Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninaielewa wewe Unataka kupotosha .Hii dhana nzima ya IGA huielewi
Ni Yale ' cha kuokota si cha kuiba, mwenye Mali ndiye mjinga'.
Kama walitoka walikotoka kwenda nchi nyingine na kujitwalia, hiyo si haki, haijalishi wenyeji walikuwa wajinga kiasi gani.
Hata kwa suala letu, hapo tunatia sahihi, kama wananchi hatukushirikishwa, na hatujui tunaingizwa kwenye nini, hakupaswi kukaa kimya hata kama bandari haiendi popote bado iko Tz. Tunaona nini ya Umasaini, ardhi ipo pale pale, ila Wamasai wanatolewa na kuhamishwa.
Sawa, sasa turudi Tz yetu na hoja yako kuwa ardhi yoyote haichukuliwi kupelekwa popote hivyo WaTz tuwe na akiba ya maneno, rais asubiriwe mpaka hapo matokeo ya matendo yake yatakapotokea.Nani kakudanganya zamani kulikua na permanent settlement iliyowastahilisha claim of ownership ya land.
Hii dunia kila mtu ana haki ya kuishi popote na acquisition of land ilifanyika kwa namna yoyote ile pamoja na kushinda vita na kuchukua maeneo. Haya mambo formal yameeanza juzi juzi tu na sioni kwanini wajihisi wao ndiyo wana haki, hao watu weusi wa huko SA
Wanyama mkuu, ni urithi wa duniaSawa, sasa turudi Tz yetu na hoja yako kuwa ardhi yoyote haichukuliwi kupelekwa popote hivyo WaTz tuwe na akiba ya maneno, rais asubiriwe mpaka hapo matokeo ya matendo yake yatakapotokea.
Nini kinawafaidishs Wamasai wa Loliondo, kuhamishwa kutoka ardhi yao na kwenda kubananishwa Handeni? Ardhi haihami ila wenye nchi ndio wanaondolewa, wawekezaji wana haki zaidi yao, mpaka kufikia kiwango cha kuuawa!
HakikaTutakuja kuwalipa mabilioni Hawa Hawa DP. We subiri
Mzanzibar aliuza loliondo kwa waarabuWasalaam wana zengwe
Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.
Speculation zimekua ni nyingi sana, taarifa rasmi itolewe kuondoa taharuki
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...www.jamiiforums.com
Kuuza nchi maana yake nini?
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...www.jamiiforums.com
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.[emoji848]Wasalaam wana zengwe
Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.
Speculation zimekua ni nyingi sana, taarifa rasmi itolewe kuondoa taharuki
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...www.jamiiforums.com
Kuuza nchi maana yake nini?
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...www.jamiiforums.com
IGA ni Inter Governmental Agreement (makubaliano ya serikali za nchi mbili) je Dubai ni nchi?Tufanye risk assessment kwanza tuache uoga wa mabadiliko
Shida yako nn haswa? Mmeshajichanganya inatosha, tuwaze mengineIGA ni Inter Governmental Agreement (makubaliano ya serikali za nchi mbili) je Dubai ni nchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vingine acha vikupite ...Shida yako nn haswa? Mmeshajichanganya inatosha, tuwaze mengine
Naunga mkono mada.Wasalaam wana zengwe
Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.
Speculation zimekua ni nyingi sana, taarifa rasmi itolewe kuondoa taharuki
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...www.jamiiforums.com
Kuuza nchi maana yake nini?
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...www.jamiiforums.com
Huyu ni mama Au ni raisi wa nchi hii ishu ya kumfichia maovu yake kwa kisingizio cha kumuita Mama ni ukosefu wa akili,Huyu kaamua tu kwa Makusudi kuuza bandari akitegemea kuna wajinga kama wewe kumtetea..Mwambie Tunataka babdari yetu kama kashakula hela za waarabu huko sisi haituusu tunataka Bandari watamalizana wao huko huko...Na umwambie sikio la kufa halisikii dawa kuna siku utatukuta hapo ikulu ya Chamwino au Magogoni.Wasalaam wana zengwe
Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.
Speculation zimekua ni nyingi sana, taarifa rasmi itolewe kuondoa taharuki
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...www.jamiiforums.com
Kuuza nchi maana yake nini?
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...www.jamiiforums.com
HakikaMama SSH..
Hata mimi naamini ana nia nzuri,..
Tatizo lipo kutokuelewaka kwa kilichopita bungeni.
Na wabunge hawakutumia muda wao kuijulisha jamii wao ni ndio mpaka wanapishana kauli..
Jambo hili ni kubwa,lilitakiwa lielezwe kwa upana wake..
Tuko na mama ila kuhoji kuelewa sio vibaya.
Andiko hili ni hekima kubwa, najua unatumia kichwa chako kufugia nywele tuUnatafuta cheap populality