Tuwe na akiba ya maneno kuhusu IGA na DP World

Tuwe na akiba ya maneno kuhusu IGA na DP World

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana zengwe

Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.

Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.

Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,

Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.

Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.

Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.

Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.

Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.

Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.


 
Wasalaam wana zengwe

Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.

Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.

Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mjijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,

Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanitary kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.

Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.

Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.

Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.

Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.

Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.



Hujielewi ndo nachoweza kukueleza
 
Iyo IGA iliyosainiwa na Huyo DP World vitupwe Kwenye Dust bin kwanza...!


Hapo ndo Sisi WaTz turudishe imani Kwamba hawajatuuza na tujadli vitu vipya ambavyo havijasainiwa.
Tufanye risk assessment kwanza tuache uoga wa mabadiliko
 
Kwa nature ya lile andiko ambalo Baadhi wanaliita Makubaliano, Kuna walakini mkubwa Sana. Kwa Ile video ya yule Mbunge aliyebebwa mzobe mzobe Hadi DUBAI bila Kua na taarifa, Kwa yule jamaa kusaini kama yeye.. ..inaleta mushkeli sana
 
Kwa nature ya lile andiko ambalo Baadhi wanaliita Makubaliano, Kuna walakini mkubwa Sana. Kwa Ile video ya yule Mbunge aliyebebwa mzobe mzobe Hadi DUBAI bila Kua na taarifa, Kwa yule jamaa kusaini kama yeye.. ..inaleta mushkeli sana
Hakika, IGA iendelee kuboreshwa kabla ya mkataba kati ya TPA na DP World
 
Umejaza saver ya jf,imeandika ujinga mtupu,haufai kusomwa,
Kama hujawahi kumwona mama anayetupa mtoto,au anayetoa mimba wakati kaibeba miezi tisa.
Huu mjadala unataka matumizi ya akili, it is not for everyone
 
Bado una nafasi kutupia comments MMU au ule wa kula tunda kkimasiha
Kakimbia mada ,unachoongea ndo kijazacho moyo wako,
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo achana na Mada za kibabe kama unajihisi,content yako kichwani ni finyu,si kila Mada lazima ujaze saver za jf,
#Mods watu kama hawa ni wa kuzifuta tu threed zao,kwao sababu hamna alichoandika,
Mara IGA,mara DP word mara Tunda kimasihara😁😁😁😁
 
Wasalaam wana zengwe

Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.

Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.

Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,

Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.

Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.

Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.

Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.

Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.

Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.





"awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi"

Maana hajui kusoma na kuelewa ule mkataba? Mbona unamzarau Rais Mama yetu?
 
Kakimbia mada ,unachoongea ndo kijazacho moyo wako,
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo achana na Mada za kibabe kama unajihisi,content yako kichwani ni finyu,si kila Mada lazima ujaze saver za jf,
#Mods watu kama hawa ni wa kuzifuta tu threed zao,kwao sababu hamna alichoandika,
Mara IGA,mara DP word mara Tunda kimasihara😁😁😁😁
Taratibu tu utaelewa
 
Nkuki kwa Nguruwe!

Akichimama Nkuki
Akilala Nkuki
Akimemena Nkuki
Mipasho Nkuki

mpaka kieleweke....wengine mmejisahau


Ilipotelea wapi? Mjipange 2025

Hamchaguliki
Sukuma gang kazini
 
Kwamba yeye ni mwanasheria?

Ina maana wewe mjinga, ukienda kununua kiwanja, unamuacha mwanasheria ba Muuzaji wakuandikie vifungu husomi na kuelewa?

Ina maana ukinunua kiwanja, mle ndani wakasema unadaiwa bado 10m, na wewe umeshalipa hela zote, hutaelewa unatapeliwa mpaka mwanasheria?

Hizi akili za kuvukia barabara tabu sana...
 
Back
Top Bottom