, ifanyike risk assessment, kujua madhara na faida tupate the whole picture.

Naendelea kushauri, tuendelee kufanya matumizi sahihi ya akili, kama tunazo
 
Mpaka wanaona aibu, SEMA hizi Simbilisi hazinaga mshipa wa aibu aiseeee. Hili bunge (genge la ma-ccm) likivunjwa tukaanza upya nitatoa sadaka, wale jamaa ni Zaidi ya Nyani pale
Hisia zimekua nyingi sana kuliko uhalisia
 
Tatizo siwezi bishana na ww uwezo wako ni finyu ,unawaza Matusi na kimasihara,
Rudi shule kasome jinsi mikataba ilivyo
Au pata mfano wa Lucky emely kocha wa zamani wa yanga na yanga,Kesi ilivyo amuliwa, ww ni mchache sana
Ifanyike risk assessment, tujue risks ni zipi na benefits ni zipi, tuache porojo, hizi ni issue za kibiashara siyo siasa
 
Suala la IGA linajadiliwa kwa general knowledge, masuala ya sheria yanapaswa kuangalia sheria inasemaje. Hakuna makubaliano yoyote ya mkataba wa sheria yanayodumu milele.
 
Suala la IGA linajadiliwa kwa general knowledge, masuala ya sheria yanapaswa kuangalia sheria inasemaje. Hakuna makubaliano yoyote ya mkataba wa sheria yanayodumu milele.
Makubaliano katika level za ki-nchi yanakusudiwa kuwa ni ya kudumu, ikitokea kutoelewana yanavunjika tu wala hakuna atakaye mpeleka mwingine mahakamani kudai yarudi. IGA maana yake (literally) Intergovernmental Agreement. Mnakwama wapi?
 
Na tutaendelea kuiburuza serikali mpaka iachilie Bandari.
20230628_082704.jpg
 
Makubaliano katika level za ki-nchi yanakusudiwa kuwa ni ya kudumu, ikitokea kutoelewana yanavunjika tu wala hakuna atakaye mpeleka mwingine mahakamani kudai yarudi. IGA maana yake (literally) Intergovernmental Agreement. Mnakwama wapi?
Toa recommendations zako kwenye Article 2, Article 20 & Article21 of the IGA.
 
MBEYA: Mawakili Emmanuel K. Changula, Alphonce Lusako, Raphael J. Ngonde na Frank J. Nyalusi wameishtaki Serikali juu ya Makubaliano yake na Serikali ya Dubai kuhusu uendelezaji wa Bandari, kwa maelezo kuwa hayazingatii maslahi ya Nchi

Waziri wa Ujenzi na Katibu Mkuu wanashtakiwa kwa kusaini Makubaliano na kuyapeleka Bungeni bila kushirikisha Umma kutoa maoni ikiwa ni kinyume na Kifungu cha Sheria ya Rasilimali za Taifa mwaka 2017

Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Katibu wa Bunge wanashtakiwa kwa Kuliongoza Vibaya Bunge na Kupiga Kura ya Ndio badala ya Mbunge Mmoja Mmoja. Washtakiwa wote wanatakiwa kufika Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya Julai 3, 2023
 
Wasalaam wana zengwe

Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.


Hakuna haja ya kuondoa watatumia kama Loliondo
 
MBEYA: Mawakili Emmanuel K. Changula, Alphonce Lusako, Raphael J. Ngonde na Frank J. Nyalusi wameishtaki Serikali juu ya Makubaliano yake na Serikali ya Dubai kuhusu uendelezaji wa Bandari, kwa maelezo kuwa hayazingatii maslahi ya Nchi

Waziri wa Ujenzi na Katibu Mkuu wanashtakiwa kwa kusaini Makubaliano na kuyapeleka Bungeni bila kushirikisha Umma kutoa maoni ikiwa ni kinyume na Kifungu cha Sheria ya Rasilimali za Taifa mwaka 2017

Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Katibu wa Bunge wanashtakiwa kwa Kuliongoza Vibaya Bunge na Kupiga Kura ya Ndio badala ya Mbunge Mmoja Mmoja. Washtakiwa wote wanatakiwa kufika Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya Julai 3, 2023
Wanayo Locus Standi?
 
Mkataba tayari upo binding hakuna cha IGA wala HGA huu ndio mkataba wenyewe ukitaka kuuvunja mkataba huu itabidi uilipe faida yote ya miaka ya mbele watakayotakiwa kuipata DP_world jambo ambalo haliwezakani

Kweli huu ni mkataba wa kimangungo tukitaka kuvunja mkataba huu DP_world wanaenda kujipatia faida bila kufanya uwekezaji miaka na miaka huu ni uuzaji wa nchi
 
Hakika, IGA iendelee kuboreshwa kabla ya mkataba kati ya TPA na DP World
IGA ni mkataka Kati ya nchi na nchi je Dubai ni nchi???
Dubai Ina passport au Visa yake??
Nijibu maswali hayo halafu tuendelee Kula chuma
 
IGA ni mkataka Kati ya nchi na nchi je Dubai ni nchi???
Dubai Ina passport au Visa yake??
Nijibu maswali hayo halafu tuendelee Kula chuma
Acha kubishana na mtoa mada,ni mtu asiye na contents kichwani,.....atakwambia twende kwenye hoja walakini hoja ana ,ukimbana anatukana
Mkataba tayari upo binding hakuna cha IGA wala HGA huu ndio mkataba wenyewe ukitaka kuuvunja mkataba huu itabidi uilipe faida yote ya miaka ya mbele watakayotakiwa kuipata DP_world jambo ambalo haliwezakani

Kweli huu ni mkataba wa kimangungo tukitaka kuvunja mkataba huu DP_world wanaenda kujipatia faida bila kufanya uwekezaji miaka na miaka huu ni uuzaji wa nchi
 
FaizaFoxy ameshasema hizi ni picha zilizochorwa na wazungu hazina ukweli kabisa, leteni picha original.
Ma shaaa Allah unakumbukumbu nzuri, niliandika uzi kuhusu hilo. Bofya chini hapa:

 
Huu mjadala unataka matumizi ya akili, it is not for everyone
Sasa mbona wewe hujatumia akili umetumia hisia halafu unasisitiza wengine watumie akili?

Kwanza umeunga mkono uuzwaji wa bandari kwa hisia kwamba mwanamke hawezi kutuuza, huna fact
Umetumia hisia na mihemko,
wenye akili wanauchambua mkataba na vifungu vyake, wanaonesha kipi kibaya na kipi chema, wanaupinga kwa facts, na hiyo ndio akili.

Unasema mwanamke hawezi kutuuza kwasababu tu ni mwanamke hivi uko sawa?
Aliyemshawishi Adam kula tunda ni mwanamke
Aliyemuua Samson ni mwanamke
Aliyegeuka nyuma na kuwa jiwe la chumvi ni mwamke
Aliyemfunga Yusuph gerezani baada ya kukataa kulala naye ni mwanamke
Wanaotupa watoto mtaani baada ya kuzaliwa ni wanawake
Ni ujinga na ulimbukeni kuamini kwamba kwakuwa mtu ni mwanamke au ni Rais basi hakosei.

Rais ametukosea sana, ametudhalilisha sana, ametudharaulisha sana, ametuvua nguo kwa kusaini mkataba wa kijinga na wenye masharti ya kitumwa, hatuna imani naye kamwe.
AJIUZULU!
 
Back
Top Bottom